Kuna muda maisha yanachanganya sana kama utani siku mbili unakosa hata Mia mfukoni

Kuna muda maisha yanachanganya sana kama utani siku mbili unakosa hata Mia mfukoni

Tafuta hata ukonda kwenye malori japo utulize nafsi kwanza ukiwa unajitafuta
Atafute magari yaliyozubaa aanze kuosha atalipwa 2000/- kila gari akiosha magari matano tayari ana 10,000/-

Kuna mwamba mmoja anafanya hii mishe hadi jioni analaza Pesa nzuri tu, ni mwendo wa kuvizia magari yaliyopaki na kuanza kuyaosha
 
Kuna jamaa kule anaelekezwa hii ishu yeye anakalia kubisha bisha tuu...
Anasema watoto hawawezi kuwa chanzo cha umasikini..
Sa angalia hapo what next kama watoto wengi then no care no education.. watakua wengi na wimbi la umaskini linaongezeka..
Tukisema hawaelewi kazi kushika nukuu za ajabu "" tumeletwa kuzaliana """
Sisi ndiyo waafrika bro
 
Tusichanganye vitu viwili hapa.
1.Kuzaa
2. Kutokua na pesa.

Huna pesa wewe wala usikuchanganye na kutozaa.Kama huna hela na bado huna watoto then wewe ndio looser zaid hapa maana tofaut yake ni nini sasa? Ilibid wewe kama umeweka pemdimg ishu ya kuzaa tuli expect uwekeze nguvu katika kutafuta maisha ufanikiwe.

Mind you, kama mtu hana pesa na ana watoto bas jua tu huyo sio kwamba hana pesa, ila ana pesa zisizotosha mahitaji.

So nyie wawil hamlingani
 
Ndo lengo..kijana haifai kuwa na hela ndo unakuwa na amani
 
Kuna jamaa kule anaelekezwa hii ishu yeye anakalia kubisha bisha tuu...
Anasema watoto hawawezi kuwa chanzo cha umasikini..
Sa angalia hapo what next kama watoto wengi then no care no education.. watakua wengi na wimbi la umaskini linaongezeka..
Tukisema hawaelewi kazi kushika nukuu za ajabu "" tumeletwa kuzaliana """
Nchi hii ina matatizo mengi, na dini ni tatizo pia. Viongozi wa dini wamejawa unafiki tu.
 
Mbona wiki iliyopita tu na hii hapa sikuwa najua kupika uji na sipendi uji ila mbona nimekoroga uji Safi kusindikiza siku iishe aloo njaa isikie tu[emoji1787][emoji1787]
Tupambane tu mkuu! No way out. Wenye nacho wanaendelea kutupa mgongo tusio nacho.
 
Back
Top Bottom