Kuna Mwanamke nampenda humu hadi Malaika wa Mbinguni wanajua, je nivunje ukimya ili afurahi?

Kuna Mwanamke nampenda humu hadi Malaika wa Mbinguni wanajua, je nivunje ukimya ili afurahi?

hahahaa maana majibu yake tu anayoyatoaga huwa hayana tofauti na MZee wake bakayoko ..
lkini kama kweli tatizo liko hapo ..basii nina weza kumtetea kuwa ndio maana kahitaji mwanamke Mwenye sifa zile ambazo amezioanisha ..maana mwanamke Mwenye sifa zile kama atamkuta akiwa na mapungufu atatumia akili yake kum shape na mpka aweze kubadilika ktk baadhi ya mitazamo na misimamo ...hahaaa kwahiyo bado huna pakujificha mkuu


Haha!, Aiseeh!, basi kazi ipo.
Ngoja nimsome vizuri...lol
 
Back
Top Bottom