Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
😆😆😆 Mama ndio katoa tip hiyo ?Walizoea sana kutuonea kutufanyia figisu sahv na sisi tumejifunza
Ahsante sana Mama Samia
Bado sijaelewa hali hii imetokana na nini , Walianza Al Ahaly lakini sasa hata Mamelod wamefanya hivyo !
Je kuna nini huku Bongo hadi timu hizi ziogope kula kwenye mahoteli yetu ?
View attachment 2947626
Walizoea sana kutuonea kutufanyia figisu sahv na sisi tumejifunza
Ahsante sana Mama Samia
Hata SIMBABado sijaelewa hali hii imetokana na nini, Walianza Al Ahaly lakini sasa hata Mamelod wamefanya hivyo !
Je, kuna nini huku Bongo hadi timu hizi ziogope kula kwenye mahoteli yetu?
View attachment 2947626
Ubalozi wa Marekani kila baada ya muda kuna mdege mkubwa wa Jeshi la Marekani utaona umepaki pale airport ndio huwa inaleta vyakula na maji Kwa ajili ya matumizi ya ubalozi wa Marekani.Bado sijaelewa hali hii imetokana na nini, Walianza Al Ahaly lakini sasa hata Mamelod wamefanya hivyo !
Je, kuna nini huku Bongo hadi timu hizi ziogope kula kwenye mahoteli yetu?
View attachment 2947626
Asante MtaalamMambo ya kawaida kwa timu zilizoendelea, vyakula vya wachezaji vinakuwa under control ya wataalamu wa lishe...
AahaaasKaka yanga wanatuma mjin kwenye vyakula .usile bila kuomba sisi wenyewe tumewachoka tumewapa kombe wasije kutuuwa.
Bila mama ATCL isingepata hasaraView attachment 2947645
bila mama Samia tusingeingiza timu mbili robo fainali
Timu zilizoendelea? Kwahiyo hata liver anasafiri na msosi?Mambo ya kawaida kwa timu zilizoendelea, vyakula vya wachezaji vinakuwa under control ya wataalamu wa lishe...
Duh!Kama hatutawapata kwenye chakula, tutawapata kwenye hewa. Labda kama wamekuja na hewa yao.