Duh 🙌Hiyo misemo ya zamani asante kwa kutukumbushia ila zamani ni tofauti na sasa ndio maana sasa hivi kuna maendeleo ya technologia (udigitali) Mtoto wa mwenzio sasa hivi si mtoto wako tena maana ni mkubwa mwenzio tena bila wewe mkuju an kama ni mkubwa anajieleza kwa vitendo ili ujue kama ni mkubwa mwenzio kwaiyo ni nguvu kwa nadharia iyo uliyoisema kujithibitisha kwa sasa ndio maana we just mind our business na wao wa do the same akili kumkichwa kwa sasa
Huwa anawabaka au wanataka wenyewe? Au amekupunja malipo?Wajibu wangu ni kupiga mbiu mamlaka timizeni wajibu wa kuilinda jamii.
Mkisikia ushoga upo basi jamii underground wanayaona na kuyafunika kuna Tetesi zisizo na mashaka za miaka mingi, bodaboda na bajaji na wanajamii ya SUA wanajua hilo na wanashuhudia ugomvi wa mashoga ama wanaume kwenye makazi ya huyo mzungu ambae inasemekana yupo kwenye mradi wa panya na wanaomfahamu wanasema yupo miaka mingi na anayofanya yanaonekana peupe na hajifichi.
Jamii na mamlaka za SUA zipo na zinaona, yawezekana huyo mzungu ana mchango mkubwa kwenye huo mradi wa panya kiasi kwamba mamlaka na jamii ya SUA wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite.
Ninapoandika habari hii nimepata taarifa kutoka vyanzo vya watu ambao wako kwenye kada mbalimbali pale SUA campus kuu Morogoro, Bodaboda, waalimu, baadhi ya wakazi wa mtaa wa kilimo, dereva bajaji, wakazi wa kididimo.
Pia taarifa kutoka mdogo wangu aliyesoma Agronomy SUA na kuhitimu mwaka jana ambae alikuwa amepanga ghetto kididimo.
Kama mimi Wadiz mkazi wa jijini Dodoma naweza kufahamu mambo kama haya toka jamii hio iweje wana SUA wanashindwa kupaza sauti kukemea vitendo vya kishoga vya huyo mzungu kwa miaka yote ambayo ameishi nchini akiwa hapo SUA?
Ni hatari sana kuwa na taasisi na wanajamii wanaokumbatia uozo wa kimaadili kama huo.
Mamlaka husika fanyeni utafiti wenu mtajua yote. Wajibu wangu kama whistle blower nimetimiza.
Wadiz
Hao wanaofanyiwa hivyo vitendo kwanini wasiende kushtaki??
Ila wanaume sijui mmekuwaje?? kabisa na limkia lako unabong’oka kwa me mwenzio akuingilie ptyuuuuu
Shida ni kwamba wakiachwa tatizo litazidi kuongozeka!
Baadae wataanza movement za kudai haki na pia kudai ndoa za jinsia moja zihalalishwe kama ilivyo kwa nchi za magharibi
Mashoga wapo wengi kitaa, na mabasha kibwena,Wajibu wangu ni kupiga mbiu mamlaka timizeni wajibu wa kuilinda jamii.
Mkisikia ushoga upo basi jamii underground wanayaona na kuyafunika kuna Tetesi zisizo na mashaka za miaka mingi, bodaboda na bajaji na wanajamii ya SUA wanajua hilo na wanashuhudia ugomvi wa mashoga ama wanaume kwenye makazi ya huyo mzungu ambae inasemekana yupo kwenye mradi wa panya na wanaomfahamu wanasema yupo miaka mingi na anayofanya yanaonekana peupe na hajifichi.
Jamii na mamlaka za SUA zipo na zinaona, yawezekana huyo mzungu ana mchango mkubwa kwenye huo mradi wa panya kiasi kwamba mamlaka na jamii ya SUA wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite.
Ninapoandika habari hii nimepata taarifa kutoka vyanzo vya watu ambao wako kwenye kada mbalimbali pale SUA campus kuu Morogoro, Bodaboda, waalimu, baadhi ya wakazi wa mtaa wa kilimo, dereva bajaji, wakazi wa kididimo.
Pia taarifa kutoka mdogo wangu aliyesoma Agronomy SUA na kuhitimu mwaka jana ambae alikuwa amepanga ghetto kididimo.
Kama mimi Wadiz mkazi wa jijini Dodoma naweza kufahamu mambo kama haya toka jamii hio iweje wana SUA wanashindwa kupaza sauti kukemea vitendo vya kishoga vya huyo mzungu kwa miaka yote ambayo ameishi nchini akiwa hapo SUA?
Ni hatari sana kuwa na taasisi na wanajamii wanaokumbatia uozo wa kimaadili kama huo.
Mamlaka husika fanyeni utafiti wenu mtajua yote. Wajibu wangu kama whistle blower nimetimiza.
Wadiz
Mkuu kuna vitu huwa vinafikisha Sana Anywei...Acha tuendelee kuishiVipi wahusika wakiulizwa halafu wakakataa?
Unaposikia kwamba sasa hivi serikali imeamua kuleta nchini huduma ya kuongeza makalio ili kuwapunguzia wananchi gharama na muda wa kwenda nje ya nchi, Je kama una akili timamu kuweza kusoma between the lines, hapo unapata ujumbe gani?
Serikali yenyewe inajua.Umeona eeh!! Nakuhakikishia wote wanao ona ni sawa ni MAPUNGA pia.
Hata kijana wako atakapoamua kufukuliwa matunda daily pia hautajaliMtu mzima kwa akili zake timamu kaamua bila shuruti kuchomekwa utambi , how am I concerned?
Why should I care?
Huyu naye ni mmojawapo kwa hii comment yake.Mkuu Salama, Mzungu yeye ni Top au Bottom?
Amuulize pia swali hili kama mtegoJaribu kuongea na mdogo wako vzr, isije kuwa ni miongon mwa wateja wakubwa sana wa uyo Mzungu
Mjibunii aridhikee[emoji1787][emoji1787]Huyu naye ni mmojawapo kwa hii comment yake.
Duh [emoji119]
Haina shida MkuuVipi mkuu?