Kuna muda wanawake wana intelijensia ya ajabu jana yamenikuta

Kuna muda wanawake wana intelijensia ya ajabu jana yamenikuta

Teslarati

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2019
Posts
2,621
Reaction score
10,466
Jana si nimeyakanyaga, huwa nafanya kazi dar kwa hio muda mwingi nakua huko ila mke yupo mkoani. Mwisho wa mwaka huwa narudi na mwaka huu nimerudi mapema, sasa jana wema wangu si ukaniponza.

Nikaamua kumtoa out wife, sijui kichaa gn kikaniingia nikampeleka pub moja ambapo huwa naenda sana nikiwa mkoa huo, na pale kuna manzi mmoja huwa napunguzia uzito mara kadhaa.

Yaani kitendo cha kufika tu pale yule manzi akaja kunisikiliza mimi na wife, ile kamaliza akaondoka ghafla wife akanuna ile mbaya mbaya. Ikabidi nimuulize mbona umebadilika mood akasema "umenileta nije kuona malaya zako?" Na hakuongea chcht tena zaidi ya kusema turudi home, na hakula wala kunywa chcht pale.

Huwa sijitetea kwa wanawake ila nikacheka tu na kumwambia sio anavyofikiria. Lakini hadi hapa najua haukua utani maana kalala sebuleni, na wala yule manzi hakunigusa maana anajua yule ni mke wangu, na-recall situation nzima nashindwa kuelewa ni red flag gani wife aliona kati yetu.
 
Jana si nimeyakanyaga, huwa nafanya kazi dar kwa hio muda mwingi nakua huko ila mke yupo mkoani. Mwisho wa mwaka huwa narudi na mwaka huu nimerudi mapema, sasa jana wema wangu si ukaniponza.

Nikaamua kumtoa out wife, sijui kichaa gn kikaniingia nikampeleka pub moja ambapo huwa naenda sana nikiwa mkoa huo, na pale kuna manzi mmoja huwa napunguzia uzito mara kadhaa.

Yaani kitendo cha kufika tu pale yule manzi akaja kunisikiliza mimi na wife, ile kamaliza akaondoka ghafla wife akanuna ile mbaya mbaya. Ikabidi nimuulize mbona umebadilika mood akasema "umenileta nije kuona malaya zako?" Na hakuongea chcht tena zaidi ya kusema turudi home, na hakula wala kunywa chcht pale.

Huwa sijitetea kwa wanawake ila nikacheka tu na kumwambia sio anavyofikiria. Lakini hadi hapa najua haukua utani maana kalala sebuleni, na wala yule manzi hakunigusa maana anajua yule ni mke wangu, na-recall situation nzima nashindwa kuelewa ni red flag gani wife aliona kati yetu.
Hivi kweli umetaka kutoka na mkeo wa ndoa kabisaa unampeleka bar ? kwani hakuna sehemu zilizotulia kabisa hata kama unaitumia kilevi basi utainjoy kuliko kumkalisha mkeo bar ?
 
Jana si nimeyakanyaga, huwa nafanya kazi dar kwa hio muda mwingi nakua huko ila mke yupo mkoani. Mwisho wa mwaka huwa narudi na mwaka huu nimerudi mapema, sasa jana wema wangu si ukaniponza.

Nikaamua kumtoa out wife, sijui kichaa gn kikaniingia nikampeleka pub moja ambapo huwa naenda sana nikiwa mkoa huo, na pale kuna manzi mmoja huwa napunguzia uzito mara kadhaa.

Yaani kitendo cha kufika tu pale yule manzi akaja kunisikiliza mimi na wife, ile kamaliza akaondoka ghafla wife akanuna ile mbaya mbaya. Ikabidi nimuulize mbona umebadilika mood akasema "umenileta nije kuona malaya zako?" Na hakuongea chcht tena zaidi ya kusema turudi home, na hakula wala kunywa chcht pale.

Huwa sijitetea kwa wanawake ila nikacheka tu na kumwambia sio anavyofikiria. Lakini hadi hapa najua haukua utani maana kalala sebuleni, na wala yule manzi hakunigusa maana anajua yule ni mke wangu, na-recall situation nzima nashindwa kuelewa ni red flag gani wife aliona kati yetu.
Ndo maana mnamaliza maisha kwa dhiki una mchanganya mke wako na malaya wa kila mtu......hixo ndo laana mkuu.
 
