Kuna namna yoyote naweza kuifanya ili mtoto wangu awe raia wa Zanzibar ili nimpunguzie mzigo wa uraia wa bara?

Kuna namna yoyote naweza kuifanya ili mtoto wangu awe raia wa Zanzibar ili nimpunguzie mzigo wa uraia wa bara?

Ukienda Zanzibar tukipata mume una adopt uraia wa mumeo automatically watoto wqko wanakuwa raia. Mimi niko tayari kukuowa!
Ukite umetangazia ndoa dingi moja lenye mzinga wa kitambi na uwaraza😁😁😁
 
Umeshaiona Passport ya Tanganyika au Zanzibar baada 1964 zikitumika au kutolewa?
images.jpeg


MKUU hii unaifahamu au nikuache kwanza
 
Salome mimi nipo tayari kukuowa ili mtoto wetu apate uraia wa Zanzibar.
 
Back
Top Bottom