CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Astaghfirullah !!Nyie mnachojua ni kusagana tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Astaghfirullah !!Nyie mnachojua ni kusagana tu
Hizi ni bei za makombora ya Mrusi na drones za Iran kwa zinazotumika huko Ukraine (Zingatia neno makisio na makadirio) (Nyongeza: Bei wamesema Wamagharibi wenyewe)Cruise missile yenye range zaidi 2000km ina thamani gani?
Siyo kuwa hawajibu fuatilia aljazera cabineti imekaa kufanya tathmini utasikia retaliation yaoIran imetisha aisee, unaishambulia Israel kwa makombora yote Yale na drones na Israel haijibu? Ahahahah
Kweli imebadilika sana
Vijana wengi wa Tanzania tuna shida katika kujadili mambo, mtu huna mafunzo yoyote ya kijeshi lakini unataka kuchangia. Note kuvunja matofari, kubeba magogo na shughuli zingine ni sehemu ya kuonesha ukakamavu tu wa cdo na wala si rangi halisi ya uwanja wa medani. Jeshi letu liko imara kimkakati zaidi hizo drones unazosikia au kuona kwenye television, vita ni sanaa ya mapigano usifikili sisi niwajinga sio kila kitu kinapaswa kuwa exhibitednikiona Iran anavyotuma vifurushi kutokea kwake umbali wa zaidi ya km2000,alafu nikifikiria wanajeshi wa Tanzania wanavyovunja matofali kwa kichwa naona kabisa Tanzania tupo nyuma sana kwenye ulimwengu wa technology.
hamna kitu umeandika hapa,vita ya sasa ni tech sio kubeba magogo.Vijana wengi wa Tanzania tuna shida katika kujadili mambo, mtu huna mafunzo yoyote ya kijeshi lakini unataka kuchangia. Note kuvunja matofari, kubeba magogo na shughuli zingine ni sehemu ya kuonesha ukakamavu tu wa cdo na wala si rangi halisi ya uwanja wa medani. Jeshi letu liko imara kimkakati zaidi hizo drones unazosikia au kuona kwenye television, vita ni sanaa ya mapigano usifikili sisi niwajinga sio kila kitu kinapaswa kuwa exhibited
Sahihi kabisaVijana wengi wa Tanzania tuna shida katika kujadili mambo, mtu huna mafunzo yoyote ya kijeshi lakini unataka kuchangia. Note kuvunja matofari, kubeba magogo na shughuli zingine ni sehemu ya kuonesha ukakamavu tu wa cdo na wala si rangi halisi ya uwanja wa medani. Jeshi letu liko imara kimkakati zaidi hizo drones unazosikia au kuona kwenye television, vita ni sanaa ya mapigano usifikili sisi niwajinga sio kila kitu kinapaswa kuwa exhibited
Wewe dogo unaakili au ulienda shule kujifunza ujinga, unafikili jeshi la wananchi hajui mahitaji ya technologia ya vita, nenda kikosi cha mzinga uangalie vijana wanafanya nini pale. Chuo cha maofisa TMA unafikili kuja wajinga pale, nakuambia sasa chuo cha maofisa kuna watu wanaakili pale wewe huwezi kuaford. Changamoto zipo kutokana na limited resources zetu lakini kwa level yetu tunapiga hatua sio haba.hamna kitu umeandika hapa,vita ya sasa ni tech sio kubeba magogo.
mwambie aliekutuma ajaribu mbinu mpya kenge weweKatika ukanda wa Afrika Mashariki kuna inamiliki ndege zisizo na rubani kwa ajili ya vita?
Kama ipo je hizo ndege ni mpya au zamani? Tunaweza kukabiliana na tishio mashambulizi kama Israeli?
Kama hatuna kwanini tunakwenda kuficha majini Ukata? Tutaweza kujilinda wenyewe bila nguvu ya kiuchumi?Tutapataje nguvu ya kiuchumi kwa kuwa na aslimia kubwa ya viongozi tegemezi na asilimia ndogo ya watu wanaowaza kujitegemea?
Kama taasisi za dini zimeweza kujitegemea kwanini siyo serikali?
DRC wanazoKatika ukanda wa Afrika Mashariki kuna inamiliki ndege zisizo na rubani kwa ajili ya vita?
Kama ipo je hizo ndege ni mpya au zamani? Tunaweza kukabiliana na tishio mashambulizi kama Israeli?
Kama hatuna kwanini tunakwenda kuficha majini Ukata? Tutaweza kujilinda wenyewe bila nguvu ya kiuchumi?Tutapataje nguvu ya kiuchumi kwa kuwa na aslimia kubwa ya viongozi tegemezi na asilimia ndogo ya watu wanaowaza kujitegemea?
Kama taasisi za dini zimeweza kujitegemea kwanini siyo serikali?