Kuna muda mapenzi yanahitaji uwe na roho ngumu ili yaende sawa

Nimekuelewa mkuu hii kanuni naitumia sana yaan mie sasa sipo kwenye naz wala firigisi mie ni jiwe jiwe tuuu nje ngum ndan ngum ukileta za kuleta tupaa kuleee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sinaga jam na mapenz landa hapo badae naeza kuwa kanazi kwa mbaaaali ila sio maini kabisaaaa[emoji23]
 
Sorry mkuu kuna sehemu ulikomenti as a man nikakuuliza mbona jina ni ke ukasema ni me,leo hapa unapost as ke,Duuh anyway labda unajinsia 2
 
wahoo big ideas
mim mwenyew dem wang wa kwanza alinitesag kinom lakin baada ya hapo wag na watesa kinom
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…