Kuna muda wanawake wana intelijensia ya ajabu jana yamenikuta

Mimi sasa Kila nikipata demu, siku ya appointment lazma wife anipigie simu anisalimie af anaanza kuniuliza kama Niko salama maana Hana Amani kabisa toka moyoni. Mwanzoni nilikua naogopa naacha , ila sasa hiv hata akinambia naendelea Tu na mipango yangu
 
Mkuu Mungu anakupenda achana na hayo mambo.

Hakuna faida kwenye uzinzi zaidi haya hasara tupu
 
Mkeo anakupenda... Acha uzinzi mkuu hauna faida kabisa tulia na mkeo..
 
Kawaida sana hiyo wanawake wengi huwa Wana machale sana mm huwa nikitoka kukutana na mchepuka hata kama sijashiriki naye tendo lazima wife ahisi kitu tu mpaka wakati mwingine huwa nahisi naishi na jini ndani.
 

Wanaume tu wajinga sana, ningemwambia ndiyo, maana hata yeye wanamla tu
 
Manzi yako aliwaheshimu kupitiliza
 
Don't you feel weird kusema Yesu ni bwanaako?
how Can I.

haya mambo hayajulikani kwa wote. ni neema. Mambo ya rohoni hujulikana kwa namna ya rohoni na watu wa rohoni.

unless u come to a position of knowing and believing that Jesus is your Lord and Savior, you will not inherit the kingdom of God.

Kristo ni BWANA, kanisa ni bi arusi.
 
Alisikia harufu ya shahawa zako mwilini mwa yule demu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…