UkimwiWakuu,kuna mwanamke mmoja mmiliki wa pub moja maarufu hapo Dar naona tunakoelekea ni kuanza kulana tu sasa.
Hivi kuna mwenye uzoefu wa kidate na wanawake wenye kumiliki bar humu anipe abc zao kabla sijatoa maamuzi?
UnaoUkimwi
Ukimwi uko juu yakoWakuu,kuna mwanamke mmoja mmiliki wa pub moja maarufu hapo Dar naona tunakoelekea ni kuanza kulana tu sasa.
Hivi kuna mwenye uzoefu wa kidate na wanawake wenye kumiliki bar humu anipe abc zao kabla sijatoa maamuzi?
Wakuu,kuna mwanamke mmoja mmiliki wa pub moja maarufu hapo Dar naona tunakoelekea ni kuanza kulana tu sasa.
Hivi kuna mwenye uzoefu wa kidate na wanawake wenye kumiliki bar humu anipe abc zao kabla sijatoa maamuzi?
HahahahaWanini kazi preshaaa tu hana msimamo mtu akipanda dau anamla elewa hilo .
Na ujue wanawake wachache ni waaminifu na mmewaharibu wenye kwa kukosa uaminifu
Hahahaha, dahHapo mzee monde za bure tu
Hii ndo yenyewe umemaliza kila kitu mkuu๐Trump amezuia misaada ya ARV, utakuwa ATM mwisho jiandae kukesya ukimsubiri afunge usiku wa manane huku akibambiwa mbele yako na usiulize chochote
Mimi nina uzoefu kidogo, kwa kifupi kimbia achana naye, ni sawa na kwenda bar na baadae uondoke na bar maid.Wakuu,kuna mwanamke mmoja mmiliki wa pub moja maarufu hapo Dar naona tunakoelekea ni kuanza kulana tu sasa.
Hivi kuna mwenye uzoefu wa kidate na wanawake wenye kumiliki bar humu anipe abc zao kabla sijatoa maamuzi?