kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Wengi tunajua tunavyoumia pale tunapoagiza magari hususani kupitia bandari ya dare es sallam ilivyo ghali na kodi kubwa
Lakini inasemekana kuna nchi jirani ambao kwao ni neema tu kwani wakati sisi tukitozwa bei kubwa wakati gari zetu tulizonunua zikipita bandarini wao wanapitishiwa sawa na bure
Mfano inasemekana gari za rwanda enzi za kikwete zikipita bandarini basi kila gari ilikua inatozwa usd 500 lakini kwa sasa inasemekana wanatozwa usd 150 kwa magari makubwa kama malori na mascania huku magari mengine madogo madogo yakipita bure bandarini
Kama ni kweli ili jambo basi ni jambo baya mno na kutia hasira kuwa nchi yetu imegeuzwa jamvi la wageni kila mtu anafaidi. Kwanini mtanzania aagize gari akatwe makodi huku raia wa nchi jirani anunue gari kama ile ile asikatwe kodi?
Kama haya ni ya kweli bhas ujue tuna kiongozi wa ajabu kuwahi kutokea toka dunia imeumbwa
UPDATE
Yametokea na tra wameanzisha kituo rwanda nashauri ukiagiza mzigo acha uende mpaka kigali then uurudishe Tanzania tena kutokea rwanda ili uepuke kukamuliwa kodi kubwa bandarini
na faida ni kuwa Tra kwa upande wa mizigo inayoenda Rwanda wanaifanyia kazi na kushughulika 24 hours yaani kwa shift so tumieni fursa
Pili hii reli ya standard gauge lengo ni ifike kigali so itakua easy kusafirisha bidhaa from Bandarini to Kigali yaani ni masaa tu
Tumieni fursa
Lakini inasemekana kuna nchi jirani ambao kwao ni neema tu kwani wakati sisi tukitozwa bei kubwa wakati gari zetu tulizonunua zikipita bandarini wao wanapitishiwa sawa na bure
Mfano inasemekana gari za rwanda enzi za kikwete zikipita bandarini basi kila gari ilikua inatozwa usd 500 lakini kwa sasa inasemekana wanatozwa usd 150 kwa magari makubwa kama malori na mascania huku magari mengine madogo madogo yakipita bure bandarini
Kama ni kweli ili jambo basi ni jambo baya mno na kutia hasira kuwa nchi yetu imegeuzwa jamvi la wageni kila mtu anafaidi. Kwanini mtanzania aagize gari akatwe makodi huku raia wa nchi jirani anunue gari kama ile ile asikatwe kodi?
Kama haya ni ya kweli bhas ujue tuna kiongozi wa ajabu kuwahi kutokea toka dunia imeumbwa
UPDATE
Yametokea na tra wameanzisha kituo rwanda nashauri ukiagiza mzigo acha uende mpaka kigali then uurudishe Tanzania tena kutokea rwanda ili uepuke kukamuliwa kodi kubwa bandarini
na faida ni kuwa Tra kwa upande wa mizigo inayoenda Rwanda wanaifanyia kazi na kushughulika 24 hours yaani kwa shift so tumieni fursa
Pili hii reli ya standard gauge lengo ni ifike kigali so itakua easy kusafirisha bidhaa from Bandarini to Kigali yaani ni masaa tu
Tumieni fursa