Kuna nchi Afrika Mashariki inayomiliki ndege za kivita zisizotumia rubani?

Kuna nchi Afrika Mashariki inayomiliki ndege za kivita zisizotumia rubani?

nikiona Iran anavyotuma vifurushi kutokea kwake umbali wa zaidi ya km2000,alafu nikifikiria wanajeshi wa Tanzania wanavyovunja matofali kwa kichwa naona kabisa Tanzania tupo nyuma sana kwenye ulimwengu wa technology.
 
Katika ukanda wa Afrika Mashariki kuna inamiliki ndege zisizo na rubani kwa ajili ya vita?

Kama ipo je hizo ndege ni mpya au zamani? Tunaweza kukabiliana na tishio mashambulizi kama Israeli?

Kama hatuna kwanini tunakwenda kuficha majini Ukata? Tutaweza kujilinda wenyewe bila nguvu ya kiuchumi?Tutapataje nguvu ya kiuchumi kwa kuwa na aslimia kubwa ya viongozi tegemezi na asilimia ndogo ya watu wanaowaza kujitegemea?

Kama taasisi za dini zimeweza kujitegemea kwanini siyo serikali?
M23 Wana drones,Rwanda anazo kibao,kwa mujibu wa marara na kitabu chake 'behind the presidential curtain'
 
Katika ukanda wa Afrika Mashariki kuna inamiliki ndege zisizo na rubani kwa ajili ya vita?
Jibu: Ndiyo,majeshi yote ya Afrika Mashariki yanamiliki ndege zisizotumia rubani (drones). Zinapatikana kwa urahisi sana na ni bei rahisi kuliko makombora!
Tunaweza kukabiliana na tishio mashambulizi kama Israeli?
Jibu: Ndiyo, tunaweza kujilinda na mashambulizi ya ndege zisizo na rubani. Drones huwa ni rahisi kuziangusha(kuzitungua) kuliko makombora!


Unaweza kutumia bunduki, mawimbi ya redio,net gun, laser, cyber n.k (Unalikumbuka gari la mawasiliano enzi za Magu??) . Lile gari kwa mifumo yake linaweza kuangusha drones nyingi tu kwa mara moja!


Elimu: Kwenye vita: Drones hutumika kuichosha mifumo ya kutungulia makombora ndiyo maana hutumwa kwa wingi sana.


Zikitumwa kwa wingi mkubwa, hizo njia haziwezi kufanya kazi kwa ufanisi, hapa ndipo mifumo ya kutungulia makombora hufanya kazi ambayo ni dakika sifuri tu!


Lakini hii mifumo huchoshwa kwa mfumo huu: Zinatumwa drones 20, halafu makombora 5, kawaulize Israel walitungua makombora yote???


Swali: Unahisi Israel bila msaada wa Western Powers angeweza kuhimili mashambulizi??? Au unahisi yeye ndiye katungua zote??
 
Nami ningesema "Iran katisha" sana kutumia makomora yote yale na hivyo vindege visivyo na rubani, isinge kuwa kuna madai ya kuwa takribani asili mia 99 ya makombora yote na hivyo vindege havikuleta madhara yoyote kwa Israel.
Wao wanadai kwa kushirikiana na washirika wao wakubwa, wameweza kuzuia uharibifu kwa Israel.
Binafsi nadhani huu ndio ungekuwa mjadala mkubwa hapa ukumbini.
 
Katika ukanda wa Afrika Mashariki kuna inamiliki ndege zisizo na rubani kwa ajili ya vita?

Kama ipo je hizo ndege ni mpya au zamani? Tunaweza kukabiliana na tishio mashambulizi kama Israeli?

Kama hatuna kwanini tunakwenda kuficha majini Ukata? Tutaweza kujilinda wenyewe bila nguvu ya kiuchumi?Tutapataje nguvu ya kiuchumi kwa kuwa na aslimia kubwa ya viongozi tegemezi na asilimia ndogo ya watu wanaowaza kujitegemea?

Kama taasisi za dini zimeweza kujitegemea kwanini siyo serikali?
433898894_382726981192162_9040453771690272891_n.jpg


Soooo up!!!
Soooo up!!!
Up up soooo up!!
 
Katika ukanda wa Afrika Mashariki kuna inamiliki ndege zisizo na rubani kwa ajili ya vita?

Kama ipo je hizo ndege ni mpya au zamani? Tunaweza kukabiliana na tishio mashambulizi kama Israeli?

Kama hatuna kwanini tunakwenda kuficha majini Ukata? Tutaweza kujilinda wenyewe bila nguvu ya kiuchumi?Tutapataje nguvu ya kiuchumi kwa kuwa na aslimia kubwa ya viongozi tegemezi na asilimia ndogo ya watu wanaowaza kujitegemea?

Kama taasisi za dini zimeweza kujitegemea kwanini siyo serikali?
Siri
 
Iran imetisha aisee, unaishambulia Israel kwa makombora yote Yale na drones na Israel haijibu? Ahahahah

Kweli imebadilika sana

Imetisha wapi wakati zote zimefanywa karatasi kwa kutunguliwa kabla ya kuingia anga la Israel? Drones za Iran, Israel na washirika wake wamezifanya midori.
 
Jibu: Ndiyo,majeshi yote ya Afrika Mashariki yanamiliki ndege zisizotumia rubani (drones). Zinapatikana kwa urahisi sana na ni bei rahisi kuliko makombora!

Jibu: Ndiyo, tunaweza kujilinda na mashambulizi ya ndege zisizo na rubani. Drones huwa ni rahisi kuziangusha(kuzitungua) kuliko makombora!


Unaweza kutumia bunduki, mawimbi ya redio,net gun, laser, cyber n.k (Unalikumbuka gari la mawasiliano enzi za Magu??) . Lile gari kwa mifumo yake linaweza kuangusha drones nyingi tu kwa mara moja!


Elimu: Kwenye vita: Drones hutumika kuichosha mifumo ya kutungulia makombora ndiyo maana hutumwa kwa wingi sana.


Zikitumwa kwa wingi mkubwa, hizo njia haziwezi kufanya kazi kwa ufanisi, hapa ndipo mifumo ya kutungulia makombora hufanya kazi ambayo ni dakika sifuri tu!


Lakini hii mifumo huchoshwa kwa mfumo huu: Zinatumwa drones 20, halafu makombora 5, kawaulize Israel walitungua makombora yote???


Swali: Unahisi Israel bila msaada wa Western Powers angeweza kuhimili mashambulizi??? Au unahisi yeye ndiye katungua zote??
Cruise missile yenye range zaidi 2000km ina thamani gani?
 
Back
Top Bottom