Kuna muda mapenzi yanahitaji uwe na roho ngumu ili yaende sawa

Hahahahaa wagumu tumeelewana
 
Unafaaa sana kwenye wizara ya Jenista Muhagama
 
Kuna msemo unasema "BINTI UKIANZA KUONA MOYO WAKO HUUMIZWI TENA NA MAPENZI, JUA USHAANZA KUWA MALAYA"
 
Ahaahaahaaa. ..ka,Nazi kwa mbali
 
Mwandishi wa makala,pamoja sana,thanks in advance kwa ukumbusho uliotuletea kwenye LAVIE.malovee,makopa kopa.
One day ntagonga hodi pm yako kwa ajili ya mawili matatu toka kwako.kwa hiyo usiipige kufuli.
 
Ahahaa.huo muda mnatoa wapi.mi sinaga time Na mtu. Kuachana Na mtu me sekunde tu
 
Mkikutana watu mnaojielewa na akili zinafikiria positive, ni ngumu kutumia muda wa mahusino yenu kuchezeana akili na kuviziana ili kuumizana hisia.....hapo mnakuwa mnacheza na ni utoto....
Kwamba mnakutana mnafanana na kuendana kila kitu, huo uhusiano wenu kiboko mkaishi Eden kabisa
 
hahahahah nimeipenda hiyo mm nataka niwe jabali kabisa manake hawa viumbe wakujifanya tumetoka ubavuni mwao huwa hawaishiwag vitimbwi...... usipokua kauzu wanakupeleka mpera mpera sana...
 
hahahahah nimeipenda hiyo mm nataka niwe jabali kabisa manake hawa viumbe wakujifanya tumetoka ubavuni mwao huwa hawaishiwag vitimbwi...... usipokua kauzu wanakupeleka mpera mpera sana...
Ni kukaza roho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…