Kuna muda wanawake wana intelijensia ya ajabu jana yamenikuta

Kuna muda wanawake wana intelijensia ya ajabu jana yamenikuta

Nilienda na wife beach (malaika beach mwanza)
Wife alipofika tu furaha ikakatika ghafla nikaulizwa hapa ulipajuaje?
Kumbe safari zako zote Huwa unakuja hapa?

Nikaenda nae kupumzika Renana Hotels ndo kabisaa nikaribu Kila kitu. Saivi nikihitaji kutoka nae tunaenda kuona wanyama huko Serengeti ama Tarangire
Unajua na mimi nipo mwanza, ila sitosema chimbo nitachomoa code
 
Wa kwangu ndo balaa huwa anahisia sio poa mpaka huwa nahis ni mchawi nn,ashanipigia mara mbili nikiwa lodge na manzi na anaanza kuniongelesha vitu vya ajabu ajabu kama kuniambia niseme "nakupenda sana mke wangu"

Pia huwa nikikutana na mamanzi wengine ambao nishapita nao lazima aniambie ingawaje wengine huwa anakosea
Kuna wanawake wana instincts za ajabu sana
 
Huyo mhudumu kuna namna flani kamuangalia mkeo, wana hio tabia wanawake, kuna jicho flani huyo mhudumu amemkata mkeo na mkeo akaona kuna kitu.

Hata wewe huku notice , wana codes zao.
Sikunotice chochote labda sababu focus haikuwa hapo maana huyo manzi ni mchangamfu sana na alituchangamkia wote kwa usawa ule ule
 
Hao wake wenye wivu Kia's hiko mnawapataje nipeni code wakuu.
Hii version ya zamani mkuu, hawapatikani sikuhz.

Huyu nilimchomoa pale saut akiwa kisu balaa enzi hizo nikachapa mimba 2 chapchap, mimba ya kwanza amegraduate nayo.

Sasa wa sikuhz hata ukimchapa mimba ndo kwanza anaona kuwa single maza ni fashion, hawa wetu wanauogopa usingle maza ndo maana ni wavumilivu sana
 
Jana si nimeyakanyaga, huwa nafanya kazi dar kwa hio muda mwingi nakua huko ila mke yupo mkoani. Mwisho wa mwaka huwa narudi na mwaka huu nimerudi mapema, sasa jana wema wangu si ukaniponza.

Nikaamua kumtoa out wife, sijui kichaa gn kikaniingia nikampeleka pub moja ambapo huwa naenda sana nikiwa mkoa huo, na pale kuna manzi mmoja huwa napunguzia uzito mara kadhaa.

Yaani kitendo cha kufika tu pale yule manzi akaja kunisikiliza mimi na wife, ile kamaliza akaondoka ghafla wife akanuna ile mbaya mbaya. Ikabidi nimuulize mbona umebadilika mood akasema "umenileta nije kuona malaya zako?" Na hakuongea chcht tena zaidi ya kusema turudi home, na hakula wala kunywa chcht pale.

Huwa sijitetea kwa wanawake ila nikacheka tu na kumwambia sio anavyofikiria. Lakini hadi hapa najua haukua utani maana kalala sebuleni, na wala yule manzi hakunigusa maana anajua yule ni mke wangu, na-recall situation nzima nashindwa kuelewa ni red flag gani wife aliona kati yetu.
kosa kumpeleka eneo ak, cheza mbali na vijiwe....bar mi wahudumu tu nikila wawili wa sehemu moja, hiyo sehemu siendi tena ....juu kwa juu tu we unaenda na wife...umefeli mbinu hudhuria vikao basi
 
Hivi kweli umetaka kutoka na mkeo wa ndoa kabisaa unampeleka bar ? kwani hakuna sehemu zilizotulia kabisa hata kama unaitumia kilevi basi utainjoy kuliko kumkalisha mkeo bar ?

Watu wanaenda na wake ZAO kwenye makasino wewe unaogopa Bar?

Sema inategemea na mtu na mtu.
Wengine wamekutana pipa na mfuniko. Tangu wako chuo club pamoja, bar pamoja, Casino pamoja, yaani tafran
 
Jana si nimeyakanyaga, huwa nafanya kazi dar kwa hio muda mwingi nakua huko ila mke yupo mkoani. Mwisho wa mwaka huwa narudi na mwaka huu nimerudi mapema, sasa jana wema wangu si ukaniponza.

Nikaamua kumtoa out wife, sijui kichaa gn kikaniingia nikampeleka pub moja ambapo huwa naenda sana nikiwa mkoa huo, na pale kuna manzi mmoja huwa napunguzia uzito mara kadhaa.

Yaani kitendo cha kufika tu pale yule manzi akaja kunisikiliza mimi na wife, ile kamaliza akaondoka ghafla wife akanuna ile mbaya mbaya. Ikabidi nimuulize mbona umebadilika mood akasema "umenileta nije kuona malaya zako?" Na hakuongea chcht tena zaidi ya kusema turudi home, na hakula wala kunywa chcht pale.

Huwa sijitetea kwa wanawake ila nikacheka tu na kumwambia sio anavyofikiria. Lakini hadi hapa najua haukua utani maana kalala sebuleni, na wala yule manzi hakunigusa maana anajua yule ni mke wangu, na-recall situation nzima nashindwa kuelewa ni red flag gani wife aliona kati yetu.
Hivi kwa nini wake wanapenda hii kauli ya "malaya zako" yaani kwamba mwanaume akichepuka lazima agegede malaya?
 
Jana si nimeyakanyaga, huwa nafanya kazi dar kwa hio muda mwingi nakua huko ila mke yupo mkoani. Mwisho wa mwaka huwa narudi na mwaka huu nimerudi mapema, sasa jana wema wangu si ukaniponza.

Nikaamua kumtoa out wife, sijui kichaa gn kikaniingia nikampeleka pub moja ambapo huwa naenda sana nikiwa mkoa huo, na pale kuna manzi mmoja huwa napunguzia uzito mara kadhaa.

Yaani kitendo cha kufika tu pale yule manzi akaja kunisikiliza mimi na wife, ile kamaliza akaondoka ghafla wife akanuna ile mbaya mbaya. Ikabidi nimuulize mbona umebadilika mood akasema "umenileta nije kuona malaya zako?" Na hakuongea chcht tena zaidi ya kusema turudi home, na hakula wala kunywa chcht pale.

Huwa sijitetea kwa wanawake ila nikacheka tu na kumwambia sio anavyofikiria. Lakini hadi hapa najua haukua utani maana kalala sebuleni, na wala yule manzi hakunigusa maana anajua yule ni mke wangu, na-recall situation nzima nashindwa kuelewa ni red flag gani wife aliona kati yetu.
unakula ma Barmaids? Mwenzako anakula njugu
 
Hawa viumbe nomaa mkuu,
Unawez kuw ume cheat akakwambia japo hana ushahid wowote , wako very spritial kwetu
 
Umenikumbusha siku napekuliwa simu, akakuta sms za kawaida kabisa za dada mmoja (Tumwite G) nimewahi kufanya naye kazi. Sms zingine za mambo ya kazini. Alikuta sms za kibao tu wanawake lakini akakomaa na sms za G kwamba ni malaya wangu.
Nikajiuliza au kuna sms sikufuta? Kuchek sms zote za kawaida.
Nilimtoa mashaka akatulia lakini ukweli ni kwamba G ninagonga ila tunaheshimiana hatuchati hovyo hovyo coz hajui kama sijaoa
 
Back
Top Bottom