Kuna muda wanawake wana intelijensia ya ajabu jana yamenikuta

Kuna muda wanawake wana intelijensia ya ajabu jana yamenikuta

Mimi sasa Kila nikipata demu, siku ya appointment lazma wife anipigie simu anisalimie af anaanza kuniuliza kama Niko salama maana Hana Amani kabisa toka moyoni. Mwanzoni nilikua naogopa naacha , ila sasa hiv hata akinambia naendelea Tu na mipango yangu
 
Mimi sasa Kila nikipata demu, siku ya appointment lazma wife anipigie simu anisalimie af anaanza kuniuliza kama Niko salama maana Hana Amani kabisa toka moyoni. Mwanzoni nilikua naogopa naacha , ila sasa hiv hata akinambia naendelea Tu na mipango yangu
Mkuu Mungu anakupenda achana na hayo mambo.

Hakuna faida kwenye uzinzi zaidi haya hasara tupu
 
Mimi sasa Kila nikipata demu, siku ya appointment lazma wife anipigie simu anisalimie af anaanza kuniuliza kama Niko salama maana Hana Amani kabisa toka moyoni. Mwanzoni nilikua naogopa naacha , ila sasa hiv hata akinambia naendelea Tu na mipango yangu
Mkeo anakupenda... Acha uzinzi mkuu hauna faida kabisa tulia na mkeo..
 
Jana si nimeyakanyaga, huwa nafanya kazi dar kwa hio muda mwingi nakua huko ila mke yupo mkoani. Mwisho wa mwaka huwa narudi na mwaka huu nimerudi mapema, sasa jana wema wangu si ukaniponza.

Nikaamua kumtoa out wife, sijui kichaa gn kikaniingia nikampeleka pub moja ambapo huwa naenda sana nikiwa mkoa huo, na pale kuna manzi mmoja huwa napunguzia uzito mara kadhaa.

Yaani kitendo cha kufika tu pale yule manzi akaja kunisikiliza mimi na wife, ile kamaliza akaondoka ghafla wife akanuna ile mbaya mbaya. Ikabidi nimuulize mbona umebadilika mood akasema "umenileta nije kuona malaya zako?" Na hakuongea chcht tena zaidi ya kusema turudi home, na hakula wala kunywa chcht pale.

Huwa sijitetea kwa wanawake ila nikacheka tu na kumwambia sio anavyofikiria. Lakini hadi hapa najua haukua utani maana kalala sebuleni, na wala yule manzi hakunigusa maana anajua yule ni mke wangu, na-recall situation nzima nashindwa kuelewa ni red flag gani wife aliona kati yetu.
Kawaida sana hiyo wanawake wengi huwa Wana machale sana mm huwa nikitoka kukutana na mchepuka hata kama sijashiriki naye tendo lazima wife ahisi kitu tu mpaka wakati mwingine huwa nahisi naishi na jini ndani.
 
Jana si nimeyakanyaga, huwa nafanya kazi dar kwa hio muda mwingi nakua huko ila mke yupo mkoani. Mwisho wa mwaka huwa narudi na mwaka huu nimerudi mapema, sasa jana wema wangu si ukaniponza.

Nikaamua kumtoa out wife, sijui kichaa gn kikaniingia nikampeleka pub moja ambapo huwa naenda sana nikiwa mkoa huo, na pale kuna manzi mmoja huwa napunguzia uzito mara kadhaa.

Yaani kitendo cha kufika tu pale yule manzi akaja kunisikiliza mimi na wife, ile kamaliza akaondoka ghafla wife akanuna ile mbaya mbaya. Ikabidi nimuulize mbona umebadilika mood akasema "umenileta nije kuona malaya zako?" Na hakuongea chcht tena zaidi ya kusema turudi home, na hakula wala kunywa chcht pale.

Huwa sijitetea kwa wanawake ila nikacheka tu na kumwambia sio anavyofikiria. Lakini hadi hapa najua haukua utani maana kalala sebuleni, na wala yule manzi hakunigusa maana anajua yule ni mke wangu, na-recall situation nzima nashindwa kuelewa ni red flag gani wife aliona kati yetu.

Wanaume tu wajinga sana, ningemwambia ndiyo, maana hata yeye wanamla tu
 
Jana si nimeyakanyaga, huwa nafanya kazi dar kwa hio muda mwingi nakua huko ila mke yupo mkoani. Mwisho wa mwaka huwa narudi na mwaka huu nimerudi mapema, sasa jana wema wangu si ukaniponza.

Nikaamua kumtoa out wife, sijui kichaa gn kikaniingia nikampeleka pub moja ambapo huwa naenda sana nikiwa mkoa huo, na pale kuna manzi mmoja huwa napunguzia uzito mara kadhaa.

Yaani kitendo cha kufika tu pale yule manzi akaja kunisikiliza mimi na wife, ile kamaliza akaondoka ghafla wife akanuna ile mbaya mbaya. Ikabidi nimuulize mbona umebadilika mood akasema "umenileta nije kuona malaya zako?" Na hakuongea chcht tena zaidi ya kusema turudi home, na hakula wala kunywa chcht pale.

Huwa sijitetea kwa wanawake ila nikacheka tu na kumwambia sio anavyofikiria. Lakini hadi hapa najua haukua utani maana kalala sebuleni, na wala yule manzi hakunigusa maana anajua yule ni mke wangu, na-recall situation nzima nashindwa kuelewa ni red flag gani wife aliona kati yetu.
Manzi yako aliwaheshimu kupitiliza
 
Don't you feel weird kusema Yesu ni bwanaako?
how Can I.

haya mambo hayajulikani kwa wote. ni neema. Mambo ya rohoni hujulikana kwa namna ya rohoni na watu wa rohoni.

unless u come to a position of knowing and believing that Jesus is your Lord and Savior, you will not inherit the kingdom of God.

Kristo ni BWANA, kanisa ni bi arusi.
 
Jana si nimeyakanyaga, huwa nafanya kazi dar kwa hio muda mwingi nakua huko ila mke yupo mkoani. Mwisho wa mwaka huwa narudi na mwaka huu nimerudi mapema, sasa jana wema wangu si ukaniponza.

Nikaamua kumtoa out wife, sijui kichaa gn kikaniingia nikampeleka pub moja ambapo huwa naenda sana nikiwa mkoa huo, na pale kuna manzi mmoja huwa napunguzia uzito mara kadhaa.

Yaani kitendo cha kufika tu pale yule manzi akaja kunisikiliza mimi na wife, ile kamaliza akaondoka ghafla wife akanuna ile mbaya mbaya. Ikabidi nimuulize mbona umebadilika mood akasema "umenileta nije kuona malaya zako?" Na hakuongea chcht tena zaidi ya kusema turudi home, na hakula wala kunywa chcht pale.

Huwa sijitetea kwa wanawake ila nikacheka tu na kumwambia sio anavyofikiria. Lakini hadi hapa najua haukua utani maana kalala sebuleni, na wala yule manzi hakunigusa maana anajua yule ni mke wangu, na-recall situation nzima nashindwa kuelewa ni red flag gani wife aliona kati yetu.
Alisikia harufu ya shahawa zako mwilini mwa yule demu.
 
Back
Top Bottom