Kuna nyimbo unaisikiliza na huikinai siku zote?

Fatumaa =by super Motisha nikiwa kwenye road trip za kukimbiza maisha lazima nitausikiliza sana.Mume wangu Jerry =sikinde ngoma ya ukae. Nuru=Mtoni Lutheran church;hizi nyimbo ninaweza kusikiliza hizo tu kutoka lingusenguse hadi Mtukula!
 
Salaam kwenu wana MUNGU,

Kuna hii nyimbo ya gospel inaitwa maneno mazuri yakwake japhet wa zabron singers ft Ambwene Mwasongwe, hainichoshi jamani.

Naisikiliza tena na tena, tena na tena, nyimbo inaujumbe mahsusi hii.
Mimi ni wa juu, sitabaki kama nilivyo = Joel Lwaga.
Naona kama ameimba kwa sababu yangu.
Mimi ni shahidiπŸ™πŸ½πŸ™πŸ½
 
2pac changes
2pac can't me
Bella shrmuda triumpant
Meek mill respect the game na 1942 flows
πŸ”πŸ”
Rule no 1
Never count your homies pocket think that u deserve
Rule no 2
Never love a bitch who fucks for some purses
NB: Before you knew her nigga was fuckin her better πŸ‘Š
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…