sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Kule chooni unapomaliza shughuli zako, huwa kuna zoezi la kuflashi ama kumwaga maji ili choo kiende, ila amini usiamini kuna choo hata uki flashi mara ngapi kitaibuka tu, hakunaaga utofauti na aina ya watu hawa.
- Kuamka saa tatu ama nne asubuhi.
- Muda mwingi ni kuchati, kupeleka playstation ya watoto chumbani kwake kucheza na marafiki zake, kupiga stori vijiwen, n.k
- Karidhika, umemtafutia kazi mshahara laki 3 hataki kisa ni saa 1 asubuhi hadi saa 1 jioni, weekend ni off , anadai kuna kazi ka apply serikalini anasubiri selection.
- Kaja kusalimia ila ni mwaka sasa unaenda na hajishughulishi.
- Chakula hata hakijawekwa mezani, yeye anaenda kupakulia huko huko jikoni.
- Kurudi usiku saa 2 ama 3
- Kuomba omba hela wakati kazi hataki
- Kuamka saa tatu ama nne asubuhi.
- Muda mwingi ni kuchati, kupeleka playstation ya watoto chumbani kwake kucheza na marafiki zake, kupiga stori vijiwen, n.k
- Karidhika, umemtafutia kazi mshahara laki 3 hataki kisa ni saa 1 asubuhi hadi saa 1 jioni, weekend ni off , anadai kuna kazi ka apply serikalini anasubiri selection.
- Kaja kusalimia ila ni mwaka sasa unaenda na hajishughulishi.
- Chakula hata hakijawekwa mezani, yeye anaenda kupakulia huko huko jikoni.
- Kurudi usiku saa 2 ama 3
- Kuomba omba hela wakati kazi hataki