Kuna njia nyingine naweza pata mkopo wa hazina bila kupita halmashauri?

Kuna njia nyingine naweza pata mkopo wa hazina bila kupita halmashauri?

Kwema mkuu,
Pole sana kwa changamoto ila kwasasa huduma hii ya mikopo ya hazina imeboreshwa namna ya upatikanaji wake. Waombaji wote wataomba kupitia mfumo. Good news ni kwamba sio Halmashauri wanao manage huo mfumo wao ni user tu kama wengine na unafanya kazi kwa mtindo wa FIFO yani First In, First Out na pia utakuweka kwenye queue kama hutofanikiwa kupata mwaka husika till next year na utakuwa wewe wa kwanza kwenye list ya waombaji.

So, hata Hazina wenyewe wanatambua changamoto hizo. Sasa kama uko na ofa hiyo uliyoitaja kwanini usimtafute mratibu wa hiyo mikopo kwenye Halmashaur yako mkamalizana.

Mkuu lakini pia jiridhishe nidhamu yako pia maana kuna kamati ya hiyo mikopo wanapitia mmoja mmoja na kujiridhisha kama unafaa usikute maboss zako ambao ni wakuu wa idara ulishayatimba wanakuchinja tu huko.

All the best Ngosha
Kweli mkiu, umenena vyema sana.
 
Naendeleza biashara yangu ya vifaa vya ujenzi mkuu, nataka nipanuke zaidi maana huku gap naliona.
Pambana sana mkuu. Kigoma kuna fursa sana japo watu wengi wanapadharau sana. Watumishi wengi au wageni wakijaga huko huwa hawataki kutoka mkoa huo. Vipi upo maeneo gani hapo Kigoma?
 
Pambana sana mkuu. Kigoma kuna fursa sana japo watu wengi wanapadharau sana. Watumishi wengi au wageni wakijaga huko huwa hawataki kutoka mkoa huo. Vipi upo maeneo gani hapo Kigoma?
Nipo kigoma mjini mkuu manispaa hapa, hata Mimi nilikuja huku moyo na akili nilikua nawaza kutoka huku, lakini nimeamua kukaa kigoma nifanye maisha.
 
Kama biashara umeijua na inauwezo wa kurejesha faida kwa nini usumbuke miaka 3, kwa Nini usiingie NMB, mikopo ya Biashara. 10m mwaka mmoja unarejesha 11.3. Yaani ukiona unaziogopa bank ujue biashara yako huna uhakika nayo
 
Kwani unashida gani kiasi cha kulazimisha upate mkopo? Unajua nyie watumishi hususani waalimu mna kasumba ya kukopa hata kama huna haja kubwa badaye take home zinapungua mnaanza kutumika vibaya
Kwani tukikopa wewe unaumia nini? Ulishawahi kulala njaa nyumbani kwako kisa mwalimu kakopa bila sababu? Kuwa na sifa ya kukopesheka ni heshima kubwa sana kwa mtu yoyote,hata mimi nataka nikope
 

Attachments

  • Screenshot_20240510-162451~2.png
    Screenshot_20240510-162451~2.png
    377 KB · Views: 59
Kama biashara umeijua na inauwezo wa kurejesha faida kwa nini usumbuke miaka 3, kwa Nini usiingie NMB, mikopo ya Biashara. 10m mwaka mmoja unarejesha 11.3. Yaani ukiona unaziogopa bank ujue biashara yako huna uhakika nayo
mmh mkopo wa benki gani ulipe kidogo ivo?riba ni ngapi?
 
Kwema mkuu,
Pole sana kwa changamoto ila kwasasa huduma hii ya mikopo ya hazina imeboreshwa namna ya upatikanaji wake. Waombaji wote wataomba kupitia mfumo. Good news ni kwamba sio Halmashauri wanao manage huo mfumo wao ni user tu kama wengine na unafanya kazi kwa mtindo wa FIFO yani First In, First Out na pia utakuweka kwenye queue kama hutofanikiwa kupata mwaka husika till next year na utakuwa wewe wa kwanza kwenye list ya waombaji.

So, hata Hazina wenyewe wanatambua changamoto hizo. Sasa kama uko na ofa hiyo uliyoitaja kwanini usimtafute mratibu wa hiyo mikopo kwenye Halmashaur yako mkamalizana.

Mkuu lakini pia jiridhishe nidhamu yako pia maana kuna kamati ya hiyo mikopo wanapitia mmoja mmoja na kujiridhisha kama unafaa usikute maboss zako ambao ni wakuu wa idara ulishayatimba wanakuchinja tu huko.

All the best Ngosha
Huyo mratibu wa Mikopo unayemshauri amalizane naye ndio mtaka Rushwa na au kinara wa Kuratibu syndication yao.

Kamati inayopitia maombi hayo huwa wanatawaliwa na ubinafsi na pia huangalia wale walio karibu yao zaidi na Mara nyingine hutoa kipaumbele kwa wale Watoa rushwa.

Kama mshahara wake unaruhusu yeye kukopa hicho ni kigezo muhimu hivyo vingine vinatoa loopholes za kubaguana na kupendeleana tu.
 
Hii ni mikopo inayotumwa halmashauri, nipo kigoma ni mtumishi mwaka wa nne nafatilia sipati, nikiingia kwenye hazina portal wanaonyesha naweza pata million 20, nimejitahidi kweli kweli kuupata lakini naona mambo yamekua magumu kweli.

Vipi Kuna namna nyingine naweza pata huu mkopo Ambao hauna riba? Kuna njia nyingine ya kupata tofauti na halmashauri? Kuna ofa million Moja hapa nikifanikisha.
Hebu fafanua hazina ndio Benki gani?
Kama hiyo Benki ya hazina ilitaka kukukopesha milioni 20 sasa tatizo ni nini?
Ufafanuzi tafadhali.
 
Mikopo Ya Hazina Ina Riba Ndogo Sana Sana 3%
Naiona Imejaa Sana Watu Wanapata Tu Tena Chap
Kigoma Upo Mkoani Ama Kijijini
 
Kwani tukikopa wewe unaumia nini? Ulishawahi kulala njaa nyumbani kwako kisa mwalimu kakopa bila sababu? Kuwa na sifa ya kukopesheka ni heshima kubwa sana kwa mtu yoyote,hata mimi nataka nikope
Duh,nmeona kuna mkopo unakatwa elf 10 hapo. Halafu ulikopa pesa nyingi tu. Ni miaka mingap aisee,naona kama makato ya elf 10 ni madogo sana
 
Back
Top Bottom