cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,756
- 5,250
Haina shida Mkuu
Basi tawile mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina shida Mkuu
Hata mimi nimeshangaa kweli kweli mtu analeta malalamiko kama haya. Kila siku kuna wanaume wengi wanaingiliana na pia kuna wanawake wanakubali kuingiliwa kinyume. Serikali haina say kwa mambo ya watu binafsi. Tena siku hizi mashoga ni wengi kweli kweli.Mamlaka zipi mnazungumzia?
Mashoga wapo wazi wazi tunawaona hasa mitandani na wanajulikana makazi yao hakuna mamlaka yoyote inayoshughulika nao.
Amen 🙏Basi tawile mkuu
Amen 🙏Basi tawile mkuu
Kumbuka akitoka hapo anarudi mtaani kwako, unamkabidhi acheze na mwanao.....Mwanao kaishaMtu mzima kwa akili zake timamu kaamua bila shuruti kuchomekwa utambi , how am I concerned?
Why should I care?
Haya mambo yanasambaa kumbuka, hiyo ni chain, ni kama kirusi kinavyosambaa,, Hao wanaofanywa wanaishi mtaani na watoto wako wanamuita uncle/Kaka/bamdogo...TafakariWatu waache kunufaika na huo mradi wa Panya waanze kuchungua anachomekana na nani,
Ingekua anawafanyia Watoto hapo ingekua another issue ila ni watu wazima wenzie,
Heko kwa wakazi wa SUA wanajitambua.
Madhara yake ni makubwa kuliko mnavyofikiri, Sijui mna akili za namna gani mnaofikiri hiviBango lako lingekuwa na mantiki kama tu angekuwa anawaingilia watoto wadogo au angekuwa anafanya na hao watu kwa kuwabaka.
Otherwise hajavunja sheria yoyote thats why yule polisi wa zenji yupo zake huru.
Wewe ni shogaMtu mzima kwa akili zake timamu kaamua bila shuruti kuchomekwa utambi , how am I concerned?
Why should I care?
Hao vijana wanajipeleka Kwa mzungu Ni kutoka SUA? Ila.kiukweli SUA ya makamanda ilikuaga zamaniMamlaka husika fanyeni utafiti wenu mtajua yote. Wajibu wangu kama whistle blower nimetimiza.
Wadiz[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kashtaki sasaWajibu wangu ni kupiga mbiu mamlaka timizeni wajibu wa kuilinda jamii.
Mkisikia ushoga upo basi jamii underground wanayaona na kuyafunika kuna Tetesi zisizo na mashaka za miaka mingi, bodaboda na bajaji na wanajamii ya SUA wanajua hilo na wanashuhudia ugomvi wa mashoga ama wanaume kwenye makazi ya huyo mzungu ambae inasemekana yupo kwenye mradi wa panya na wanaomfahamu wanasema yupo miaka mingi na anayofanya yanaonekana peupe na hajifichi.
Jamii na mamlaka za SUA zipo na zinaona, yawezekana huyo mzungu ana mchango mkubwa kwenye huo mradi wa panya kiasi kwamba mamlaka na jamii ya SUA wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite.
Ninapoandika habari hii nimepata taarifa kutoka vyanzo vya watu ambao wako kwenye kada mbalimbali pale SUA campus kuu Morogoro, Bodaboda, waalimu, baadhi ya wakazi wa mtaa wa kilimo, dereva bajaji, wakazi wa kididimo.
Pia taarifa kutoka mdogo wangu aliyesoma Agronomy SUA na kuhitimu mwaka jana ambae alikuwa amepanga ghetto kididimo.
Kama mimi Wadiz mkazi wa jijini Dodoma naweza kufahamu mambo kama haya toka jamii hio iweje wana SUA wanashindwa kupaza sauti kukemea vitendo vya kishoga vya huyo mzungu kwa miaka yote ambayo ameishi nchini akiwa hapo SUA?
Ni hatari sana kuwa na taasisi na wanajamii wanaokumbatia uozo wa kimaadili kama huo.
Mamlaka husika fanyeni utafiti wenu mtajua yote. Wajibu wangu kama whistle blower nimetimiza.
Wadiz
Kwani Katiba yako ya JMT inasemaje?! Kwenye Hilo Jambo ni marufuku..kwani anawabaka? Kama siyo watoto na habaki, hamna kesi hapo …
Tatizo ni kwamba sheria haizingatiwi. Yule polisi wa zenji alifikishwa hadi mahakamani mwisho wa siku aliachiwa huru, na ushahidi ulikuwepo wazi.Kwani Katiba yako ya JMT inasemaje?! Kwenye Hilo Jambo ni marufuku..
