Kuna namna yoyote naweza kuifanya ili mtoto wangu awe raia wa Zanzibar ili nimpunguzie mzigo wa uraia wa bara?

Kuna namna yoyote naweza kuifanya ili mtoto wangu awe raia wa Zanzibar ili nimpunguzie mzigo wa uraia wa bara?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Kila mzazi ana jukumu la kumpunguzia hali ya kusota mtoto wake kwa kumuandalia mazingira wezeshi, nami nataka niende extra mile ya kujaribu apate uraia wa Zanzibar.

Kwa ninachokiona ni wazi kabisa uraia wa Zanzibar ukiulinganisha na huu wetu kama maji na mafuta, kuna privelledges katika uraia wa Zanzibar kuzidi huu wetu wa kawaida.

Mimi navyoona nikiweza kumpambania mwanangu awe araia wa Zanzibar itakuwa nafuu sana kwake.

Kwa uraia wa bara ukienda jkt unaweza kujitolea mpaka basi lakini ukarudi kwenu kulima magimbi ama kwenda suma jkt mishahara ya laki 2, hali ni tofauti kwa wazanzibari ambao wakiweza kumaliza jkt ni rahisi kupewa kipaumbele kwenye idara za majeshi kama jwtz, polis, n.k na hata huko wakifika kwenye upandishaji wa vyeo huwa inabidi wawemo ili kupata uwakilishi.

Kwa uraia wa bara hadi sasa wahitimu wa vyuoni ni wengi sana na wanaendelea kumiminika, nafasi za ajira zimekuwa na ushindani wa hali ya juu sana kiasi cha kuangalia ufaulu, chuo ulichosoma, experience, n.k. Ila kwa upande wa Zanzibar, uraia ni sifa tosha kabisa. mfano zinaweza kutangazwa kazi 100 taasisi flani ni lazima uwakilisi wa zanzibar uwepo walau katika nafasi 20, na hata hizo hawawezi zijaza maana wapo wachache.
 
Kila mzazi ana jukumu la kumpunguzia hali ya kusota mtoto wake kwa kumuandalia mazingira wezeshi, nami nataka niende extra mile ya kujaribu apate uraia wa Zanzibar.

Kwa ninachokiona ni wazi kabisa uraia wa Zanzibar ukiulinganisha na huu wetu kama maji na mafuta, kuna privelledges katika uraia wa Zanzibar kuzidi huu wetu wa kawaida.

Mimi navyoona nikiweza kumpambania mwanangu awe araia wa Zanzibar itakuwa nafuu sana kwake.

Kwa uraia wa bara ukienda jkt unaweza kujitolea mpaka basi lakini ukarudi kwenu kulima magimbi ama kwenda suma jkt mishahara ya laki 2, hali ni tofauti kwa wazanzibari ambao wakiweza kumaliza jkt ni rahisi kupewa kipaumbele kwenye idara za majeshi kama jwtz, polis, n.k na hata huko wakifika kwenye upandishaji wa vyeo huwa inabidi wawemo ili kupata uwakilishi.

Kwa uraia wa bara hadi sasa wahitimu wa vyuoni ni wengi sana na wanaendelea kumiminika, nafasi za ajira zimekuwa na ushindani wa hali ya juu sana kiasi cha kuangalia ufaulu, chuo ulichosoma, experience, n.k. Ila kwa upande wa Zanzibar, uraia ni sifa tosha kabisa. mfano zinaweza kutangazwa kazi 100 taasisi flani ni lazima uwakilisi wa zanzibar uwepo walau katika nafasi 20, na hata hizo hawawezi zijaza maana wapo wachache.
 
Kila mzazi ana jukumu la kumpunguzia hali ya kusota mtoto wake kwa kumuandalia mazingira wezeshi, nami nataka niende extra mile ya kujaribu apate uraia wa Zanzibar.

Kwa ninachokiona ni wazi kabisa uraia wa Zanzibar ukiulinganisha na huu wetu kama maji na mafuta, kuna privelledges katika uraia wa Zanzibar kuzidi huu wetu wa kawaida.

Mimi navyoona nikiweza kumpambania mwanangu awe araia wa Zanzibar itakuwa nafuu sana kwake.

Kwa uraia wa bara ukienda jkt unaweza kujitolea mpaka basi lakini ukarudi kwenu kulima magimbi ama kwenda suma jkt mishahara ya laki 2, hali ni tofauti kwa wazanzibari ambao wakiweza kumaliza jkt ni rahisi kupewa kipaumbele kwenye idara za majeshi kama jwtz, polis, n.k na hata huko wakifika kwenye upandishaji wa vyeo huwa inabidi wawemo ili kupata uwakilishi.

