Unajua na mimi nipo mwanza, ila sitosema chimbo nitachomoa codeNilienda na wife beach (malaika beach mwanza)
Wife alipofika tu furaha ikakatika ghafla nikaulizwa hapa ulipajuaje?
Kumbe safari zako zote Huwa unakuja hapa?
Nikaenda nae kupumzika Renana Hotels ndo kabisaa nikaribu Kila kitu. Saivi nikihitaji kutoka nae tunaenda kuona wanyama huko Serengeti ama Tarangire
Kuna wanawake wana instincts za ajabu sanaWa kwangu ndo balaa huwa anahisia sio poa mpaka huwa nahis ni mchawi nn,ashanipigia mara mbili nikiwa lodge na manzi na anaanza kuniongelesha vitu vya ajabu ajabu kama kuniambia niseme "nakupenda sana mke wangu"
Pia huwa nikikutana na mamanzi wengine ambao nishapita nao lazima aniambie ingawaje wengine huwa anakosea
Sikunotice chochote labda sababu focus haikuwa hapo maana huyo manzi ni mchangamfu sana na alituchangamkia wote kwa usawa ule uleHuyo mhudumu kuna namna flani kamuangalia mkeo, wana hio tabia wanawake, kuna jicho flani huyo mhudumu amemkata mkeo na mkeo akaona kuna kitu.
Hata wewe huku notice , wana codes zao.
Hii version ya zamani mkuu, hawapatikani sikuhz.Hao wake wenye wivu Kia's hiko mnawapataje nipeni code wakuu.
Basi hapo kosa ni lako na mke wako kajua kuwa umeamua kumuonyesha tabia yako makusudi. Ndio maana kaamua kuwa hivyoYaan jana nilikuaje tu sijui
kosa kumpeleka eneo ak, cheza mbali na vijiwe....bar mi wahudumu tu nikila wawili wa sehemu moja, hiyo sehemu siendi tena ....juu kwa juu tu we unaenda na wife...umefeli mbinu hudhuria vikao basiJana si nimeyakanyaga, huwa nafanya kazi dar kwa hio muda mwingi nakua huko ila mke yupo mkoani. Mwisho wa mwaka huwa narudi na mwaka huu nimerudi mapema, sasa jana wema wangu si ukaniponza.
Nikaamua kumtoa out wife, sijui kichaa gn kikaniingia nikampeleka pub moja ambapo huwa naenda sana nikiwa mkoa huo, na pale kuna manzi mmoja huwa napunguzia uzito mara kadhaa.
Yaani kitendo cha kufika tu pale yule manzi akaja kunisikiliza mimi na wife, ile kamaliza akaondoka ghafla wife akanuna ile mbaya mbaya. Ikabidi nimuulize mbona umebadilika mood akasema "umenileta nije kuona malaya zako?" Na hakuongea chcht tena zaidi ya kusema turudi home, na hakula wala kunywa chcht pale.
Huwa sijitetea kwa wanawake ila nikacheka tu na kumwambia sio anavyofikiria. Lakini hadi hapa najua haukua utani maana kalala sebuleni, na wala yule manzi hakunigusa maana anajua yule ni mke wangu, na-recall situation nzima nashindwa kuelewa ni red flag gani wife aliona kati yetu.
Hivi kweli umetaka kutoka na mkeo wa ndoa kabisaa unampeleka bar ? kwani hakuna sehemu zilizotulia kabisa hata kama unaitumia kilevi basi utainjoy kuliko kumkalisha mkeo bar ?
Hivi kwa nini wake wanapenda hii kauli ya "malaya zako" yaani kwamba mwanaume akichepuka lazima agegede malaya?Jana si nimeyakanyaga, huwa nafanya kazi dar kwa hio muda mwingi nakua huko ila mke yupo mkoani. Mwisho wa mwaka huwa narudi na mwaka huu nimerudi mapema, sasa jana wema wangu si ukaniponza.
Nikaamua kumtoa out wife, sijui kichaa gn kikaniingia nikampeleka pub moja ambapo huwa naenda sana nikiwa mkoa huo, na pale kuna manzi mmoja huwa napunguzia uzito mara kadhaa.
Yaani kitendo cha kufika tu pale yule manzi akaja kunisikiliza mimi na wife, ile kamaliza akaondoka ghafla wife akanuna ile mbaya mbaya. Ikabidi nimuulize mbona umebadilika mood akasema "umenileta nije kuona malaya zako?" Na hakuongea chcht tena zaidi ya kusema turudi home, na hakula wala kunywa chcht pale.
Huwa sijitetea kwa wanawake ila nikacheka tu na kumwambia sio anavyofikiria. Lakini hadi hapa najua haukua utani maana kalala sebuleni, na wala yule manzi hakunigusa maana anajua yule ni mke wangu, na-recall situation nzima nashindwa kuelewa ni red flag gani wife aliona kati yetu.
unakula ma Barmaids? Mwenzako anakula njuguJana si nimeyakanyaga, huwa nafanya kazi dar kwa hio muda mwingi nakua huko ila mke yupo mkoani. Mwisho wa mwaka huwa narudi na mwaka huu nimerudi mapema, sasa jana wema wangu si ukaniponza.
Nikaamua kumtoa out wife, sijui kichaa gn kikaniingia nikampeleka pub moja ambapo huwa naenda sana nikiwa mkoa huo, na pale kuna manzi mmoja huwa napunguzia uzito mara kadhaa.
Yaani kitendo cha kufika tu pale yule manzi akaja kunisikiliza mimi na wife, ile kamaliza akaondoka ghafla wife akanuna ile mbaya mbaya. Ikabidi nimuulize mbona umebadilika mood akasema "umenileta nije kuona malaya zako?" Na hakuongea chcht tena zaidi ya kusema turudi home, na hakula wala kunywa chcht pale.
Huwa sijitetea kwa wanawake ila nikacheka tu na kumwambia sio anavyofikiria. Lakini hadi hapa najua haukua utani maana kalala sebuleni, na wala yule manzi hakunigusa maana anajua yule ni mke wangu, na-recall situation nzima nashindwa kuelewa ni red flag gani wife aliona kati yetu.
Kali sana au nasema uongo Atotoshindikanaa na Half american na hii ni dipresheniii?
Kwa ulichoandika hapa mkeo akipita akasoma si ndo atakua amejua ukweli? Kweli akili ni nywele.
Pombe inazstopisha tu kwa muda zikikata hali ni ileile.Dawa ya dipresheni ni pombe tu vijana wahamasishweš
Watajua wenyewe mkuuPombe inazstopisha tu kwa muda zikikata hali ni ileile.