Tetesi: Kuna nchi jirani ambayo magari yake yanapita free bandarini bila kukatwa kodi

Tetesi: Kuna nchi jirani ambayo magari yake yanapita free bandarini bila kukatwa kodi

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Wengi tunajua tunavyoumia pale tunapoagiza magari hususani kupitia bandari ya dare es sallam ilivyo ghali na kodi kubwa

Lakini inasemekana kuna nchi jirani ambao kwao ni neema tu kwani wakati sisi tukitozwa bei kubwa wakati gari zetu tulizonunua zikipita bandarini wao wanapitishiwa sawa na bure

Mfano inasemekana gari za rwanda enzi za kikwete zikipita bandarini basi kila gari ilikua inatozwa usd 500 lakini kwa sasa inasemekana wanatozwa usd 150 kwa magari makubwa kama malori na mascania huku magari mengine madogo madogo yakipita bure bandarini

Kama ni kweli ili jambo basi ni jambo baya mno na kutia hasira kuwa nchi yetu imegeuzwa jamvi la wageni kila mtu anafaidi. Kwanini mtanzania aagize gari akatwe makodi huku raia wa nchi jirani anunue gari kama ile ile asikatwe kodi?

Kama haya ni ya kweli bhas ujue tuna kiongozi wa ajabu kuwahi kutokea toka dunia imeumbwa


UPDATE
Yametokea na tra wameanzisha kituo rwanda nashauri ukiagiza mzigo acha uende mpaka kigali then uurudishe Tanzania tena kutokea rwanda ili uepuke kukamuliwa kodi kubwa bandarini
na faida ni kuwa Tra kwa upande wa mizigo inayoenda Rwanda wanaifanyia kazi na kushughulika 24 hours yaani kwa shift so tumieni fursa

Pili hii reli ya standard gauge lengo ni ifike kigali so itakua easy kusafirisha bidhaa from Bandarini to Kigali yaani ni masaa tu

Tumieni fursa
 
hivi hizo gari rwanda huwa hazijai au, maana tangu nimeanza kuona gari zimeandikwa IT zikitoka bandarini kuelekea rwanda ni muda/miaka mrefu. sasa huko eneo lenyewe ni kama eneo la kisiwa cha ukerewe najiuliza huko hayajai.

kwa sababu ni tetesi, kuhusu mada watachangia wapenzi wa tetesi...
 
Wengi tunajua tunavyoumia pale tunapoagiza magari hususani kupitia bandari ya dare es sallam ilivyo ghali na kodi kubwa
Lakini inasemekana kuna nchi jirani ambao kwao ni neema tu kwani wakati sisi tukitozwa bei kubwa wakati gari zetu tulizonunua zikipita bandarini wao wanapitishiwa sawa na bure
Mfano inasemekana gari za rwanda enzi za kikwete zikipita bandarini basi kila gari ilikua inatozwa usd 500 lakini kwa sasa inasemekana wanatozwa usd 150 kwa magari makubwa kama malori na mascania huku magari mengine madogo madogo yakipita bure bandarini
Kama ni kweli ili jambo basi ni jambo baya mno na kutia hasira kuwa nchi yetu imegeuzwa jamvi la wageni kila mtu anafaidi
Kwanini mtanzania aagize gari akatwe makodi huku raia wa nchi jirani anunue gari kama ile ile asikatwe kodi?
Kama haya ni ya kweli bhas ujue tuna kiongozi wa ajabu kuwahi kutokea toka dunia imeumbwa
Kumbe "inasemekana".

No research no right to speak.

Upuuzi huo.

Bandari ya Dar., si kazi yake kutoza kodi ya nchi zingine. Bandari ni huduma na kila apitishae mizigo hapo kuna tozo za bandari lazima alipie. Hazihusiani na kodi.

Wewe kama unatozwa kodi pale bandarini basi hiyo kodi unatozwa na TRA na si bandari.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Kumbe "inasemekana".

No research no right to speak.

Upuuzi huo.

Bandari ya Dar., si kazi yake kutoza kodi ya nchi zingine. Bandari ni huduma na kila apitishae mizigo hapo kuna tozo za bandari lazima alipie. Hazihusiani na kodi.

Wewe kama unatozwa kodi pale bandarini basi hiyo kodi unatozwa na TRA na si bandari.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Sabahal khayr Bi Faiza,naona hujamkopesha [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UKIWA MUONGO USIWE MSAHAULIFU,,,,
Kwa maelezo yako tu,yanajionesha wazi kua hujawahi kuagiza gari nje ikapitia Bandari ya dar
Wenye kuagiza wanajua sheria zote za bandari na TRA pamoja na ushuru wake
Toka lini gari au kontena iliokua TRANSIT ikalipiwa ushuru???
Mada zingine hua mnafikiria kabla ya kuandika[emoji1321]
 
Wengi tunajua tunavyoumia pale tunapoagiza magari hususani kupitia bandari ya dare es sallam ilivyo ghali na kodi kubwa
Lakini inasemekana kuna nchi jirani ambao kwao ni neema tu kwani wakati sisi tukitozwa bei kubwa wakati gari zetu tulizonunua zikipita bandarini wao wanapitishiwa sawa na bure
Mfano inasemekana gari za rwanda enzi za kikwete zikipita bandarini basi kila gari ilikua inatozwa usd 500 lakini kwa sasa inasemekana wanatozwa usd 150 kwa magari makubwa kama malori na mascania huku magari mengine madogo madogo yakipita bure bandarini
Kama ni kweli ili jambo basi ni jambo baya mno na kutia hasira kuwa nchi yetu imegeuzwa jamvi la wageni kila mtu anafaidi
Kwanini mtanzania aagize gari akatwe makodi huku raia wa nchi jirani anunue gari kama ile ile asikatwe kodi?
Kama haya ni ya kweli bhas ujue tuna kiongozi wa ajabu kuwahi kutokea toka dunia imeumbwa
Mange Kimambi
 
Back
Top Bottom