castieltsar
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,528
- 2,723
Ghuikoleleghe kanunu.Wakuu,kuna mwanamke mmoja mmiliki wa pub moja maarufu hapo Dar naona tunakoelekea ni kuanza kulana tu sasa.
Hivi kuna mwenye uzoefu wa kidate na wanawake wenye kumiliki bar humu anipe abc zao kabla sijatoa maamuzi?
Mwanamke ni mwanamke tu blood hata kama angekua CEO wa EAC.
Mwanamke ni mwanamke tu blood hata kama angekua CEO wa EAC.
Mwambie asichelewe kabla hajabadili maamuzi blood ππΎβπΏ
NakaziaNakukumbusha tu
Rais Trump amekata misaada ya Arvs kwa africa.
So jipange.