Kwa uraia wa bara hadi sasa wahitimu wa vyuoni ni wengi sana na wanaendelea kumiminika, nafasi za ajira zimekuwa na ushindani wa hali ya juu sana kiasi cha kuangalia ufaulu, chuo ulichosoma, experience, n.k. Ila kwa upande wa Zanzibar, uraia ni sifa tosha kabisa. mfano zinaweza kutangazwa kazi 100 taasisi flani ni lazima uwakilisi wa zanzibar uwepo walau katika nafasi 20, na hata hizo hawawezi zijaza maana wapo wachache.
Hakuna uraia wa Zanzibar wala wa Tanganyika. Uraia ni mmoja tu wa Jamhuri ya Muungano wa TANZANIA.
 
Kwa Zanzibar, kazi zinatafuta watu. Siyo kama huku bara watu wanatafuta kazi..

Maana 50% ya kazi zote za wizara za muungano huku bara ni za wanzibari na 100% ni za wazanzibari . Sasa kwa population ya watu wa Zanzibar unakuta wasomi wote wameisha kazi bado zipo.

Kwahiyo ukicanikiwa kumvisha mwanao uraia wa Zanzibar utakuwa umeupiga mwingi Sana.
 
Minority, socially, economically or politically disadvantaged groups huwa zinapewa upendeleo, vinginevyo watapotezwa au kumezwa na majority groups.....ila nao wapunguze masimango ya kuwabagua na kuwaita sponsors majina ya ajabu, sijui chogo...
 
Kwa Zanzibar, kazi zinatafuta watu. Siyo kama huku bara watu wanatafuta kazi..

Maana 50% ya kazi zote za wizara za muungano huku bara ni za wanzibari na 100% ni za wazanzibari . Sasa kwa population ya watu wa Zanzibar unakuta wasomi wote wameisha kazi bado zipo.

Kwahiyo ukicanikiwa kumvisha mwanao uraia wa Zanzibar utakuwa umeupiga mwingi Sana.
Wapo wengi tu huko kisiwani hawana kazi na wamesoma vyuo vya huku bara na kurejea kwao kusota kutafuta ajira...

Kama una hisi kuna kazi za bwelele zina tafuta watu basi mimi nita kuletea vijana watano walio soma uchumi, mazingira, uhasibu uweze kuwasaidia...
 
Wapo wengi tu huko kisiwani hawana kazi na wamesoma vyuo vya huku bara na kurejea kwao kusota kutafuta ajira...

Kama una hisi kuna kazi za bwelele zina tafuta watu basi mimi nita kuletea vijana watano walio soma uchumi, mazingira, uhasibu uweze kuwasaidia...
Walete bara huku bado kuna nafasi zao zimekaliwa na watu wa bara
 
Kitambulisho cha mzanzibari mkaazi unakijua?
Nakijua vizuri Sana. Kile ni Kitambulisho cha Ukaazi sio Uraia.
Na ndio maana Watanzania ambao hawakuzaliwa Zanzibar wakiishi Zanzibar kwa muda wa angalau miaka 5 mfululizo (Kuna wakati ilikuwa miaka 2 tu) wanahaki ya kupata Kitambulisho kile.
Na huyu aliezaliwa Zanzibar akaamua kuondoka ( bila sababu ya kisheria) kwa muda miaka 2 mfululizo hapewi na hata kama anacho haandikishwi kwenye daftari la Mpiga Kura ( labda kwa njia za panya).
 
Mtoto akizaliwa Zanzibar, Cheti cha kuzaliwa kikisoma kule atakuwa na Faida ya kupata kitambulisho cha Mzanzibar mkaazi.
Passport ni moja bara na visiwani
 
Nakijua vizuri Sana. Kile ni Kitambulisho cha Ukaazi sio Uraia.
Na ndio maana Watanzania ambao hawakuzaliwa Zanzibar wakiishi Zanzibar kwa muda wa angalau miaka 5 mfululizo (Kuna wakati ilikuwa miaka 2 tu) wanahaki ya kupata Kitambulisho kile.
Na huyu aliezaliwa Zanzibar akaamua kuondoka ( bila sababu ya kisheria) kwa muda miaka 2 mfululizo hapewi na hata kama anacho haandikishwi kwenye daftari la Mpiga Kura ( labda kwa njia za panya).
Sababu za kisheria za kuondoka ni zipi ndugu?
 
Back
Top Bottom