Vichekesho
Member
- Jun 20, 2024
- 66
- 3,277
Ni shirika gani lina ndege ya namna hiyo? Je budget ya 12 M inaweza tosha kwa ticket ya roundtrip (kwenda na kurudi) business class?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna, mashirika mengi ya Ulaya ata Asia Yana kwenda kufanya connection kwenye Nchi zao kuelekea Marekani.Ni shirika gani lina ndege ya namna hiyo? Je budget ya 12 M inaweza tosha kwa ticket ya roundtrip?
Kenya Ipo ila Bongo Sidhani...Ni shirika gani lina ndege ya namna hiyo? Je budget ya 12 M inaweza tosha kwa ticket ya roundtrip?
12 M sio kubwa kipindi cha high season boss, sihitaji connections nimeambiwa nikianzia kenya naweza pata ngoja nifuatilie.
Do you know that google ni serach engine tu na inategemea taarifa tuzazofeed sisi kwenye websites?
www.google.com
Hiyo 12m unanunua ndege yako kabisa! Nashauri ununue ndege itabaki chenji kidogo utamlipa Rubani
😃😃😃😃 Ashindwe mwenyewe tuView attachment 3134805
ndege ya 12m hiyo.
We jamaaa ni geniusHiyo 12m unanunua ndege yako kabisa! Nashauri ununue ndege itabaki chenji kidogo utamlipa Rubani