Kuna nini kati ya Mbwewe na Mkata usiku huu?

Kuna nini kati ya Mbwewe na Mkata usiku huu?

Mama Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2007
Posts
2,967
Reaction score
2,147
Wadau wana bodi, niko natoka zangu jijini Nairobi kupitia Namanga kurejea Dar na baadaye kwenda nyumbani Katavi. Maajabu baada ya kuvuka Mkata tumekuta mrundikano wa magari, ya kuenda Dar hayaendi na ya kutoka Dar hayapiti. Hamna anayetuambia shida ni nini. Aliye na taarifa za uhakika atujuze. Natanguliza shukrani
 
Big huyu hapa
 

Attachments

  • JamiiForums-1234616416.jpeg
    JamiiForums-1234616416.jpeg
    95.7 KB · Views: 1
Wadau wana bodi, niko natoka zangu jijini Nairobi kupitia Namanga kurejea Dar na baadaye kwenda nyumbani Katavi. Maajabu baada ya kuvuka Mkata tumekuta mrundikano wa magari, ya kuenda Dar hayaendi na ya kutoka Dar hayapiti. Hamna anayetuambia shida ni nini. Aliye na taarifa za uhakika atujuze. Natanguliza shukrani
Haya ni mambo ya kawaida sana ila wewe ni mara yako ya kwanza kukukuta, huenda kuna wakati barabara inapumzishwa kama ifanyikavyo mpirani, si unajua ligi za madereva barabarani.
 
Wadau wana bodi, niko natoka zangu jijini Nairobi kupitia Namanga kurejea Dar na baadaye kwenda nyumbani Katavi. Maajabu baada ya kuvuka Mkata tumekuta mrundikano wa magari, ya kuenda Dar hayaendi na ya kutoka Dar hayapiti. Hamna anayetuambia shida ni nini. Aliye na taarifa za uhakika atujuze. Natanguliza shukrani
Acha ubahili uwe unasafiri.na ndege

Nairobi Hadi Katavi Kwa Basi utavunjika nyonga

Angani hakuna foleni ya ndege
 
Hakuna ndege ya kutoka Nairobi kwenda Katavi
Ungeanda ndege kutoka Nairobi hadi Dar

Kisha ungechukua ndege nyingine toka Dar hadi uwanja ndege wa Katavi mbona zipo kibao

Acha ubahili

Maisha ndio haya haya sio kila hela unawaza Tu Ku save upate tofali za kujenga nyumba
 
Hakuna hata basi la kuunganisha miji mikuu Nairobi na Dodoma?
Ndege zipo Nairobi hadi Dar, KIA, na Zanzibar, hakuna ndege ya Nairobi kwenda Dodoma. Vilevile hakuna bus la Dar kwenda Nairobi. Ndege kutoka Dar kwenda Mpanda ni mara tatu kwa wiki, na mara nyingi huwa zinaahirishwa.
 
Ndege zipo Nairobi hadi Dar, KIA, na Zanzibar, hakuna ndege ya Nairobi kwenda Dodoma. Vilevile hakuna bus la Dar kwenda Nairobi. Ndege kutoka Dar kwenda Mpanda ni mara tatu kwa wiki, na mara nyingi huwa zinaahirishwa.
Zimewahi kuahirishwa lini?
 
Ungeanda ndege kutoka Nairobi hadi Dar

Kisha ungechukua ndege nyingine toka Dar hadi uwanja ndege wa Katavi mbona zipo kibao

Acha ubahili

Maisha ndio haya haya sio kila hela unawaza Tu Ku save upate tofali za kujenga nyumba
Kwa sasa hali ya kiuchumi siyo nzuri, ngoja nikishavuna mshindi yangu na kuuza nitapanda ndege hadi kigoma hslafu nipande MV Liemba inivushe hadi Lubumbashi niingie Congo DRC kufanya utalii wa ndani.
 
Back
Top Bottom