Kuna nchi ukimpeleka mtoto kusoma chuo utajuta

Kuna nchi ukimpeleka mtoto kusoma chuo utajuta

Vijijini wameimudu Sana hii. Tokea mtoto anavyokuwa akianza Tu kuelewa anatumwa islets chumvi, kaleta mwiko, taratibu akikua nenda mkachote maji, kaokoteni kuni, pikeni uji e.t.c

Mjini muache mtoto ataungua akipika,acha kukata nyanya utajikata, aacha kubeba ndoo utamwaga maji, Hamad kamaliza primary secondary kaenda boarding, akirudi dada mfulie mwanangu alikuwa shule, mpikie anapenda kuku, likizo imeisha alikuwa anaenda tuition Tu, anachojua ni kuoga. Chuo akajitegemee hawezi kukop!
Kuna mshikaji amepanga juzi kati tu apa kaa miez mitatu ishapita ..nnapokaa Mimi Sasa tumeanza kuzoeana baada ya kuona life langu ..Basi akanifuata mzee kafunguka Yani hajui kitu Zaid ya kupika chai na kuchemsha mayai tu ..anakula vibandani umo ..Ni wale mamy am going to school..
Basi anataka nimfundishe angalau kupika ..nimempanga atafute angalau 150k. Sifanyi kazi za bure labda arudi kwa maza ake akamfundishe😂😂😂
 
Too bad company nayo inaenda kupotea miradi mingi ya serikali hawakulipa kipindi cha magufuli na wengi wamepunguzwa kwa hiyo sijui tuseme ndo inataka kuanza kunyanyuka upya lkn workers wamepunguzwa
Duh poleni campuni nyingi Zina struggle Sana tangu Magu aingie madarakani mambo mengi yameyumba mnoo
Siku mkikaa vizuri mtukumbukke na sisi
 
Kuna mwalim alinifunfishaga sangu sec mby frm 2 mwanzn
Alisomeaga russia naye alikuwa mtu wa tungi sana,alikuwa anafundisha physics.....kna wakat kma mnara hausomi ....
Alikuwa ananikamata sana na pombe zile power no1 toka Malawi
Kuna siku akanikamata akasema nmpeleke mzaz shule pombe hapo kachkua zote,ikabidi nmpange
Akaniambia hzi nazitoaga wapi nkamwambia boda hko basi akasema niwe namleteaga kimtindo
Kuna siku nkaenda kwake akaniambia alipoenda russia kurudi Ali rudi na friji tu,hahaha

Ova
Mwl Ndimbo??
 
Hzo zote Cha mtoto
Aisee usije kosea ukampeleka mtoto Russia
Kuna Dogo tulimpeleka aisee nadhani Alisoma Kama miezi sita baada ya Apo akaacha chuo Dogo Ni pombe mwanzo mwisho.

Anatumiwa hela yeye Ni mtungi tu
Amerudi kadata .
Nadhani pombe ya Putin itakua Ni hatari
Atakuwa alipokelewa na Dr Shika (R.I.P)
 
Kuna mshikaji amepanga juzi kati tu apa kaa miez mitatu ishapita ..nnapokaa Mimi Sasa tumeanza kuzoeana baada ya kuona life langu ..Basi akanifuata mzee kafunguka Yani hajui kitu Zaid ya kupika chai na kuchemsha mayai tu ..anakula vibandani umo ..Ni wale mamy am going to school..
Basi anataka nimfundishe angalau kupika ..nimempanga atafute angalau 150k. Sifanyi kazi za bure labda arudi kwa maza ake akamfundishe[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ishakua fursa
 
Hayo ya kubadirika sina uhakika nayo, ukweli ni wengi hupeleka watoto nje kwa kukosa sifa kuingia vyuo hapa nchini. USA pass za o level unaingia varsity, China f6 ukipata dv 4 unaenda unaingia chuo. Subiri wanafunzi watakao rejea toka Ukraine kama wata dahiliwa vyuo vikuu hapa nchini.
Unaongelea vyuo vya kata.

Huwezi kupata top university na marks za kipuuzi hata iweje.

Zoom college ya US au China ndo utaingia na hizo marks.
 
Inategemea mtu na mtu,mimi nimekaa nje ya nchi zaidi ya miaka 12, sijawahi kuvuta bangi,kwenda hata disco,kukaba wala tabia yeyote mbovu,ila papuchi tu ndio huwa na deal nazo ila sio kivile maana huwa natumia papuchi za low class ili kukwepa miamala ya hapa na pale
 
Elezeen na waliopo hapa vyuo vya bongo vepee??
Hawa wanatumia Sana bumu na hela za pocket chenji kulipa wamama kuwafikia na kuwapikia, unakuta wamepanga wote hawajiwezi, basi mitaani siku hizi wapo wamama wanaoishi Kwa kufua na kupikia wanachuo!

Anyways ndiyo uchumi wa Kati wa chini!
 
Hili na zungumzia kwa sababu nimeshuhudia watoto wengi waliopelekwa china mwisho wa siku wameacha chuo,matokeo mabovu kwa sababu ya biashara zilizopo huko.
na USA asilimia kubwa watoto ubadilika na kuanza kufanya mambo ya ajabu hata kuacha chuo kuanza kufanya kazi.