Jana si nimeyakanyaga, huwa nafanya kazi dar kwa hio muda mwingi nakua huko ila mke yupo mkoani. Mwisho wa mwaka huwa narudi na mwaka huu nimerudi mapema, sasa jana wema wangu si ukaniponza.

Nikaamua kumtoa out wife, sijui kichaa gn kikaniingia nikampeleka pub moja ambapo huwa naenda sana nikiwa mkoa huo, na pale kuna manzi mmoja huwa napunguzia uzito mara kadhaa.

Yaani kitendo cha kufika tu pale yule manzi akaja kunisikiliza mimi na wife, ile kamaliza akaondoka ghafla wife akanuna ile mbaya mbaya. Ikabidi nimuulize mbona umebadilika mood akasema "umenileta nije kuona malaya zako?" Na hakuongea chcht tena zaidi ya kusema turudi home, na hakula wala kunywa chcht pale.

Huwa sijitetea kwa wanawake ila nikacheka tu na kumwambia sio anavyofikiria. Lakini hadi hapa najua haukua utani maana kalala sebuleni, na wala yule manzi hakunigusa maana anajua yule ni mke wangu, na-recall situation nzima nashindwa kuelewa ni red flag gani wife aliona kati yetu.
wazinzi mtapata tabu sana , amueni kuokoka kwa kumkabidhi Bwana Yesu maisha yenu. mzaliwe upya. kwa lengo la kuupata uzima wa milele.

YESU NI BWANA&MWOKOZI
 
Jana si nimeyakanyaga, huwa nafanya kazi dar kwa hio muda mwingi nakua huko ila mke yupo mkoani. Mwisho wa mwaka huwa narudi na mwaka huu nimerudi mapema, sasa jana wema wangu si ukaniponza.

Nikaamua kumtoa out wife, sijui kichaa gn kikaniingia nikampeleka pub moja ambapo huwa naenda sana nikiwa mkoa huo, na pale kuna manzi mmoja huwa napunguzia uzito mara kadhaa.

Yaani kitendo cha kufika tu pale yule manzi akaja kunisikiliza mimi na wife, ile kamaliza akaondoka ghafla wife akanuna ile mbaya mbaya. Ikabidi nimuulize mbona umebadilika mood akasema "umenileta nije kuona malaya zako?" Na hakuongea chcht tena zaidi ya kusema turudi home, na hakula wala kunywa chcht pale.

Huwa sijitetea kwa wanawake ila nikacheka tu na kumwambia sio anavyofikiria. Lakini hadi hapa najua haukua utani maana kalala sebuleni, na wala yule manzi hakunigusa maana anajua yule ni mke wangu, na-recall situation nzima nashindwa kuelewa ni red flag gani wife aliona kati yetu.
Sio intelijensia. Ni silika tu (instinct)
 
Jana si nimeyakanyaga, huwa nafanya kazi dar kwa hio muda mwingi nakua huko ila mke yupo mkoani. Mwisho wa mwaka huwa narudi na mwaka huu nimerudi mapema, sasa jana wema wangu si ukaniponza.

Nikaamua kumtoa out wife, sijui kichaa gn kikaniingia nikampeleka pub moja ambapo huwa naenda sana nikiwa mkoa huo, na pale kuna manzi mmoja huwa napunguzia uzito mara kadhaa.

Yaani kitendo cha kufika tu pale yule manzi akaja kunisikiliza mimi na wife, ile kamaliza akaondoka ghafla wife akanuna ile mbaya mbaya. Ikabidi nimuulize mbona umebadilika mood akasema "umenileta nije kuona malaya zako?" Na hakuongea chcht tena zaidi ya kusema turudi home, na hakula wala kunywa chcht pale.

