muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Hiyo barabara aisee kuna siku wananchi walifunga barabara kuna mtoto aligongwa na gari, polisi walikuja wakachemsha, tulikaa hapo 4hrs aisee..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WAnaKomaa na CHADEMAWadau wana bodi, niko natoka zangu jijini Nairobi kupitia Namanga kurejea Dar na baadaye kwenda nyumbani Katavi. Maajabu baada ya kuvuka Mkata tumekuta mrundikano wa magari, ya kuenda Dar hayaendi na ya kutoka Dar hayapiti. Hamna anayetuambia shida ni nini. Aliye na taarifa za uhakika atujuze. Natanguliza shukrani