Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Ahahahahahhahahahahaha acha usenge basi mwanangu ahahahhaKuna jirani yangu hapa niliona mwanae anaichezea na remote. Kina kelele balaa
Tutazipata wapi ndugu yangu kama hata umeme unatushinda. Eti Vitoto vya wazee wa zamani wa CCM ambao pia walifeli uongoz ndio viongozi.Katika ukanda wa Afrika Mashariki kuna inamiliki ndege zisizo na rubani kwa ajili ya vita?
Kama ipo je hizo ndege ni mpya au zamani? Tunaweza kukabiliana na tishio mashambulizi kama Israeli?
Kama hatuna kwanini tunakwenda kuficha majini Ukata? Tutaweza kujilinda wenyewe bila nguvu ya kiuchumi?Tutapataje nguvu ya kiuchumi kwa kuwa na aslimia kubwa ya viongozi tegemezi na asilimia ndogo ya watu wanaowaza kujitegemea?
Kama taasisi za dini zimeweza kujitegemea kwanini siyo serikali?
Zaidi ya 90% ya hizo ndege zimepasuliwa juu kwa juu bila kuleta madharaIran imetisha aisee, unaishambulia Israel kwa makombora yote Yale na drones na Israel haijibu? Ahahahah
Kweli imebadilika sana
Nawe unaamini?Zaidi ya 90% ya hizo ndege zimepasuliwa juu kwa juu bila kuleta madhara
Sasa hii inakushangaza nini. Unavita wanapigana hovyohovyo siku hizi.Iran imetisha aisee, unaishambulia Israel kwa makombora yote Yale na drones na Israel haijibu? Ahahahah
Kweli imebadilika sana
Huu mchango umekaa ki-snitch sana mkuu.Tanzania tunazo nyingi sana mkoani kigoma na sumbawanga.
Na wewe unaamini kuwa zote zime hit target?Nawe unaamini?
Rwanda kupitia M23 walitumia drones kushambulia kambi za Jeshi la Congo.Katika ukanda wa Afrika Mashariki kuna inamiliki ndege zisizo na rubani kwa ajili ya vita?
Kama ipo je hizo ndege ni mpya au zamani? Tunaweza kukabiliana na tishio mashambulizi kama Israeli?
Kama hatuna kwanini tunakwenda kuficha majini Ukata? Tutaweza kujilinda wenyewe bila nguvu ya kiuchumi?Tutapataje nguvu ya kiuchumi kwa kuwa na aslimia kubwa ya viongozi tegemezi na asilimia ndogo ya watu wanaowaza kujitegemea?
Kama taasisi za dini zimeweza kujitegemea kwanini siyo serikali?
😀Sasa vile vita kule Congo DRC wanaopigana kwenye misitu na mapoli si ingekuwa muda mchache sana wanafyekwa wote?.Iran imetisha aisee, unaishambulia Israel kwa makombora yote Yale na drones na Israel haijibu? Ahahahah
Kweli imebadilika sana