Tetesi: Kuna nchi jirani ambayo magari yake yanapita free bandarini bila kukatwa kodi

Tetesi: Kuna nchi jirani ambayo magari yake yanapita free bandarini bila kukatwa kodi

Wengi tunajua tunavyoumia pale tunapoagiza magari hususani kupitia bandari ya dare es sallam ilivyo ghali na kodi kubwa
Lakini inasemekana kuna nchi jirani ambao kwao ni neema tu kwani wakati sisi tukitozwa bei kubwa wakati gari zetu tulizonunua zikipita bandarini wao wanapitishiwa sawa na bure
Mfano inasemekana gari za rwanda enzi za kikwete zikipita bandarini basi kila gari ilikua inatozwa usd 500 lakini kwa sasa inasemekana wanatozwa usd 150 kwa magari makubwa kama malori na mascania huku magari mengine madogo madogo yakipita bure bandarini
Kama ni kweli ili jambo basi ni jambo baya mno na kutia hasira kuwa nchi yetu imegeuzwa jamvi la wageni kila mtu anafaidi
Kwanini mtanzania aagize gari akatwe makodi huku raia wa nchi jirani anunue gari kama ile ile asikatwe kodi?
Kama haya ni ya kweli bhas ujue tuna kiongozi wa ajabu kuwahi kutokea toka dunia imeumbwa
Unashangaa wakati tunatawaliwa na mtu mwenye asili ya huko
 
Wengi tunajua tunavyoumia pale tunapoagiza magari hususani kupitia bandari ya dare es sallam ilivyo ghali na kodi kubwa
Lakini inasemekana kuna nchi jirani ambao kwao ni neema tu kwani wakati sisi tukitozwa bei kubwa wakati gari zetu tulizonunua zikipita bandarini wao wanapitishiwa sawa na bure
Mfano inasemekana gari za rwanda enzi za kikwete zikipita bandarini basi kila gari ilikua inatozwa usd 500 lakini kwa sasa inasemekana wanatozwa usd 150 kwa magari makubwa kama malori na mascania huku magari mengine madogo madogo yakipita bure bandarini
Kama ni kweli ili jambo basi ni jambo baya mno na kutia hasira kuwa nchi yetu imegeuzwa jamvi la wageni kila mtu anafaidi
Kwanini mtanzania aagize gari akatwe makodi huku raia wa nchi jirani anunue gari kama ile ile asikatwe kodi?
Kama haya ni ya kweli bhas ujue tuna kiongozi wa ajabu kuwahi kutokea toka dunia imeumbwa
Je unazijua sheria za kodi? Je unajua magari na mizigo ya transit inapaswa kulipia nini? Ukijibu hayo maswali nitatoa mchango wangu.
 
hivi hizo gari rwanda huwa hazijai au, maana tangu nimeanza kuona gari zimeandikwa IT zikitoka bandarini kuelekea rwanda ni muda/miaka mrefu. sasa huko eneo lenyewe ni kama eneo la kisiwa cha ukerewe najiuliza huko hayajai.

kwa sababu ni tetesi, kuhusu mada watachangia wapenzi wa tetesi...
Mkuu wacha kututusi Wakerewe yaani unafananisha Ukerewe na mambo ya ajabu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu anisaidie kwa kweli yaani chuki yangu dhidi ya utawala huu wa ccm nitaieneza kwa uzao wangu wote. Unaua uchumi wa nchi yako kwa zawadi ya ng'ombe uliozawadiwa na kagame.Ni shiiiiiiiiiida kwa mtu huyu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka mtoa post asije akawafanya watu kwenye akili zenu mkaonekana hamfai na hamjui kitu. Mimi ni Agent wa kutoa magari na container bandalin, kitu nisichokielewa kwa mtoa post sijui anamaanisha kodi ipi, magar yanayopitia bandarin yanalipiwa gharama za bandalin na wakala ma meli ( shipping line) sasa kodi anayosema ni ya wapi? Kuweni makin kabla hamjachangia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka mtoa post asije akawafanya watu kwenye akili zenu mkaonekana hamfai na hamjui kitu. Mimi ni Agent wa kutoa magari na container bandalin, kitu nisichokielewa kwa mtoa post sijui anamaanisha kodi ipi, magar yanayopitia bandarin yanalipiwa gharama za bandalin na wakala ma meli ( shipping line) sasa kodi anayosema ni ya wapi? Kuweni makin kabla hamjachangia

Sent using Jamii Forums mobile app
Yawezekana hilo halifanyiki ndiyo maana kasema tetesi lakini kuna prevellage nyingi anazozipata huyu kagame kupitia huyo magu ambazo ni athari kwa watz kiuchumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe "inasemekana".

