M Mtutuwandei JF-Expert Member Joined Jun 28, 2022 Posts 1,317 Reaction score 1,817 Dec 23, 2022 #21 Offshore Seamen said: Mtoto akizaliwa Zanzibar, Cheti cha kuzaliwa kikisoma kule atakuwa na Faida ya kupata kitambulisho cha Mzanzibar mkaazi. Passport ni moja bara na visiwani Click to expand... Haitoshi. Lazima aishi Zanzibar miaka mitano mfululizo.
Offshore Seamen said: Mtoto akizaliwa Zanzibar, Cheti cha kuzaliwa kikisoma kule atakuwa na Faida ya kupata kitambulisho cha Mzanzibar mkaazi. Passport ni moja bara na visiwani Click to expand... Haitoshi. Lazima aishi Zanzibar miaka mitano mfululizo.
Toxic Concotion JF-Expert Member Joined Aug 5, 2015 Posts 5,760 Reaction score 20,837 Dec 23, 2022 #22 Kizibao said: Ukienda Zanzibar tukipata mume una adopt uraia wa mumeo automatically watoto wqko wanakuwa raia. Mimi niko tayari kukuowa! Click to expand... Ukite umetangazia ndoa dingi moja lenye mzinga wa kitambi na uwaraza😁😁😁
Kizibao said: Ukienda Zanzibar tukipata mume una adopt uraia wa mumeo automatically watoto wqko wanakuwa raia. Mimi niko tayari kukuowa! Click to expand... Ukite umetangazia ndoa dingi moja lenye mzinga wa kitambi na uwaraza😁😁😁
M makwega7 JF-Expert Member Joined Mar 18, 2018 Posts 3,037 Reaction score 3,316 Dec 23, 2022 #23 Mtutuwandei said: Sababu za kisheria za kuondoka ni zipi ndugu? Click to expand... Uhamisho wa kikazi, uteuzi, matibabu n.k
Mtutuwandei said: Sababu za kisheria za kuondoka ni zipi ndugu? Click to expand... Uhamisho wa kikazi, uteuzi, matibabu n.k
DR Mambo Jambo JF-Expert Member Joined May 10, 2012 Posts 11,622 Reaction score 26,005 Dec 23, 2022 #24 makwega7 said: Umeshaiona Passport ya Tanganyika au Zanzibar baada 1964 zikitumika au kutolewa? Click to expand... MKUU hii unaifahamu au nikuache kwanza
makwega7 said: Umeshaiona Passport ya Tanganyika au Zanzibar baada 1964 zikitumika au kutolewa? Click to expand... MKUU hii unaifahamu au nikuache kwanza
Mamlukii JF-Expert Member Joined Dec 1, 2021 Posts 1,063 Reaction score 2,387 Dec 23, 2022 #25 Salome mimi nipo tayari kukuowa ili mtoto wetu apate uraia wa Zanzibar.