Kajirutaluka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 1,224
- 995
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, unaanza kujiskia vibaya kwa tetesi tu! Hivi umejiuliza kama hilo jambo linawezekana? Kwamba hizo handling charges (haiwezi kua ushuru) wanazotozwa Rwanda ni tofauti na wanazotozwa nchi nyingine? Alichosema mtoa mada ni serious allegation na alitakiwa afanye uchunguzi na ailete ikiwa ni habari kamili na si tetesindani
Huwa nashindwa kuelewa pale mtu anapoanzisha mada kwa kutaka aanzishe bila kuzifanyia uchunguzi ajue nn ukweli wake.Kumbe "inasemekana".
No research no right to speak.
Upuuzi huo.
Bandari ya Dar., si kazi yake kutoza kodi ya nchi zingine. Bandari ni huduma na kila apitishae mizigo hapo kuna tozo za bandari lazima alipie. Hazihusiani na kodi.
Wewe kama unatozwa kodi pale bandarini basi hiyo kodi unatozwa na TRA na si bandari.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Siku zote atakapo kuwepo Faiza nauhakika hakuna jambo litakaloshindikanaKumbe "inasemekana".
No research no right to speak.
Upuuzi huo.
Bandari ya Dar., si kazi yake kutoza kodi ya nchi zingine. Bandari ni huduma na kila apitishae mizigo hapo kuna tozo za bandari lazima alipie. Hazihusiani na kodi.
Wewe kama unatozwa kodi pale bandarini basi hiyo kodi unatozwa na TRA na si bandari.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Acheni ujinga. Sometimes mjadili vitu vya maana. By the way yule mnaemchukia atakuwepo Chamwino hadi 2025.Kwahili nimejisikia vibaya sana kama kutakuwa na ukwel ndani yake
Sent using Jamii Forums mobile app
JK alikuwa mzalendo.Mkuu mambo kama haya yanaanza kutufanya kuwa na mashaka na uraia wa bwana JPM
Wewe ndiye mburura, kipindi cha Mkwere nyie ndiye mliwafukuza Rwanda kuacha kutumia bandari yetu, sasa unaona jitihada zinafanyika za kurudisha biashara hiyo wewe inakuja hapa unatoa mapovu. Unadhani Serikali hii inafanya kama ninyi mlivyozoea kufanya biashara na wahujumu uchumi?Wengi tunajua tunavyoumia pale tunapoagiza magari hususani kupitia bandari ya dare es sallam ilivyo ghali na kodi kubwa
Lakini inasemekana kuna nchi jirani ambao kwao ni neema tu kwani wakati sisi tukitozwa bei kubwa wakati gari zetu tulizonunua zikipita bandarini wao wanapitishiwa sawa na bure
Mfano inasemekana gari za rwanda enzi za kikwete zikipita bandarini basi kila gari ilikua inatozwa usd 500 lakini kwa sasa inasemekana wanatozwa usd 150 kwa magari makubwa kama malori na mascania huku magari mengine madogo madogo yakipita bure bandarini
Kama ni kweli ili jambo basi ni jambo baya mno na kutia hasira kuwa nchi yetu imegeuzwa jamvi la wageni kila mtu anafaidi
Kwanini mtanzania aagize gari akatwe makodi huku raia wa nchi jirani anunue gari kama ile ile asikatwe kodi?
Kama haya ni ya kweli bhas ujue tuna kiongozi wa ajabu kuwahi kutokea toka dunia imeumbwa
Ajabu sana mtu hajui hata Transit ni nini?Kumbe "inasemekana".
No research no right to speak.
Upuuzi huo.
Bandari ya Dar., si kazi yake kutoza kodi ya nchi zingine. Bandari ni huduma na kila apitishae mizigo hapo kuna tozo za bandari lazima alipie. Hazihusiani na kodi.
Wewe kama unatozwa kodi pale bandarini basi hiyo kodi unatozwa na TRA na si bandari.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Ajabu kuna nyumbu wanamfuata tu nao wakaliwe na mamba!UKIWA MUONGO USIWE MSAHAULIFU,,,,
Kwa maelezo yako tu,yanajionesha wazi kua hujawahi kuagiza gari nje ikapitia Bandari ya dar
Wenye kuagiza wanajua sheria zote za bandari na TRA pamoja na ushuru wake
Toka lini gari au kontena iliokua TRANSIT ikalipiwa ushuru???
Mada zingine hua mnafikiria kabla ya kuandika[emoji1321]
Acheni ujinga. Sometimes mjadili vitu vya maana. By the way yule mnaemchukia atakuwepo Chamwino hadi 2025.
wajameni msiwe na wivu kihivyo bana.Wengi tunajua tunavyoumia pale tunapoagiza magari hususani kupitia bandari ya dare es sallam ilivyo ghali na kodi kubwa
Lakini inasemekana kuna nchi jirani ambao kwao ni neema tu kwani wakati sisi tukitozwa bei kubwa wakati gari zetu tulizonunua zikipita bandarini wao wanapitishiwa sawa na bure
Mfano inasemekana gari za rwanda enzi za kikwete zikipita bandarini basi kila gari ilikua inatozwa usd 500 lakini kwa sasa inasemekana wanatozwa usd 150 kwa magari makubwa kama malori na mascania huku magari mengine madogo madogo yakipita bure bandarini
Kama ni kweli ili jambo basi ni jambo baya mno na kutia hasira kuwa nchi yetu imegeuzwa jamvi la wageni kila mtu anafaidi
Kwanini mtanzania aagize gari akatwe makodi huku raia wa nchi jirani anunue gari kama ile ile asikatwe kodi?
Kama haya ni ya kweli bhas ujue tuna kiongozi wa ajabu kuwahi kutokea toka dunia imeumbwa
Inamaana mnawarudisha kwa kuwapa Bure?Wewe ndiye mburura, kipindi cha Mkwere nyie ndiye mliwafukuza Rwanda kuacha kutumia bandari yetu, sasa unaona jitihada zinafanyika za kurudisha biashara hiyo wewe inakuja hapa unatoa mapovu. Unadhani Serikali hii inafanya kama ninyi mlivyozoea kufanya biashara na wahujumu uchumi?
Huu mchezo wa kibiashara hauhitaji hasira ndugu.