Kuna mwenye undani wa ROSE & NICK SHABOKA?

Kuna mwenye undani wa ROSE & NICK SHABOKA?

2025DG

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2023
Posts
520
Reaction score
1,498
Hello.

Msije kusema na wasema watumishi wa bwana.

Ila Tupo hapa kwa ajiri ya kujenga na jf ni sehemu pekee mtu anaweza kupata picha ya mambo ya watu wengi wasioyajua.

Kuna rafiki yangu mmoja amenishauri niende kusali kwa Rose&Nick SHABOKA.

sasa nimefuatilia mahubiri yao mtandaoni naona kama muda mwingi wanahubiri mambo ya mahusiano tu.

Kanisa lake vimejaa vibinti vinavaa vimini balaaa.

Na ma single mother wengi wanaotafuta ndoa za muujiza.

Wakuu najiuliza niende kusali?

Je kuna lingine nisilolijua kuhusiana na huduma yao ya kitume.
 
.
1688494474674.jpg
 
Mwandiko wako/hiki ulichokiandika Unaonyesha jibu unalo tayari,ila unachotaka ni kusikia negative comments kutoka kwa wachangiaji ili uulidhishe moyo wako zaidi.

Wabongo tunapenda kusikia na kusimulia taarifa mbaya za wenzetu,tuna safari ndefu sana.
 
Hao ni moja ya watumishi wa Mungu ambao ni wanafiki.....wanahubiri ili kupata sadaka na sio kuyaishi mahubiri yao......

Mke wake na yeye mwenyewe ni wanafiki wa maneno na matendo yao......
Na hiki ndicho alichokikusudia mleta mada. Apate taarifa Kama hizi na umbea mwingine wa kuwachafua wahusika ili asikie burudani.

Watu weusi hatupendi ku-mind our own business.

Kuna mwingine anaitwa Genta Nini sijui kila jumapili anamwanzishia thread mwamposa.

Tuna Shida Sana !!
 
Yaani hapo kwa shaboka wamejaa mabinti ambao wameumizwa sana na mahusiano, yule ni mtumishi wa kweli wa bwana ila delivery yake ya sermon imejikita zaidi na kuongelea experience na mawazo yake binafsi kutokana na uelewa wake wa mahusiano ya kimapenzi.

In short, i am not judging lakini ana sermon mbovu na haribifu sana kwa kizazi cha leo. She once said wamama wakiwa nyumbani wakae sitting room na night dress tu kwa wanaume zao regardless ya uwepo wa watoto, i then knew kwamba something was wrong somewhere.

And to add more, wengi wanasema she once had a very disasterful relationship, so maybe past trauma ndo zinamfanya awe na sermon za ajabu, Na wadada wanaoumizwa wanampenda sana maana wanaona ni kama survivor hivi wa mambo ya ajabu wanayopitia. Psychologically anawa exploit if you come to think of it. Anyways, sio kanisa sahihi kwa mtu anayejielewa kwenda kusali.
 
Ulikutana na nini ?

404: Page Not Found
Ushers wanavaa ka mabaamedi..vigauni vigupi hadi wanajivuta,suruali zimewabana sana.waimba kwaya unakuta kavaa skin tight na tishrt kubwa,wenginw vimini na skin tight ili ziwastiri mapaja.waumini wana hela balaa..noti zinamwagwa chini sio kwenye kikapu..

Pastor wao sasa..anapiga suti kali,anatembea na kikundi cha watu nyuma yake ikiwemo bidyguards na wapambe..ananukia paerfume ghali,anatembelea bonge la v8 haya matoleo mapya..ni mnaija hajui kiswahili fasaha
 
Back
Top Bottom