NguoYaSikuKuu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 681
- 1,020
Sijui kigezo kilichotumika kumleta huyu jamaa Sadio Kanoute.
Wengine watasema alikuwa kiungo bora kwenye mashindano ya CHAN 2019. Lakini huyu jamaa kifupi anachangia kuzamisha sana mtumbwi wa Simba ana bado wanalazamisha kumchezesha. Ni kiungo asiye na kasi na mpira, kumbuka kiungo mkabaji muhimu uwe na kasi kwa mpira wa kisasa.
Haya ndiyo niliyoyaina kwa Sadio Kanoute.
1. Yupo slow sana
2. Sio mzuri kwa mipira mirefu yaani kuhamisha timu.
3. Hana dribbling hawezi kuhold mpira hasa timu ikishambulia au kushambuliwa.
4. Hana commanding power kwa wachezaji wenzake , sio mtu anayeongea ni muda wote yupo kimyaa tu.
5. Passing accuracy yake ni mbovu, nilishuhudia kwenye mechi moja akipoteza pasi zaidi ya tano mfululizo.
Mimi binafsi kilichokuwa kinanikera kwa Mkude ni ile style yake ya backpass nyingi na slowness akiwa na mpira.
Ila.
1. Ana jicho la pasi ndefu na kuhamisha mpira zaidi ya Kanoute.
2. Ana pass accuracy kuliko Kanoute.
3.Anaweza kuhold mpira na dribble kuliko Kanoute.
Kifupi Bora acheze Mkude kuliko Kanoute.
Naombeni mnishawishi nimuelewe, mimi binafsi namuona ni mchezaji wa daraja la kawaida sana.
Wengine watasema alikuwa kiungo bora kwenye mashindano ya CHAN 2019. Lakini huyu jamaa kifupi anachangia kuzamisha sana mtumbwi wa Simba ana bado wanalazamisha kumchezesha. Ni kiungo asiye na kasi na mpira, kumbuka kiungo mkabaji muhimu uwe na kasi kwa mpira wa kisasa.
Haya ndiyo niliyoyaina kwa Sadio Kanoute.
1. Yupo slow sana
2. Sio mzuri kwa mipira mirefu yaani kuhamisha timu.
3. Hana dribbling hawezi kuhold mpira hasa timu ikishambulia au kushambuliwa.
4. Hana commanding power kwa wachezaji wenzake , sio mtu anayeongea ni muda wote yupo kimyaa tu.
5. Passing accuracy yake ni mbovu, nilishuhudia kwenye mechi moja akipoteza pasi zaidi ya tano mfululizo.
Mimi binafsi kilichokuwa kinanikera kwa Mkude ni ile style yake ya backpass nyingi na slowness akiwa na mpira.
Ila.
1. Ana jicho la pasi ndefu na kuhamisha mpira zaidi ya Kanoute.
2. Ana pass accuracy kuliko Kanoute.
3.Anaweza kuhold mpira na dribble kuliko Kanoute.
Kifupi Bora acheze Mkude kuliko Kanoute.
Naombeni mnishawishi nimuelewe, mimi binafsi namuona ni mchezaji wa daraja la kawaida sana.