Tetesi: Kuna nchi jirani ambayo magari yake yanapita free bandarini bila kukatwa kodi

Tetesi: Kuna nchi jirani ambayo magari yake yanapita free bandarini bila kukatwa kodi

UPDATE
Yametokea na tra wameanzisha kituo rwanda nashauri ukiagiza mzigo acha uende mpaka kigali then uurudishe Tanzania tena kutokea rwanda ili uepuke kukamuliwa kodi kubwa bandarini
na faida ni kuwa Tra kwa upande wa mizigo inayoenda Rwanda wanaifanyia kazi na kushughulika 24 hours yaani kwa shift so tumieni fursa

Pili hii reli ya standard gauge lengo ni ifike kigali so itakua easy kusafirisha bidhaa from Bandarini to Kigali yaani ni masaa tu

Tumieni fursa
 
Kuna watu wana akili ndogo sana MTU analishwa story za vijiwen huko halafu anakaa nyuma ya kicharazio kuanza kuaminisha watu story hizo hivi kwann kama MTU hujui kitu usiulize na kuelewa kabla ya kuongea pia watanzania tumekuwa watu wa ajabu sana kila story tumekuwa watu wa kuamin tu bila kufanya uchunguzi kifupi mtoa maada huna unachokijua kwenye shughuri za bandari na tra yaan ww ni sifuri kwenye masuala ya bandar na tra
 
UPDATE
Yametokea na tra wameanzisha kituo rwanda nashauri ukiagiza mzigo acha uende mpaka kigali then uurudishe Tanzania tena kutokea rwanda ili uepuke kukamuliwa kodi kubwa bandarini
na faida ni kuwa Tra kwa upande wa mizigo inayoenda Rwanda wanaifanyia kazi na kushughulika 24 hours yaani kwa shift so tumieni fursa

Pili hii reli ya standard gauge lengo ni ifike kigali so itakua easy kusafirisha bidhaa from Bandarini to Kigali yaani ni masaa tu

Tumieni fursa
Kwani mzigo au gari ukiagiza tokea Rwanda kuna unafuu wowote au kodi sawa na alieagiza toka nje yaani Kwa njia ya maji,Mimi nataka niagize gari tokea Rwanda VIP Kuhusu ushuru inakuaje upo unafuu wowote
 
Mkuu mambo kama haya yanaanza kutufanya kuwa na mashaka na uraia wa bwana JPM

Mhutu anatetea wahutu wenzie. Jamani tutoke 26418. Mimi najua watu walio kuwa na bidhaa zao pale bandarini na wakapigwa ushuru wa juu zaidi ya thamani ya mzigo huo bandarini, sasa watu wengi wana acha tu mizigo bandarini na inauzwa halafu watu wa Rwanda wanasafirisha karibu na bure, jamani jamani jamani kweli hii ni haki. 26418 ni siku ya ukombozi.
 
Kwani mzigo au gari ukiagiza tokea Rwanda kuna unafuu wowote au kodi sawa na alieagiza toka nje,Mimi nataka niagize gari tokea Rwanda VIP Kuhusu ushuru inakuaje upo unafuu wowote


Hivi kweli nyie mnao msupport Magufuli kweli nyinyi ni wazalendo jamani. Yaani mtanzania ana diliki kuship vitu vyake viende nje ya nchi yake wakati vimepakuliwa katika nchi yake =Bandari ya Dar Es Salaam, kwa sababu raia wa Rwanda wanapewa preferencial treatment kuliko watanzania ambao ndiyo wazawa. HAPANA JAMANI NIKO TAYARI KUFA KUITETEA NCHI YANGU KWA HILI.
 
Wengi tunajua tunavyoumia pale tunapoagiza magari hususani kupitia bandari ya dare es sallam ilivyo ghali na kodi kubwa

Lakini inasemekana kuna nchi jirani ambao kwao ni neema tu kwani wakati sisi tukitozwa bei kubwa wakati gari zetu tulizonunua zikipita bandarini wao wanapitishiwa sawa na bure

Mfano inasemekana gari za rwanda enzi za kikwete zikipita bandarini basi kila gari ilikua inatozwa usd 500 lakini kwa sasa inasemekana wanatozwa usd 150 kwa magari makubwa kama malori na mascania huku magari mengine madogo madogo yakipita bure bandarini

Kama ni kweli ili jambo basi ni jambo baya mno na kutia hasira kuwa nchi yetu imegeuzwa jamvi la wageni kila mtu anafaidi. Kwanini mtanzania aagize gari akatwe makodi huku raia wa nchi jirani anunue gari kama ile ile asikatwe kodi?

Kama haya ni ya kweli bhas ujue tuna kiongozi wa ajabu kuwahi kutokea toka dunia imeumbwa


UPDATE
Yametokea na tra wameanzisha kituo rwanda nashauri ukiagiza mzigo acha uende mpaka kigali then uurudishe Tanzania tena kutokea rwanda ili uepuke kukamuliwa kodi kubwa bandarini
na faida ni kuwa Tra kwa upande wa mizigo inayoenda Rwanda wanaifanyia kazi na kushughulika 24 hours yaani kwa shift so tumieni fursa

Pili hii reli ya standard gauge lengo ni ifike kigali so itakua easy kusafirisha bidhaa from Bandarini to Kigali yaani ni masaa tu

Tumieni fursa
 
Mhutu anatetea wahutu wenzie. Jamani tutoke 26418. Mimi najua watu walio kuwa na bidhaa zao pale bandarini na wakapigwa ushuru wa juu zaidi ya thamani ya mzigo huo bandarini, sasa watu wengi wana acha tu mizigo bandarini na inauzwa halafu watu wa Rwanda wanasafirisha karibu na bure, jamani jamani jamani kweli hii ni haki. 26418 ni siku ya ukombozi.
kweli mkuu
 
Back
Top Bottom