Tetesi: Kuna nchi jirani ambayo magari yake yanapita free bandarini bila kukatwa kodi

Tetesi: Kuna nchi jirani ambayo magari yake yanapita free bandarini bila kukatwa kodi

Kumbe "inasemekana".

No research no right to speak.

Upuuzi huo.

Bandari ya Dar., si kazi yake kutoza kodi ya nchi zingine. Bandari ni huduma na kila apitishae mizigo hapo kuna tozo za bandari lazima alipie. Hazihusiani na kodi.

Wewe kama unatozwa kodi pale bandarini basi hiyo kodi unatozwa na TRA na si bandari.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Msamehe bure alikuwa anakariri ili afaulu mitihani..
 
Kitu kikubwa ambacho wengi hawakijui. Mikoa mingi ya pembezoni mwa nchi hasa ambayo inapakana na nchi jirani zenye migogoro ya Vita ni masikini mno.
Hapa ninamaanisha bukoba, kigoma, katavi, rukwa kwa sehemu.
Migrant wengi waliokimbia kwa vita nchini kwao wameweka mizizi Tanzania kwa kutumia resources zetu vizuri na kuingia ktk siasa kupitia serikali ya ccm.
Ni jasiri ktk kufanya uovu aina zote ilimradi kiongozi wa ccm apite kwa hiyo nao viongozi hao wakiwa madarakani hutoa ulinzi na uraia kwa wahusika kama zawadi kuu.
Hii si kwa wanaccm wote but majority hali iko hivyo.
Mikoa hiyo imedidimizwa kiuchumi kwa mbinu nyingi sana. Ndiyo maana migogoro mingi ya wakulima na wafugaji bukoba haikomi kwa sababu kiongozi anapewa rushwa hadi ngombe 50 zibazochangwa na jumuiya hiyo.
Kuna mengi wengi hawayajui nchi hii. Warundi wameijaza nchi yao kwa kuzaliana wameanza kugombana wametapikia Tanzania kuijaza nchi yetu ili waanze kugombana tena.
Kwa wasiojua hadi sasa muumini mkatoliki mhutu hawezi kukaa kiti kimoja na muumini mtusi mkatoliki hadi sasa.
Ninaongea haya kwa ushahidi mwingi miaka michache wahutu na watusi walitaka kuuana shule ya sekondari kantalamba sumbawanga kwa kuwa wote walichaguliwa kusoma hapo wakawa wanawindana kuuana. Mliosoma kantalamba enzi hizo mnajua.
Wahutu na Watusi ni wazuri wa sura ila roho zao ni sumu. Tuwe na tahadhari kuwapa uraia ni kosa kubwa sana.
Wahutu na Watusi wanaoishabikia ccm ni watanzania ila wenzao wasioishabikia ccm hutuhumiwa kuwa ni wakimbizi na hurudishwa kwao.
Iko hivyo hivyo hata na kwa wakongo waishio Tanzania mwambao wa ziwa Tanganyika.
Kama hujui ni vema kutulia siyo kuleta ubishi wa ovyo. Watanzania wengi wananyanyasika sana kwa ajili ya hawa wageni wa Rwanda na Burundi including Drc Congo.
Nafuu Congo si hawa wanyalukolo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe "inasemekana".

No research no right to speak.

Upuuzi huo.

Bandari ya Dar., si kazi yake kutoza kodi ya nchi zingine. Bandari ni huduma na kila apitishae mizigo hapo kuna tozo za bandari lazima alipie. Hazihusiani na kodi.

Wewe kama unatozwa kodi pale bandarini basi hiyo kodi unatozwa na TRA na si bandari.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
hajasoma msamehe bure ewe mhenga wetu
 
Huyu mleta mada wa hovyo sana, hiyo kodi wakwanza kuilalamikia walikuwa taboa na chama cha mawakala wa forodha,

leo unaleta hoja za kipuuzi, inaonekana unawashwa ww,
 
Inasemekana si magar tu. import zote za rwanda zinalipiwa rwanda. Kwetu zinapita tu kama njia nyingne.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
 
wabongo kweli vilaza..

napendekeza kuwe na interview kabla ya kujiunga jamiiforums..

jitu halijui hata maana ya transit kweli???

sasa wakitozwa kodi hapa tanzania... revenue authority ya rwanda itapata nini hayo magari yakifika rwanda????

kweli tuna safari ndefu kama hata hili hatulijui.. na hapo unaweza kuta mtoa mada ana masters degree
Mizigo on transiti hulipa road licence. Yani kupita juu ya barabara zetu wao lazima walipie. Hatuwezi sisi tuneemeke kulipa kodi ili tujenge miundombinu yetu alafu wanyarwanda watumie barabara zetu bure.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
 
unajua road licence inalipiwaje??

na unajua malori yaliyosajiliwa tanzania ndio yanabeba sana mizigo transit, na hata malori ya kigeni unajua yanalipia nini yakifata mzigo huku??

ndio maana faiza anawaulizaga hizo shule mmenda somea ujinga??


