Kuna nini nyuma ya kuuawa kwa Makasisi wa Kanisa Katoliki?

Kuna nini nyuma ya kuuawa kwa Makasisi wa Kanisa Katoliki?

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Ndani ya mwaka mmoja Makasisi wawili wa Kanisa Katoliki wameuawa kikatili mmoja huko Dar es Salaam na mwingine huko Mbeya.

Vifo vya Makasisi tena kwa kulengwa na kuteswa hakika si jambo la kupuuzwa hata kidogo!

Kanisa Katoliki yalipasa kwanza like likemee tabia hiyo na pili lichunguze lenyewe chanzo cha kadhia hiyo kwa sababu Katoliki ni Taasisi iliyo na nyenzo za kiuchunguzi tena zilizoboreka kwalo.

Shime Kanisa la Roma amukeni kabla hamjamalizwa.
 
Hawakuwa jesuit au teeth?

Kama wamezingua washikishwe tu adabu ili iwe funzo kwa wengine.

Watakuwa wanatombaga walei ha6
 
Katoliki ukitaka kuhoji au kuwashtua basi wanakushtua wewe kwanza.

Soma hiki kitabu

IMG_7434.jpg
 
Kumradhi hivi Amukeni au Amkeni?
Anyway hapa si ajabu factor kubwa itakuwa ni mkinzano wa kiimani au sababu za kimaslahi.
 
Uzuri wa Ukristo, Ni MUNGU ndiye hujibu.

MUNGU wetu sio kiziwi, na wala si kilema - Atajibu na Atatenda
 
Naungana na wewe kwenye kufanya uchunguzi wa kina ili kujua chanzo hasa cha hao makasisi wawili.

Ingawa ifahamike pia, hao makasisi wanaishi kwenye jamii iliyogubikwa na mauaji ya kila aina! Hivyo lolote linaweza kutokea.
 
Naungana na wewe kwenye kufanya uchunguzi wa kina ili kujua chanzo hasa cha hao makasisi wawili.

Ingawa ifahamike pia, hao makasisi wanaishi kwenye jamii iliyogubikwa na mauaji ya kila aina! Hivyo lolote linaweza kutokea.
Kweli kabisa,umeongea point.
 
Na haya yanatokea Rais akiwa Muislam, kama yalivyokuwa Zanzibar awamu ya nne.
 
Ukiona matukio kama haya yanaisha bila kupata au kutolewa taarifa ya kina na usahihi kwamba nini kilijiri ujue baraza lina ABC juu ya matukio hayo.

Yote ya yote sie sote ni mavumbi nako tutarejea, haijalishi tutarejea kwa namna gani ila tu tutarejea, yeye aliyefanya tukawepo atujalie mwisho mwema, ajaliwe pumziko la amani.
 
1. Kugombea Madaraka kati yao.
2. Tamaa ya mali na kujihusisha na njia zisizo rasmi kujipatia mali kati yao na watu wa nje(wasio makasisi).
3. Tamaa ya ngono! Wake za watu ni sumu, kamwe haiwezi kukuacha salama!
 
Back
Top Bottom