Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bhebhe nsukuma?kule chooni unapomaliza shughuli zako, huwa kuna zoezi la kuflashi ama kumwaga maji ili choo kiende, ila amini usiamini kuna vinyesi hata uflashi mara ngapi kitaibuka tu, hakunaaga utofauti na aina ya watu hawa.
-kuamka saa tatu asubuhi
-ukimtaftia kazi visingizio kibao ilimradi asiifanye.
-kaja kusalimia ila ni mwaka sasa unaenda na hajishughulishi
-chakula anakula kama vile hajala siku 2
-kurudi usiku mida geti lishafungwa
-kuomba omba hela wakati kazi hataki
Msukuma mroho sanabhebhe nsukuma?
Kama umefikia hatua ya kumiliki na kutunza familia, huna budi kujifunza namna ya kututatua hiyo changamoto.kule chooni unapomaliza shughuli zako, huwa kuna zoezi la kuflashi ama kumwaga maji ili choo kiende, ila amini usiamini kuna vinyesi hata uflashi mara ngapi kitaibuka tu, hakunaaga utofauti na aina ya watu hawa.
-kuamka saa tatu asubuhi
-ukimtaftia kazi visingizio kibao ilimradi asiifanye.
-kaja kusalimia ila ni mwaka sasa unaenda na hajishughulishi
-chakula anakula kama vile hajala siku 2
-kurudi usiku mida geti lishafungwa
-kuomba omba hela wakati kazi hataki