Kuna mwenye uzoefu wa kudate na mwanamke Engineer humu?

Kuna mwenye uzoefu wa kudate na mwanamke Engineer humu?

Aisee,kuna mdada ni engineer tuko nae kwenye mahusiano huu mwezi wa pili lakini dezaini flani kama sizisomi pigo zake.huyu manzi ni engineer by profession ila yuko busy balaa, inaweza ikapita hata week nzima hapatikani ukimuuliza anasema alikua site porini huko kwenye project na hakuna network.

Sasa mzee, kama anaenda mahali hakuna network, hilo sio kosa lake bali mazingira anayokuwepo?

Au ulitaka awe anabeba mnara wa simu kila aendapo?
 
Naje wazee?

Aisee,kuna mdada ni engineer tuko nae kwenye mahusiano huu mwezi wa pili lakini dezaini flani kama sizisomi pigo zake.huyu manzi ni engineer by profession ila yuko busy balaa, inaweza ikapita hata week nzima hapatikani ukimuuliza anasema alikua site porini huko kwenye project na hakuna network.

Me napata wakati mgumu sana kumuelewa,nahis huko wanagongana tu na staff wenzie. Anyone mwenye ako na uzoefu wa kudate ba mdada engineer please help me.
Pole sana kijana. Shida yenu mnafikiri elimu tu ni hizo za darasani mpaka kutafuta mke kunahitaji elimu na maarifa.
 
Dini inasema mwanamke mmoja aliyesoma ni sawa na makondoo 40 yenye kichaa hyo bado ni mwanamke wa kawaida tu usiogope hyo engineer ni title tu.
 
Nina engineer Yuko Tanroad ...
Mwezi wa kumi mwaka Jana alinitia hasara kulambisha Gari Yangu mzinga ..ila kajitahdi kutoa ushirikiano.
Ni mlevi Sana ila uzuri wake anakupa K mda wowote na popote.
Dear scholar love you
no poa kutaja jina alipo na personal -ve traits
 
Kama humuamini achana nae.. But reality hzo ndio changamoto za engineers tunazojutana nazo..

Sometime site hakuna kweli network, hususa hawa wa barabara... Ila kugongana site ni ngumu sana.. Kwa maana sio sehemu rafiki
Pitia Uzi wa kula tunda kimasihara utajua kila sehemu Ni rafiki kwa kupigana miti.
 
Kama humuamini achana nae.. But reality hzo ndio changamoto za engineers tunazojutana nazo..

Sometime site hakuna kweli network, hususa hawa wa barabara... Ila kugongana site ni ngumu sana.. Kwa maana sio sehemu rafiki
Mzee site tunawala kinyama, sio colleagues tu hata hawa wafanya usafi, secretary au ni nani achana na site mzee[emoji119]
 
Jiongeze buda tunashinda site na wamapigwa Mashine coz kazi ngumu hawawezi hivyo kazi Yao kubwa ni mbususu
Naje wazee?

Aisee,kuna mdada ni engineer tuko nae kwenye mahusiano huu mwezi wa pili lakini dezaini flani kama sizisomi pigo zake.huyu manzi ni engineer by profession ila yuko busy balaa, inaweza ikapita hata week nzima hapatikani ukimuuliza anasema alikua site porini huko kwenye project na hakuna network.

Me napata wakati mgumu sana kumuelewa,nahis huko wanagongana tu na staff wenzie. Anyone mwenye ako na uzoefu wa kudate ba mdada engineer please help
 
Naje wazee?

Aisee,kuna mdada ni engineer tuko nae kwenye mahusiano huu mwezi wa pili lakini dezaini flani kama sizisomi pigo zake.huyu manzi ni engineer by profession ila yuko busy balaa, inaweza ikapita hata week nzima hapatikani ukimuuliza anasema alikua site porini huko kwenye project na hakuna network.

Me napata wakati mgumu sana kumuelewa,nahis huko wanagongana tu na staff wenzie. Anyone mwenye ako na uzoefu wa kudate ba mdada engineer please help me.
Injinia wa nn
 
M/MUNGU atakupa wa kufanana naye.. mwache atafute engineer mwenzake
 
Jamaa zangu engineers niliosoma nao walikua wana date, jamaa akitaka kupiga show lazima wa solve kwanza mth, na phys ndio demu amtengee jamaa.

Kifupi hawapo romantic, pili kwao mapenzi yani ni kitu tu cha kawaida sio muhimu sana kwao, wewe unaweza kua unamuwaza mwenzako anawaza swali la hesabu alilokosaga mwaka wa 3 chuo, au anawaza engineer drawings

Kama umependa komaa ila hawana tofauti sana na ma tom boy japo wao wapo ki professional zaidi
 
Naje wazee?

Aisee,kuna mdada ni engineer tuko nae kwenye mahusiano huu mwezi wa pili lakini dezaini flani kama sizisomi pigo zake.huyu manzi ni engineer by profession ila yuko busy balaa, inaweza ikapita hata week nzima hapatikani ukimuuliza anasema alikua site porini huko kwenye project na hakuna network.

Me napata wakati mgumu sana kumuelewa,nahis huko wanagongana tu na staff wenzie. Anyone mwenye ako na uzoefu wa kudate ba mdada engineer please help me.
Ni engeneer wann
Na yupo mkoa gani?
Then nikupe ushauri mzuri
 
Back
Top Bottom