Kuna mwenye experience ya kudate na mwanamke anaemiliki pub?

Kuna mwenye experience ya kudate na mwanamke anaemiliki pub?

Wakuu,kuna mwanamke mmoja mmiliki wa pub moja maarufu hapo Dar naona tunakoelekea ni kuanza kulana tu sasa.
Hivi kuna mwenye uzoefu wa kidate na wanawake wenye kumiliki bar humu anipe abc zao kabla sijatoa maamuzi?

swali utakalojiuliza: "nimefikaje hapa?".

kuwa makini mkuu
 
Wakuu,kuna mwanamke mmoja mmiliki wa pub moja maarufu hapo Dar naona tunakoelekea ni kuanza kulana tu sasa.
Hivi kuna mwenye uzoefu wa kidate na wanawake wenye kumiliki bar humu anipe abc zao kabla sijatoa maamuzi?
Mimi nina uzoefu kidogo, kwa kifupi kimbia achana naye, ni sawa na kwenda bar na baadae uondoke na bar maid.

Nilimwezesha mtaji na hata jina la pub na pub inabamba kinoma lakini nimekwenda pub mara moja tu na siku nimeenda alikuwa Bize sana na simu mwisho wa siku akaja chalii mmoja na ki stalelet na akawa Bize zaidi na hiyo chalii, mimi nikasema



Fear b***s
 
Kuna watu wana date na wachezaji vigodoro shughuli ikiisha wanaondoka wote saa 9 usiku sembuse wewe wa pub
 
Back
Top Bottom