No research no right to speak.

Upuuzi huo.

Bandari ya Dar., si kazi yake kutoza kodi ya nchi zingine. Bandari ni huduma na kila apitishae mizigo hapo kuna tozo za bandari lazima alipie. Hazihusiani na kodi.

Wewe kama unatozwa kodi pale bandarini basi hiyo kodi unatozwa na TRA na si bandari.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Na mwalimu mnoko kupitiliza kwenye hiyo shule ni FaizaFoxy

Huoni kuwa wamekusadifu mafunzo/elimu/ilmu
Teh teh
 
Yawezekana hilo halifanyiki ndiyo maana kasema tetesi lakini kuna prevellage nyingi anazozipata huyu kagame kupitia huyo magu ambazo ni athari kwa watz kiuchumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda hilo labda linawezekana, ila ujue shipping line charges sio za serikali kwa hyo iko palepale, na upande Wa bandar walitoa VAT iliyowafukuza na kuanza kutumia bandal nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi tunajua tunavyoumia pale tunapoagiza magari hususani kupitia bandari ya dare es sallam ilivyo ghali na kodi kubwa

Lakini inasemekana kuna nchi jirani ambao kwao ni neema tu kwani wakati sisi tukitozwa bei kubwa wakati gari zetu tulizonunua zikipita bandarini wao wanapitishiwa sawa na bure

Mfano inasemekana gari za rwanda enzi za kikwete zikipita bandarini basi kila gari ilikua inatozwa usd 500 lakini kwa sasa inasemekana wanatozwa usd 150 kwa magari makubwa kama malori na mascania huku magari mengine madogo madogo yakipita bure bandarini

Kama ni kweli ili jambo basi ni jambo baya mno na kutia hasira kuwa nchi yetu imegeuzwa jamvi la wageni kila mtu anafaidi. Kwanini mtanzania aagize gari akatwe makodi huku raia wa nchi jirani anunue gari kama ile ile asikatwe kodi?

Kama haya ni ya kweli bhas ujue tuna kiongozi wa ajabu kuwahi kutokea toka dunia imeumbwa
Kodi ipi unamaanisha??
Kwa taarifa yako hata kwetu Gari za Nchi jirani HAZILIPI KODI, zinapita kama "In Transit-IT) tu. Maana yake huko kwenye nchi zinakoenda zitaenda kutozwa kodi. Sasa zikitozwa na hapa kwetu inakua Double Taxation.

The East African Community Customs Management Act (EACMA) inazungumzia hili.
 
Kama zipi hizo? Taja tatu tu.....!!
Raia wa kagame kupewa vibali vya makazi na kuishi nchini hivyo wameingia hadi jeshini kama watanzania na hivyo jeshi haliwezi kuwa salama dhidi ya kagame mf mwese katavi watusi wamepewa. Now. Ni eneo gani kwa kagame watanzania wamepewa ardhi na wanaishi.
Mbili, Warundi wamepewa ardhi wanafugia mifugo na kunyanyasa wenyeji mf bukoba.
Mwisho, miaka ya hivi karibuni jk akiwa rais kuna mwanajeshi mwenye cheo kikubwa sana jeshini alikuwa wa huko aliondoka mazingira tatanishi karudi rwanda na Burundi. Hatuko salama daima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wabongo kweli vilaza..

napendekeza kuwe na interview kabla ya kujiunga jamiiforums..

jitu halijui hata maana ya transit kweli???

sasa wakitozwa kodi hapa tanzania... revenue authority ya rwanda itapata nini hayo magari yakifika rwanda????

kweli tuna safari ndefu kama hata hili hatulijui.. na hapo unaweza kuta mtoa mada ana masters degree
 
Kwa hiyo hii imigration ya Tutsi imeanza kipindi cha Magu? Ndo nafuu pekee Kagame amepewa na Magu? Hizi akili hizi..
Ktk andiko langu niliitaja ccm ambayo na Magu ni included. Na haya yamefanywa na serikali ya ccm. So kipi hujaelewa.
Tatizo mmeingia humu kwa dharula tu .Elewa hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi hizo gari rwanda huwa hazijai au, maana tangu nimeanza kuona gari zimeandikwa IT zikitoka bandarini kuelekea rwanda ni muda/miaka mrefu. sasa huko eneo lenyewe ni kama eneo la kisiwa cha ukerewe najiuliza huko hayajai.

kwa sababu ni tetesi, kuhusu mada watachangia wapenzi wa tetesi...
Nawewe ushachangia pia ni mpenzi wa tete tete
 
Back
Top Bottom