Tetesi: Kuna nini kinaendelea bima? Hospitali hazijalipwa madai zaidi ya miezi 5

Tetesi: Kuna nini kinaendelea bima? Hospitali hazijalipwa madai zaidi ya miezi 5

SHIRIKA LA BIMA LIMEFILISIKA HOSPITALI ZINADAI PESA ZAIDI YA MIEZ 5 BILA MALIPO, WANANCHI TUMEANZA KUONJA JOTO HILI,UKIENDA MUHIMBILI HUDUMA YA HARAKA KWA MGONJWA WA BIMA IMEPUNGUA SANA, NI MALALAMIKO KILA KONA.

JE, MNAPOSEMA BIMA KWA WOTE MTAWEZAJE WAKATI HILI LA KUZILIPA HOSPITALI TUPATE HUDUMA INAYOSTAILI HAMLIPI. Kwa habari za chini Hadi wazabuni wanaopeleka vifaa tiba Mahospitalini wamegoma
Sasa hii nchi tunaipeleka wapi BIMA mmekaa kulipana maposho Kwenye viko na kujilimbikizia mikopo Hulu SHIRIKA likifa

Sasa linatafutiwa mbinu ya bima Kwa wote, Bila kujua kuchuguza ufanisi wa SHIRIKA, kwanini kusewepo na machirika mengi wakapambanishwa hili linawapa kiburi
Ccm mbere kwa mbere
 
Hakuna kadi za Bima ya afya zinazodharaulika kama za NHIF. Yani ukitoa ile kadi unaonekana kama fukara wa mwisho kabisa.
 
Nyie pigeni kelele wakati wengine tunavaa hizi (milioni mia) mkononi.
Good enough ni kuwa kina Lucas mwashambwa wapo wakipiga ngoma na tarumbeta kuwa "mitano tena" huku hiyo miwili tuu NHIF imetushinda, Tanesco chali, Sukari munaiona kwenye picha, bei juu kila kitu mshahara uleule na ngoja nikae kimya nimechoka kutaja naenda kupumzika Zenji kula urojo.
20240222_061423.jpg


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Nyie pigeni kelele wakati wengine tunavaa hizi (milioni mia) mkononi.
Good enough ni kuwa kina Lucas mwashambwa wapo wakipiga ngoma na tarumbeta kuwa "mitano tena" huku hiyo miwili tuu NHIF imetushinda, Tanesco chali, Sukari munaiona kwenye picha, bei juu kila kitu mshahara uleule na ngoja nikae kimya nimechoka kutaja naenda kupumzika Zenji kula urojo.View attachment 2911946

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Huu ni upendo wa agape, mitano tena!
20240222_061401.jpg


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
SHIRIKA LA BIMA LIMEFILISIKA HOSPITALI ZINADAI PESA ZAIDI YA MIEZ 5 BILA MALIPO, WANANCHI TUMEANZA KUONJA JOTO HILI,UKIENDA MUHIMBILI HUDUMA YA HARAKA KWA MGONJWA WA BIMA IMEPUNGUA SANA, NI MALALAMIKO KILA KONA.

JE, MNAPOSEMA BIMA KWA WOTE MTAWEZAJE WAKATI HILI LA KUZILIPA HOSPITALI TUPATE HUDUMA INAYOSTAILI HAMLIPI. Kwa habari za chini Hadi wazabuni wanaopeleka vifaa tiba Mahospitalini wamegoma
Sasa hii nchi tunaipeleka wapi BIMA mmekaa kulipana maposho Kwenye viko na kujilimbikizia mikopo Hulu SHIRIKA likifa

Sasa linatafutiwa mbinu ya bima Kwa wote, Bila kujua kuchuguza ufanisi wa SHIRIKA, kwanini kusewepo na machirika mengi wakapambanishwa hili linawapa kiburi
Serikali ambayo haijali wananchi wake huwa haiwaweki kwenye mipango hata kama wakiwaweka huwa inawapuuza kwenye kuwahudumia.

Bima ni case study
 
Sasa pesa zetu zinazokatwa zinaenda wapi?
Mbona hatari?
Ile awamu ilichota mipesa sio pesa ni MIPESA Kutoka mifuko mbalimbali ikiwemo hili NHIF,,

Pesa zkaenda ktk mirad🙄,, ufanisi lazima upungue,,

Majibu wanayo wahusika lakini kama ujuavyo mwenye kisu kikali 🤣🙌
 
Ile awamu ilichota mipesa sio pesa ni MIPESA Kutoka mifuko mbalimbali ikiwemo hili NHIF,,

Pesa zkaenda ktk mirad🙄,, ufanisi lazima upungue,,

Majibu wanayo wahusika lakini kama ujuavyo mwenye kisu kikali 🤣🙌
Aisee Kwa hiyo ilikuwa ni lazima tungefika hiki kipindi, cha mifuko kufilisika, na miradi Ku stuck!!
Hivi hatunaga plan za muda mrefu?
Au inategemea na ubabe wankiongozi.
 