Tunajadili na kutoa ushuuda
Mi sina ushuhuda ila kama kawaida kuna kitu nakiwaza kuwa haujakiona ila kipo:

Tafiti zinaonesha mtindo wa wazazi kuwaangalia sana na kuwaandalia sana watoto wao una matokeo ya watoto hao kuharibikiwa. Wanaitwa helicopter parents.

Kuna haka kamsemo wanakojidaiaga watu wengi bila kujua ni kabovu,kabovu, kabovu mpaka mwisho. Kale kamsemo kakusema 'Mwanangu mimi sitaki apate shida, nitafanya chochote hata kumtetea ikibidi maana nampenda sana'

Hawa mara nyingi, huwapendelea watoto wao kuwasomesha shule nzuri hadi kuwapeleka nje maana ni kama hela yote waliyoitafuta wameidedicate kuwahudumia watoto wao. Matokeo yake mtoto anajiona hana maamuzi basi anaamua kupindua/rebel chochote kile. Kisaikolojia ni kwamba anajaribu tu kuonyesha msisitizo kwamba 'anayaendesha maisha yake yeye mwenyewe na hapangiwi'

Mtoto aliyekua akiwa anafundishwa kuwa na jukumu [responsible] ni ngumu kubadilika na kufanya vitu vya kumpa raha yeye tu bila kujali wengine wanajiskiaje. Ndiyo hata yeye anaweza kuteleza lakini tuangalie tu what are the odds. Hata akiteleza kurudi sawa ni kugusa tu maana ni mtu responsible for most of his/her actions.
 
Vijijini wameimudu Sana hii. Tokea mtoto anavyokuwa akianza Tu kuelewa anatumwa islets chumvi, kaleta mwiko, taratibu akikua nenda mkachote maji, kaokoteni kuni, pikeni uji e.t.c

Mjini muache mtoto ataungua akipika,acha kukata nyanya utajikata, aacha kubeba ndoo utamwaga maji, Hamad kamaliza primary secondary kaenda boarding, akirudi dada mfulie mwanangu alikuwa shule, mpikie anapenda kuku, likizo imeisha alikuwa anaenda tuition Tu, anachojua ni kuoga. Chuo akajitegemee hawezi kukop!
Sure mkuu..Lea mtoto kama vile humpendi...lea kama vile kesho hutakuwepo wewe atabaki na strangers..

Mpende mtoto lakin usimfanye ajione special priority kwako..mwache awe na time zake huku unamfuatilia kisir sir..
Kumchapa mtoto kila mzazi huws kuna muuma moyoni lakin usiache kumchapa sometimes anapokosea..thiugh isiwe too much akawa mwoga...

Hiz shule za english medium leo hii hazikuz watoto katika namna ya kuwafanya wawe independ japi wanajitahid upande wa academics so jitahid mzazi amirud home iwe kaz kaz...

Hili ili lifanikiwe kwakwel wazaz lazima lenu liwe moja..
Mfano mimi, home hatuna house girl, bas yf anapigisha mzigo madogo mpaka mpaka nasema dah mke wangu utaniulia wanangu ila nasema waache...
My 10 yrs first born girl ndio ana jukum la kuwa pikia wadogo zake wawil kuwsogesha kuosha vyombo na unawaacha wenyew n everything works out fine na tunaish kisasa tu.

Sio rahis..lakin mojawapo ya sababu ya malez duni ni SINGLE PARENTING.
 
Ninamfahamu muhindi alimpeleka binti Malaysia, Baba akamchukulia apartment kakupa kila kitu, siku Ka 5 akakaa naye, akarudi Bongo.
Kutua airport, simu binti analia hatari, anaogopa hawezi! Baba akaingia gharama kumpeleka Kaka mtu, aende akakae wiki 2, azoee, Kaka alimiss chuo alikokuwa 2 weeks, ili amsaidie dada Ku settle!

Kweli hatulei watoto kujitegemea, wanakuwa tegemezi, kiasi wanaishia kuwa frustrated ulimbukeni wakipata Uhuru!
Hii ndiyo pointi, niliandika kabla sijaanza kupitia comments. Nimepitia nimeikuta hapa.

Hii ndiyo pointi mazee, ukijidanganya kulilea toto lako kama yai halifanyi maamuzi hata madogo tu jiandae kukusumbua na kusumbuka tu.

Mtoto wa mkulima anajipeleka mwenyewe shuleni, kila kitu anakisolvu mwenyewe hukohuko huwezi kukuta anababaika kizembe. Hata akila raha anakuwa anajielewa flani. Sasa we endekeza zile za 'sweetie, i'll drop you at school niliyokuandikisha mwezi uliopita, nimejiridhisha hautapata tabu pale' dhania unaupendo saaaaana, mh utajua haujui.

Kuna kitabu kinaitwa Parenting with love and logic by Foster Cline, Jim Fay
 
Hzo zote Cha mtoto
Aisee usije kosea ukampeleka mtoto Russia
Kuna Dogo tulimpeleka aisee nadhani Alisoma Kama miezi sita baada ya Apo akaacha chuo Dogo Ni pombe mwanzo mwisho.

Anatumiwa hela yeye Ni mtungi tu
Amerudi kadata .
Nadhani pombe ya Putin itakua Ni hatari
Russia sijui kuna nini hata madaktari waliosoma huko ni vituko sana.
 
Back
Top Bottom