Huwa sijitetea kwa wanawake ila nikacheka tu na kumwambia sio anavyofikiria. Lakini hadi hapa najua haukua utani maana kalala sebuleni, na wala yule manzi hakunigusa maana anajua yule ni mke wangu, na-recall situation nzima nashindwa kuelewa ni red flag gani wife aliona kati yetu.
Pole mzee,hao viumbe wana utashi wa kihisia wa hali ya juu sana umefanya kosa kumpeleka chimbo na hapo kihisia ameshajua na kwakuwa hujakiri mbele yake basi angalia namna ya kuomba radhi bila ku -declare jinai aliyoithibitisha kihisia.


Nashauri mnunulie zawadi kubwa anayoipenda mwambie hutarudia kumpeleka maeneo yasiyo na heshima kwake.
 
Hivi kweli umetaka kutoka na mkeo wa ndoa kabisaa unampeleka bar ? kwani hakuna sehemu zilizotulia kabisa hata kama unaitumia kilevi basi utainjoy kuliko kumkalisha mkeo bar ?
Shida umetafsiri kwamba Bar ni sehemu ya Malaya, aisee hebu grow up mzee kuna vitu vizur vinaweza patikana Bar kuliko maeneo mengine unayoyafahamu. Mfano michemsho ya huko huezi pata huko 5 star hotel!!
 
Jana si nimeyakanyaga, huwa nafanya kazi dar kwa hio muda mwingi nakua huko ila mke yupo mkoani. Mwisho wa mwaka huwa narudi na mwaka huu nimerudi mapema, sasa jana wema wangu si ukaniponza.

Nikaamua kumtoa out wife, sijui kichaa gn kikaniingia nikampeleka pub moja ambapo huwa naenda sana nikiwa mkoa huo, na pale kuna manzi mmoja huwa napunguzia uzito mara kadhaa.

Yaani kitendo cha kufika tu pale yule manzi akaja kunisikiliza mimi na wife, ile kamaliza akaondoka ghafla wife akanuna ile mbaya mbaya. Ikabidi nimuulize mbona umebadilika mood akasema "umenileta nije kuona malaya zako?" Na hakuongea chcht tena zaidi ya kusema turudi home, na hakula wala kunywa chcht pale.

Huwa sijitetea kwa wanawake ila nikacheka tu na kumwambia sio anavyofikiria. Lakini hadi hapa najua haukua utani maana kalala sebuleni, na wala yule manzi hakunigusa maana anajua yule ni mke wangu, na-recall situation nzima nashindwa kuelewa ni red flag gani wife aliona kati yetu.
Uzungu uzungu uchwara unawacost sana nyie wazungu koko. Mnaharibu ndoa zenu wenyewe kwa mikono yenu. Nani alikwambia kwamba mwanamke wa ndoa anatolewa out?

Ni hivi, mwanamke akishapanda cheo na kustahili kuitwa MKE achana kabisa na shobo za kuwa et unamtoa out. Hawanaga shukrani hawa. Mda wote huwaza kusalitiwa tu. Unavyomtoa tu akifika hayo maeneo anaanza kutengeneza picha nzima ya kufikirika namna unavyoletaga wanawake wengine maeneo hayo. Mwisho analija na hukumu ya kukukuumiza moyo ujionee hufai kumbe ni kiherehere chako. Out mtoe demu ambae hata akizingua mnaachana huku huko huko sio mke. Karaghabaho!!
 
Uzungu uzungu uchwara unawacost sana nyie wazungu koko. Mnaharibu ndoa zenu wenyewe kwa mikono yenu. Nani alikwambia kwamba mwanamke wa ndoa anatolewa out?

Ni hivi, mwanamke akishapanda cheo na kustahili kuitwa MKE achana kabisa na shobo za kuwa et unamtoa out. Hawanaga shukrani hawa. Mda wote huwaza kusalitiwa tu. Unavyomtoa tu akifika hayo maeneo anaanza kutengeneza picha nzima ya kufikirika namna unavyoletaga wanawake wengine maeneo hayo. Mwisho analija na hukumu ya kukukuumiza moyo ujionee hufai kumbe ni kiherehere chako. Out mtoe demu ambae hata akizingua mnaachana huku huko huko sio mke. Karaghabaho!!
Wanawake hampendani kabisa. Hasa kwa wenzenu walioolewa mnawasagia kunguni sana. Sijui why?kwa nini?
 
Back
Top Bottom