SHIRIKA LA BIMA LIMEFILISIKA HOSPITALI ZINADAI PESA ZAIDI YA MIEZ 5 BILA MALIPO, WANANCHI TUMEANZA KUONJA JOTO HILI,UKIENDA MUHIMBILI HUDUMA YA HARAKA KWA MGONJWA WA BIMA IMEPUNGUA SANA, NI MALALAMIKO KILA KONA.

JE, MNAPOSEMA BIMA KWA WOTE MTAWEZAJE WAKATI HILI LA KUZILIPA HOSPITALI TUPATE HUDUMA INAYOSTAILI HAMLIPI. Kwa habari za chini Hadi wazabuni wanaopeleka vifaa tiba Mahospitalini wamegoma
Sasa hii nchi tunaipeleka wapi BIMA mmekaa kulipana maposho Kwenye viko na kujilimbikizia mikopo Hulu SHIRIKA likifa

Sasa linatafutiwa mbinu ya bima Kwa wote, Bila kujua kuchuguza ufanisi wa SHIRIKA, kwanini kusewepo na machirika mengi wakapambanishwa hili linawapa kiburi
Kwa HIV vinchi vyetu vya ki Afrika kama TZ, ukiona serikali inaanzisha mifuko ya kuweka pesa kama hifadhi ya jamii, au afya, jua hapo ndio kenge wa chama tawala wanapopigia pesa,, bima ya afya, haiwezi kuwa na pesa, pesa zake,zimewekwa hazina,serikali inajichotea tu!
 
Na siku hiz ukienda hosp kutibiwa na bima ni mpk siku tano zipite ndo unaruhisiwa kutumia tena bima
 
Wizi unavyofuja mfuko wa bima ya Afya. Mkurugenzi wa Mashataka DCI Kenya aweka wazi jinsi magenge ya wajanja wachache wanavyofanya ufisadi na wizi

NHIF HEIST: Blowing cover on how millions are swindled through fictitious private hospital claims


View: https://m.youtube.com/watch?v=TExaWrJOeBI


Massive fraud unearthed in NHIF scheme: Sh20 billion lost to fake claims​

Massive fraud unearthed in NHIF scheme: Sh20 billion lost to fake claims

A picture of the NHIF headquarters in Upper Hill, Nairobi.
By By Patel Okumu | 05 Jan 2024


In a shocking revelation, the Ministry of Health disclosed that the National Health Insurance Fund (NHIF) scheme has suffered a staggering loss of Sh20 billion due to fraudulent activities, including manufactured claims and fake surgeries, among other schemes orchestrated by health facilities.

Health Cabinet Secretary Wafula Nakhumicha, in a Friday statement, exposed the scandal affecting health facilities across the country. Out of the 67 audited hospitals, 27 have been suspended for their involvement in the loss of Sh171 million through the NHIF program.


CS Nakhumicha disclosed that approximately 40% of the total hospitals in the country (3,440) engaged in irregular processes, resulting in substantial Sh20 billion losses. She stated, “Between January and December 2023, out of 67 audited hospitals, 27 were found to be involved in fraudulent activities, resulting in a loss of Sh171 million.”

The newly unveiled Social Health Authority (SHA) conducted an operation revealing various fraudulent activities. These activities include induced demand targeting vulnerable citizens, induced sickness with deceitful activation of dormant member accounts, and financing medically unwarranted treatments. Vulnerable groups such as the elderly were particularly targeted in areas like Nairobi, Meru, Nyahururu, Muranga, Kerugoya, Makueni, TharakaNithi, Subukia, Nanyuki, Bungoma, Chuka, and Machakos.

CS Nakhumicha highlighted instances where facilities utilized fictitious records, falsely indicating members undergoing major surgeries while actively at work. Some facilities even used security guards from licensed security firms, financially inducing them to provide biometrics for fraudulent purposes.

The ministry uncovered anomalies, including healthcare facilities enticing healthy students under the EduAfya cover and providing them with food incentives for their biometrics, resulting in significant financial losses.

Despite the widespread fraud, the ministry assured the public of efforts to restore integrity in healthcare provision. Recovery of the lost claims is underway, with Sh17.7 million recovered out of the Sh171 million lost. Several hospitals involved in fraudulent activities through the NHIF scheme have been identified, and recoveries have been initiated. These hospitals include Jekim Hospital Meru, Joy Nursing & Maternity, St. Peter’s Orthopedic and Surgical Specialty, Charity Medical Centre, and many others

Nadhani Tanzania, wakianza kuzuia vitu kama hivyo, jamaa huonekana wabaya.
 
Nadhani Tanzania, wakianza kuzuia vitu kama hivyo, jamaa huonekana wabaya.

mengi sana yanaendelea wajanja kuunda magenge na kufuja fedha za NHIF. Watu wanajichotea bila wasiwasi.

Kenya NHIF wamethibitisha ukora upo na wameamua kuudhibiti, kwetu Tanzania hakuna tamko nini kinaendelea katika ufujaji Bima ya Afya .
 
Back
Top Bottom