Kuna mwenye experience ya kudate na mwanamke anaemiliki pub?

nikuombee sitisha huo mpango walichokwambia walimwengu elewa tu vizuri usikaze ubongo kama unapita pita haraka ila kama nikuweka kikao utapotea njia kiongozi
 
Wakuu,kuna mwanamke mmoja mmiliki wa pub moja maarufu hapo Dar naona tunakoelekea ni kuanza kulana tu sasa.
Hivi kuna mwenye uzoefu wa kidate na wanawake wenye kumiliki bar humu anipe abc zao kabla sijatoa maamuzi?
Ghuikoleleghe kanunu.
 
uNataka experience gani mkuu,Tumia akili unapofanya maamuzi magumu wanawake Wana vishawishi balaaaa ila tanguliza akili ya kujiuliza maswali magumu baada ya ww kuwa na mahusiano na huyo bidada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…