Vijana wa hapo SUA kulikon kuuza utu wenu Kwa Mzungu?Serikali ina mambo mengi ya kufanya,kweli ianze na kuwachunga watu wasiingiliwe kinyume na maumbile?
Hao watu kwamba wanabakwa au?
Jambo la kufanywa kinyume na maumbile nadhani wanakubaliana,ndomaana hawashtaki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna anayeona ni kawaida lakini katika Nchi hii hata upige kelele vipi haibadili kitu chochote ni kupoteza muda.
Tena kuna mashoga humu baada ya kuona hili bango kesho wataenda kugonga hodi kwa huyo mzungu. Mzungu kapewa promo..
Kwenye soka wamejaa teleee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tayari viongozi mashoga wapo, walimu, madaktari, na nishashuhudia! Haya walio kwenye vyombo vya ulinzi na usalama nao wamo, mfano rahisi ni yule kijana wa Znz na matrafiki michele mpaka hapa bara tunao.
Bado kwenye ndondi na soka tu... eeh! Mungu wangu [emoji17][emoji17][emoji17][emoji1487][emoji1488]
umenitisha hapo uliposema na "waalimu",. kwa msiojua, wazungu wengi ni mashota au wanawaingilia wanawake kinyume na maumbile. kwa mashoga, huwa wanaapata mradi kuja huku, ila wakiwa huku hawafanyi tu na huo mradi waliokujia, huwa wanakuwa mawakala wa jumuiza za mashoga wa ulaya, ambao wanajifanya wanasaidia mashoga wa bongo, na kwa mgongo huo hao wazungu huwa wanakusanya pesa nyingi na wanazigawa sana, wanaoganize mashoga na wanajenga jamii zao hata hapa bongo. ndio maana utaona hata yule mzungu wamasaki aliyefichuliwa na kina mwakyembe, alikuwa analipia watu apartment masaki ili awe anawalawiti. wajinga sana hawa.Wajibu wangu ni kupiga mbiu mamlaka timizeni wajibu wa kuilinda jamii.
Mkisikia ushoga upo basi jamii underground wanayaona na kuyafunika kuna Tetesi zisizo na mashaka za miaka mingi, bodaboda na bajaji na wanajamii ya SUA wanajua hilo na wanashuhudia ugomvi wa mashoga ama wanaume kwenye makazi ya huyo mzungu ambae inasemekana yupo kwenye mradi wa panya na wanaomfahamu wanasema yupo miaka mingi na anayofanya yanaonekana peupe na hajifichi.
Jamii na mamlaka za SUA zipo na zinaona, yawezekana huyo mzungu ana mchango mkubwa kwenye huo mradi wa panya kiasi kwamba mamlaka na jamii ya SUA wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite.
Ninapoandika habari hii nimepata taarifa kutoka vyanzo vya watu ambao wako kwenye kada mbalimbali pale SUA campus kuu Morogoro, Bodaboda, waalimu, baadhi ya wakazi wa mtaa wa kilimo, dereva bajaji, wakazi wa kididimo.
Pia taarifa kutoka mdogo wangu aliyesoma Agronomy SUA na kuhitimu mwaka jana ambae alikuwa amepanga ghetto kididimo.
Kama mimi Wadiz mkazi wa jijini Dodoma naweza kufahamu mambo kama haya toka jamii hio iweje wana SUA wanashindwa kupaza sauti kukemea vitendo vya kishoga vya huyo mzungu kwa miaka yote ambayo ameishi nchini akiwa hapo SUA?
Ni hatari sana kuwa na taasisi na wanajamii wanaokumbatia uozo wa kimaadili kama huo.
Mamlaka husika fanyeni utafiti wenu mtajua yote. Wajibu wangu kama whistle blower nimetimiza.
Wadiz
Hao wazungu mnawasingizia tyuuh, kila mtu anafanya kwa utashi wake. Lolumenitisha hapo uliposema na "waalimu",. kwa msiojua, wazungu wengi ni mashota au wanawaingilia wanawake kinyume na maumbile. kwa mashoga, huwa wanaapata mradi kuja huku, ila wakiwa huku hawafanyi tu na huo mradi waliokujia, huwa wanakuwa mawakala wa jumuiza za mashoga wa ulaya, ambao wanajifanya wanasaidia mashoga wa bongo, na kwa mgongo huo hao wazungu huwa wanakusanya pesa nyingi na wanazigawa sana, wanaoganize mashoga na wanajenga jamii zao hata hapa bongo. ndio maana utaona hata yule mzungu wamasaki aliyefichuliwa na kina mwakyembe, alikuwa analipia watu apartment masaki ili awe anawalawiti. wajinga sana hawa.