Kuna njia nyingine naweza pata mkopo wa hazina bila kupita halmashauri?

Kuna njia nyingine naweza pata mkopo wa hazina bila kupita halmashauri?

Optimists

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2021
Posts
379
Reaction score
1,082
Hii ni mikopo inayotumwa halmashauri, nipo kigoma ni mtumishi mwaka wa nne nafatilia sipati, nikiingia kwenye hazina portal wanaonyesha naweza pata million 20, nimejitahidi kweli kweli kuupata lakini naona mambo yamekua magumu kweli.

Vipi Kuna namna nyingine naweza pata huu mkopo Ambao hauna riba? Kuna njia nyingine ya kupata tofauti na halmashauri? Kuna ofa million Moja hapa nikifanikisha.
 
Hii ni mikopo inayotumwa halmashauri, nipo kigoma ni mtumishi mwaka wa nne nafatilia sipati, nikiingia kwenye hazina portal wanaonyesha naweza pata million 20, nimejitahidi kweli kweli kuupata lakini naona mambo yamekua magumu kweli.

Vipi Kuna namna nyingine naweza pata huu mkopo Ambao hauna riba? Kuna njia nyingine ya kupata tofauti na halmashauri? Kuna ofa million Moja hapa nikifanikisha.
Kwani unashida gani kiasi cha kulazimisha upate mkopo? Unajua nyie watumishi hususani waalimu mna kasumba ya kukopa hata kama huna haja kubwa badaye take home zinapungua mnaanza kutumika vibaya
 
Hii ni mikopo inayotumwa halmashauri, nipo kigoma ni mtumishi mwaka wa nne nafatilia sipati, nikiingia kwenye hazina portal wanaonyesha naweza pata million 20, nimejitahidi kweli kweli kuupata lakini naona mambo yamekua magumu kweli.

Vipi Kuna namna nyingine naweza pata huu mkopo Ambao hauna riba? Kuna njia nyingine ya kupata tofauti na halmashauri? Kuna ofa million Moja hapa nikifanikisha.
Utapata mkopo bila mdhamini wako/halmashauri kuelewa?
 
Kwani unashida gani kiasi cha kulazimisha upate mkopo? Unajua nyie watumishi hususani waalimu mna kasumba ya kukopa hata kama huna haja kubwa badaye take home zinapungua mnaanza kutumika vibaya
Naendeleza biashara yangu ya vifaa vya ujenzi mkuu, nataka nipanuke zaidi maana huku gap naliona.
 
Kwani unashida gani kiasi cha kulazimisha upate mkopo? Unajua nyie watumishi hususani waalimu mna kasumba ya kukopa hata kama huna haja kubwa badaye take home zinapungua mnaanza kutumika vibaya
Nilianza na duka dogo dogo tu vitu vichache kwa million 3, nilikua na deal na misumari, kufuli, gundi za mbao, spray, sasahivi nataka niingie full. Niweke mdf n.k
 
Nilianza na duka dogo dogo tu vitu vichache kwa million 3, nilikua na deal na misumari, kufuli, gundi za mbao, spray, sasahivi nataka niingie full. Niweke mdf n.k
Duka likipanuka zaidi si utalazima kuacha ajira wakati tayari una mkopo wa 20m, anyway nyie Waha ni wapambanaji japo ni wabishi sanaa.
 
Duka likipanuka zaidi si utalazima kuacha ajira wakati tayari una mkopo wa 20m, anyway nyie Waha ni wapambanaji japo ni wabishi sanaa.
Mimi sio muha, mimi home mwanza nimeajiriwa huku, nimeamua kukaa huku huku.
 
Ongea na mkurugenzi wa halmashauri yako husika atakupa mwongozo. Dada yangu ni mtumishi wa Serikali amepata mkopo mwaka huu baada ya kuhangaika kwa miaka mitatu nyuma.
 
Subiria Mwaka Ujao wa Fedha.

Na jinsi ilivyo ni lazima Halmshauri husika ihusike kwenye sehemu yake.

Tatizo huko Kwenye mahalmashauri mnakunjiana sana na pia mikopo hiyo inatawaliwa na Lobbying, Syndicate Pamoja na Rushwa kwa baadhi ya Ma HR.
 
Subiria Mwaka Ujao wa Fedha.

Na jinsi ilivyo ni lazima Halmshauri husika ihusike kwenye sehemu yake.

Tatizo huko Kwenye mahalmashauri mnakunjiana sana na pia mikopo hiyo inatawaliwa na Lobbying, Syndicate Pamoja na Rushwa kwa baadhi ya Ma HR.
Huu ndio ukweli, miaka 4 yote nimepambania nimekosa.
 
Kwema mkuu,
Pole sana kwa changamoto ila kwasasa huduma hii ya mikopo ya hazina imeboreshwa namna ya upatikanaji wake. Waombaji wote wataomba kupitia mfumo. Good news ni kwamba sio Halmashauri wanao manage huo mfumo wao ni user tu kama wengine na unafanya kazi kwa mtindo wa FIFO yani First In, First Out na pia utakuweka kwenye queue kama hutofanikiwa kupata mwaka husika till next year na utakuwa wewe wa kwanza kwenye list ya waombaji.

So, hata Hazina wenyewe wanatambua changamoto hizo. Sasa kama uko na ofa hiyo uliyoitaja kwanini usimtafute mratibu wa hiyo mikopo kwenye Halmashaur yako mkamalizana.

Mkuu lakini pia jiridhishe nidhamu yako pia maana kuna kamati ya hiyo mikopo wanapitia mmoja mmoja na kujiridhisha kama unafaa usikute maboss zako ambao ni wakuu wa idara ulishayatimba wanakuchinja tu huko.

All the best Ngosha
 
Back
Top Bottom