Kalamu Nzito
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 349
- 805
Ufadhili utawafanya mliwe Kande.Habari wana JF
Mimi ni jobless wa muda mrefu na nimeona nitafute njia za kupata mtaji nifanye project niliyonayo kichwani. Kuna mtandao unaitwa UFANDAO kwaajili ya ufadhili kutoka kwa watu mbalimbali endapo watashawishika na wazo lako. Kuna mwenye uelewa na namna inavyo-operate anipe hints? Nitashukuru sana.
Utatakiwa kulipa kwanza Euro 5 sawa na TZS 15,000/= hivi, ili kujiunga na mtandao na kupata account yako. Utaelezea kile unachotaka kufanya na kitapitiwa na team ya UFANDAO na kuna UWEZEKANO wa kupata hadi Euro 5,000 (~TZS 15M) kwa ajili ya project yako. Sifahamu zaidi ya hapo ila nahisi ni vigumu kupata funds kutoka kwenye hii system na yawezekana wazo lako nalo likaibwa hasa endapo kama huna patent ya kimataifa.Habari wana JF
Mimi ni jobless wa muda mrefu na nimeona nitafute njia za kupata mtaji nifanye project niliyonayo kichwani. Kuna mtandao unaitwa UFANDAO kwaajili ya ufadhili kutoka kwa watu mbalimbali endapo watashawishika na wazo lako. Kuna mwenye uelewa na namna inavyo-operate anipe hints? Nitashukuru sana.
Nashukuru sana kwa maelezo haya ndugu.Utatakiwa kulipa kwanza Euro 5 sawa na TZS 15,000/= hivi, ili kujiunga na mtandao na kupata account yako. Utaelezea kile unachotaka kufanya na kitapitiwa na team ya UFANDAO na kuna UWEZEKANO wa kupata hadi Euro 5,000 (~TZS 15M) kwa ajili ya project yako. Sifahamu zaidi ya hapo ila nahisi ni vigumu kupata funds kutoka kwenye hii system na yawezekana wazo lako nalo likaibwa hasa endapo kama huna patent ya kimataifa.
Una project gani niangalie uwezekano wa funders wengine.Nashukuru sana kwa maelezo haya ndugu.
Una project gani niangalie uwezekano wa funders wengine.Nashukuru sana kwa maelezo haya ndugu.