Kuna nchi Afrika Mashariki inayomiliki ndege za kivita zisizotumia rubani?

Kuna nchi Afrika Mashariki inayomiliki ndege za kivita zisizotumia rubani?

Cruise missile yenye range zaidi 2000km ina thamani gani?
Hizi ni bei za makombora ya Mrusi na drones za Iran kwa zinazotumika huko Ukraine (Zingatia neno makisio na makadirio) (Nyongeza: Bei wamesema Wamagharibi wenyewe)

Forbes estimates Jan. 2 mass attack cost Russia nearly $620 million​



Forbes calculated the cost based on the estimates that one Russian Kh-101 cruise missile costs $13 million, a Kalibr cruise missile costs $ 6.5 million, a Kinzhal ballistic missile costs $15 million, an Iskander costs $3 million, and one Shahed 136 drone costs $50,000, among others.


 
Iran imetisha aisee, unaishambulia Israel kwa makombora yote Yale na drones na Israel haijibu? Ahahahah

Kweli imebadilika sana
Siyo kuwa hawajibu fuatilia aljazera cabineti imekaa kufanya tathmini utasikia retaliation yao
 
nikiona Iran anavyotuma vifurushi kutokea kwake umbali wa zaidi ya km2000,alafu nikifikiria wanajeshi wa Tanzania wanavyovunja matofali kwa kichwa naona kabisa Tanzania tupo nyuma sana kwenye ulimwengu wa technology.
Vijana wengi wa Tanzania tuna shida katika kujadili mambo, mtu huna mafunzo yoyote ya kijeshi lakini unataka kuchangia. Note kuvunja matofari, kubeba magogo na shughuli zingine ni sehemu ya kuonesha ukakamavu tu wa cdo na wala si rangi halisi ya uwanja wa medani. Jeshi letu liko imara kimkakati zaidi hizo drones unazosikia au kuona kwenye television, vita ni sanaa ya mapigano usifikili sisi niwajinga sio kila kitu kinapaswa kuwa exhibited
 
Vijana wengi wa Tanzania tuna shida katika kujadili mambo, mtu huna mafunzo yoyote ya kijeshi lakini unataka kuchangia. Note kuvunja matofari, kubeba magogo na shughuli zingine ni sehemu ya kuonesha ukakamavu tu wa cdo na wala si rangi halisi ya uwanja wa medani. Jeshi letu liko imara kimkakati zaidi hizo drones unazosikia au kuona kwenye television, vita ni sanaa ya mapigano usifikili sisi niwajinga sio kila kitu kinapaswa kuwa exhibited
hamna kitu umeandika hapa,vita ya sasa ni tech sio kubeba magogo.
 
Vijana wengi wa Tanzania tuna shida katika kujadili mambo, mtu huna mafunzo yoyote ya kijeshi lakini unataka kuchangia. Note kuvunja matofari, kubeba magogo na shughuli zingine ni sehemu ya kuonesha ukakamavu tu wa cdo na wala si rangi halisi ya uwanja wa medani. Jeshi letu liko imara kimkakati zaidi hizo drones unazosikia au kuona kwenye television, vita ni sanaa ya mapigano usifikili sisi niwajinga sio kila kitu kinapaswa kuwa exhibited
Sahihi kabisa
 
hamna kitu umeandika hapa,vita ya sasa ni tech sio kubeba magogo.
Wewe dogo unaakili au ulienda shule kujifunza ujinga, unafikili jeshi la wananchi hajui mahitaji ya technologia ya vita, nenda kikosi cha mzinga uangalie vijana wanafanya nini pale. Chuo cha maofisa TMA unafikili kuja wajinga pale, nakuambia sasa chuo cha maofisa kuna watu wanaakili pale wewe huwezi kuaford. Changamoto zipo kutokana na limited resources zetu lakini kwa level yetu tunapiga hatua sio haba.
 
Katika ukanda wa Afrika Mashariki kuna inamiliki ndege zisizo na rubani kwa ajili ya vita?

Kama ipo je hizo ndege ni mpya au zamani? Tunaweza kukabiliana na tishio mashambulizi kama Israeli?

Kama hatuna kwanini tunakwenda kuficha majini Ukata? Tutaweza kujilinda wenyewe bila nguvu ya kiuchumi?Tutapataje nguvu ya kiuchumi kwa kuwa na aslimia kubwa ya viongozi tegemezi na asilimia ndogo ya watu wanaowaza kujitegemea?

Kama taasisi za dini zimeweza kujitegemea kwanini siyo serikali?
mwambie aliekutuma ajaribu mbinu mpya kenge wewe
 
Katika ukanda wa Afrika Mashariki kuna inamiliki ndege zisizo na rubani kwa ajili ya vita?

Kama ipo je hizo ndege ni mpya au zamani? Tunaweza kukabiliana na tishio mashambulizi kama Israeli?

Kama hatuna kwanini tunakwenda kuficha majini Ukata? Tutaweza kujilinda wenyewe bila nguvu ya kiuchumi?Tutapataje nguvu ya kiuchumi kwa kuwa na aslimia kubwa ya viongozi tegemezi na asilimia ndogo ya watu wanaowaza kujitegemea?

Kama taasisi za dini zimeweza kujitegemea kwanini siyo serikali?
DRC wanazo
 
Back
Top Bottom