mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,379
- 1,276
Yaani washindwe kufanyia utafiti mambo nyeti ya Taifa wafanyie utafiti wanamme wanaopeleka makalio yao huko?
Naunga mkono hoja 👍👏Andika “baadhi ya wanaume sijui mmekuwaje??” siyo kama ulivyoandika hapo juu maana inasomeka kama umetuweka wote mpaka baba yako.
Jaribu kuongea na mdogo wako vzr, isije kuwa ni miongon mwa wateja wakubwa sana wa uyo Mzungu
Kwa kweli ni vitendo vilivyo nje ya maadili yetu kabisaWanawake ndo huona kawaida ndo maana wanashindana
Alafu we hujaharibika saana maana unaonekana tu mgeni kwenye huo ujinga, tukikupa ni rahisi saana kukurudisha kwenye mstariMakazi ya mzungu mnayajua mmeshindwa kufanya lolote, hata ukijua makazi yangu utafanya nini zaidi ya kuja kulalamika hapa?
Ndo hivyo hamna la kufanya. Inauma kweli
Ukiwa wewe kwenye mstari inatosha mkuu.Alafu we hujaharibika saana maana unaonekana tu mgeni kwenye huo ujinga, tukikupa ni rahisi saana kukurudisha kwenye mstari
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka kumtumia private ukajichanganya ukaweka mambo hadharani [emoji2960][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu Salama, Mzungu yeye ni Top au Bottom?
Lazima wakidhurumiana mmoja atoke kutoboa siriMkisikia ushoga upo basi jamii underground wanayaona na kuyafunika kuna Tetesi zisizo na mashaka za miaka mingi, bodaboda na bajaji na wanajamii ya SUA wanajua hilo na wanashuhudia ugomvi wa mashoga ama wanaume kwenye makazi ya huyo mzungu ambae inasemekana yupo kwenye mradi wa panya na wanaomfahamu wanasema yupo miaka mingi na anayofanya yanaonekana peupe na hajifichi.
Jamii na mamlaka za SUA zipo na zinaona, yawezekana huyo mzungu ana mchango mkubwa kwenye huo mradi wa panya kiasi kwamba mamlaka na jamii ya SUA wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite.
Ninapoandika habari hii nimepata taarifa kutoka vyanzo vya watu ambao wako kwenye kada mbalimbali pale SUA campus kuu Morogoro, Bodaboda, waalimu, baadhi ya wakazi wa mtaa wa kilimo, dereva bajaji, wakazi wa kididimo.
Kama concept ingekuaa hivi, kilaa dhambi inayofanywa na mtu mwenye akili timamu isingehukumiwa bhasMtu mzima kwa akili zake timamu kaamua bila shuruti kuchomekwa utambi , how am I concerned?
Why should I care?
Andika “baadhi ya wanaume sijui mmekuwaje??” siyo kama ulivyoandika hapo juu maana inasomeka kama umetuweka wote mpaka baba yako.