Mizigo on transiti hulipa road licence. Yani kupita juu ya barabara zetu wao lazima walipie. Hatuwezi sisi tuneemeke kulipa kodi ili tujenge miundombinu yetu alafu wanyarwanda watumie barabara zetu bure.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
 
Bila evidence huu ni uzushi tu. JF ina heshima ya kusema kweli. Tuhuma zunatolewa ushahidi wa kutosha....vinginevyo ni tetesi....au umbea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu kikubwa ambacho wengi hawakijui. Mikoa mingi ya pembezoni mwa nchi hasa ambayo inapakana na nchi jirani zenye migogoro ya Vita ni masikini mno.
Hapa ninamaanisha bukoba, kigoma, katavi, rukwa kwa sehemu.
Migrant wengi waliokimbia kwa vita nchini kwao wameweka mizizi Tanzania kwa kutumia resources zetu vizuri na kuingia ktk siasa kupitia serikali ya ccm.
Ni jasiri ktk kufanya uovu aina zote ilimradi kiongozi wa ccm apite kwa hiyo nao viongozi hao wakiwa madarakani hutoa ulinzi na uraia kwa wahusika kama zawadi kuu.
Hii si kwa wanaccm wote but majority hali iko hivyo.
Mikoa hiyo imedidimizwa kiuchumi kwa mbinu nyingi sana. Ndiyo maana migogoro mingi ya wakulima na wafugaji bukoba haikomi kwa sababu kiongozi anapewa rushwa hadi ngombe 50 zibazochangwa na jumuiya hiyo.
Kuna mengi wengi hawayajui nchi hii. Warundi wameijaza nchi yao kwa kuzaliana wameanza kugombana wametapikia Tanzania kuijaza nchi yetu ili waanze kugombana tena.
Kwa wasiojua hadi sasa muumini mkatoliki mhutu hawezi kukaa kiti kimoja na muumini mtusi mkatoliki hadi sasa.
Ninaongea haya kwa ushahidi mwingi miaka michache wahutu na watusi walitaka kuuana shule ya sekondari kantalamba sumbawanga kwa kuwa wote walichaguliwa kusoma hapo wakawa wanawindana kuuana. Mliosoma kantalamba enzi hizo mnajua.
Wahutu na Watusi ni wazuri wa sura ila roho zao ni sumu. Tuwe na tahadhari kuwapa uraia ni kosa kubwa sana.
Wahutu na Watusi wanaoishabikia ccm ni watanzania ila wenzao wasioishabikia ccm hutuhumiwa kuwa ni wakimbizi na hurudishwa kwao.
Iko hivyo hivyo hata na kwa wakongo waishio Tanzania mwambao wa ziwa Tanganyika.
Kama hujui ni vema kutulia siyo kuleta ubishi wa ovyo. Watanzania wengi wananyanyasika sana kwa ajili ya hawa wageni wa Rwanda na Burundi including Drc Congo.
Nafuu Congo si hawa wanyalukolo.

Sent using Jamii Forums mobile app


Bila kusahau hawa wakoloni wapya wanaojiandaa kuitawala Afrika kiuchumi, the called Wachina.
Hawa wamepewa fursa kubwa sana kuoitia Chama cha mapinduzi.
Wanajazana sana nchini wanauza mpaka kawaha mitaani.
Wanazaa na dada zetu hovyo wanapanda kwenye majukwaa ya kisiasa na kapero za CCM. Leo CCM haiwezi athari ya wachina kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla miaka 50 ijayo.
Kwanza ikumbukwe kuwa wachina ni watu katili sana wasio na hofu wala woga wowote kutokana imani walizo nazo kuwa tofauti na imani za asili,mila ,desturi za mwafrika na pia tofauti ya imani na mila zinazotofautiana na dini tulizoletewa za Haki za kiislam na Kikristo. Ambazo kwa kiwango kikubwa zina taratibu za kuwafanya wanadamu waogope hukumu ya mwenyezi Mungu.

CCM na serikali yake imekua ikilenga ushindi kwenye chaguzi bila kujali mustakabali wa taifa letu kiuchumi ,kisiasa na kijamii.
Ndio maana unaweza kukuta mbunge au diwani wa Chama kingine ameshinda lakini wanagoma kutangaza matokeo na mara nyingine kuharibu matokeo hayo bila kujali athari za watanzania wenzao wanazopata kwa kuandamana na kupigwa mabomu jambo ambalo lingewezekana kuepukwa kwa kutangaza matokeo mapema.
Ni kweli mikoa ile ya pembezoni imetawaliwa na siasa za uCCM ndio maana hata misitu imevamiwa kwa kisingizio cha kuipigia kura CCM na wanaotumika zaidi ni wale wa serikali za mitaa ,madiwani na hata wabunge.
Haya ni kati ya mambo yanayofanywa na CCM halafu baadae wanajifanya kuwa ni wazalendo.
 
Kodi ipi unamaanisha??
Kwa taarifa yako hata kwetu Gari za Nchi jirani HAZILIPI KODI, zinapita kama "In Transit-IT) tu. Maana yake huko kwenye nchi zinakoenda zitaenda kutozwa kodi. Sasa zikitozwa na hapa kwetu inakua Double Taxation.

The East African Community Customs Management Act (EACMA) inazungumzia hili.
Mzee aliwaambia ELIMU,ELIMU,ELIMU wakadhani utani ona sasa wanaaibika kwa kuleta story za vijiweni.
 
Back
Top Bottom