kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Naje wazee?
Aisee,kuna mdada ni engineer tuko nae kwenye mahusiano huu mwezi wa pili lakini dezaini flani kama sizisomi pigo zake.huyu manzi ni engineer by profession ila yuko busy balaa, inaweza ikapita hata week nzima hapatikani ukimuuliza anasema alikua site porini huko kwenye project na hakuna network.
Me napata wakati mgumu sana kumuelewa,nahis huko wanagongana tu na staff wenzie. Anyone mwenye ako na uzoefu wa kudate ba mdada engineer please help me.
Aisee,kuna mdada ni engineer tuko nae kwenye mahusiano huu mwezi wa pili lakini dezaini flani kama sizisomi pigo zake.huyu manzi ni engineer by profession ila yuko busy balaa, inaweza ikapita hata week nzima hapatikani ukimuuliza anasema alikua site porini huko kwenye project na hakuna network.
Me napata wakati mgumu sana kumuelewa,nahis huko wanagongana tu na staff wenzie. Anyone mwenye ako na uzoefu wa kudate ba mdada engineer please help me.