Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,653
- 4,744
Kuna ile lafudhi Kihangaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wasukuma wa branch ya Morogoro, wengi tu...Nilikutana na pisikali kweli lafudhi ni ya kisukuma asee niliona huruma,alafu inasema eti mi wa morogoro
Wewee, lafudhi ya kirangi, utamkimbia Dem.Hasa lafudhi ya Kihaya huwa inanikata stimu sana
Kwani kuna mkoa hauna wasukuma bro? Kwa taarifa yako kuna Wasukuma ambao hawajui Sinyanga, Geita, Mwanza wala Simiyu. Unakuta wamezaliwa Ilemba Rukwa, Kisaki Morogoro, Ubaruku Mbeya, Kitunda Tabora, Newala Mtwara ama Kazuramimba Kigoma. Ni kawaida sanaNilikutana na pisikali kweli lafudhi ni ya kisukuma asee niliona huruma,alafu inasema eti mi wa morogoro
Yule muongo amezaliwa Mwanza, kakulia Mwanza, kasomea Mwanza ila ni ile kukwepa kabila halafu lafudhi ikakuumbua, yule dada ni mzuri sana ila lugha sasaKuna wasukuma wa branch ya Morogoro, wengi tu...
Ndio mkuu ila badae nilikuja kujua ni kazaliwa hapahapa ni msukuma wa mwanza ila alitaka kujikosha lafudhi ikamuumbuaKwani kuna mkoa hauna wasukuma bro? Kwa taarifa yako kuna Wasukuma ambao hawajui Sinyanga, Geita, Mwanza wala Simiyu. Unakuta wamezaliwa Ilemba Rukwa, Kisaki Morogoro, Ubaruku Mbeya, Kitunda Tabora, Newala Mtwara ama Kazuramimba Kigoma. Ni kawaida sana
Wakina perpetua na garmahNi kweli hasa lafudhi ya kimbulu inanikera sana , Bora ya kichagga ila ya kimbulu uwiii kazi kweli
Tatizo la wasukuma wanaongea kwa sauti sana, unaweza dhani kuna ugomvi. Kule ni kufoka sio kuongeaWasukuma wana lafudhi mbaya mno,lafudhi ya moshi, Arusha, manyara mpk Singida iko mwake inanifurahisha,
nDaah..apo ndo desi na garimaa wameshituka..Ni kweli hasa lafudhi ya kimbulu inanikera sana , Bora ya kichagga ila ya kimbulu uwiii kazi kweli
Yani unabaki kumshangaa wanatumia nguvu kubwa ya taya katika kuongeaTatizo la wasukuma wanaongea kwa sauti sana, unaweza dhani kuna ugomvi. Kule ni kufoka sio kuongea
Umesomeka sana.Ndio mkuu ila badae nilikuja kujua ni kazaliwa hapahapa ni msukuma wa mwanza ila alitaka kujikosha lafudhi ikamuumbua
Yule muongo amezaliwa mwanza,kakulia mwanza,kasomea mwanza ila ni ile kukwepa kabila alafu lafudhi ikakuumbua,yule dada ni mzuri sana ila lugha sasa
Manyara hapana kwakweli upande wangu.Wote tulioanza kuongea lugha zetu za asili ndiyo tukaja kufahamu kiswahili,tuna mtihani mkubwa upande wa lafudhi.Wasukuma wana lafudhi mbaya mno,lafudhi ya moshi, Arusha, manyara mpk Singida iko mwake inanifurahisha,
Manyara na Arusha hawana tofauti kabisa kuanzia maisha lafudhi hata fursa,Manyara hapana kwakweli upande wangu.Wote tulioanza kuongea lugha zetu za asili ndiyo tukaja kufahamu kiswahili,tuna mtihani mkubwa upande wa lafudhi.
Hata wachagga sijui wa wapi wale,huwa wanaongea kwa speed na wakiwa serious,kwa usiye elewa wanachoongea unajua hapa zitapigwa muda si mrefu,gafla unawaona wanaangua kicheko.Kumbe wanapiga story tu.Tatizo la wasukuma wanaongea kwa sauti sana, unaweza dhani kuna ugomvi. Kule ni kufoka sio kuongea