Kuna ofisi ukizitembelea unakuta 'staff' wake wanatia huruma sana kwa kweli

Kuna ofisi ukizitembelea unakuta 'staff' wake wanatia huruma sana kwa kweli

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Leo bana nilikua nataka bidhaa flani ila kwa bei ya jumla,so jamaa angu flani akaniunganisha na hao sijui ni wahindi au wachina wale nikaenda kwenye hiyo office kupata hiyo bidhaa.
Kwanza getini ile unaingia tu mlinzi anakuomba buku la maji.
Ukiingia ndani unakuta staff muda wa lunch wamelala chini ya miembe huku wengine wanatungua maembe kwa mawe,wengine muda wa lunch wanakula mihogo na energy drinks.
Dah,nimesikitika sana kwa kweli.
 
Leo bana nilikua nataka bidhaa flani ila kwa bei ya jumla,so jamaa angu flani akaniunganisha na hao sijui ni wahindi au wachina wale nikaenda kwenye hiyo office kupata hiyo bidhaa.
Kwanza getini ile unaingia tu mlinzi anakuomba buku la maji.
Ukiingia ndani unakuta staff muda wa lunch wamelala chini ya miembe huku wengine wanatungua maembe kwa mawe,wengine muda wa lunch wanakula mihogo na energy drinks.
Dah,nimesikitika sana kwa kweli.
Shukuru Mungu umeliona hili mkuu ni funzo kupitia hilo. Kuna wengine tupo nyumbani tu
 
Waache Wachina/Wahindi waendelee kuwanyonya ndugu zetu

Serikali si imelala

Kwa mujibu wa maelekezo ya Serikali, kima cha Chini cha mshahara kilipaswa kuwa 310,000 lakini wapo wafanyakazi kwenye hivyo viwanda vya Wahindi/Wachina wanalipwa 150,000 Kwa Mwezi, hapo nauli ya mfanyakazi

Ukija wafanyakazi wa ndani, nao wanalipwa elfu 30 hadi 50

Kwa kweli hali mbaya mno
 
Leo bana nilikua nataka bidhaa flani ila kwa bei ya jumla,so jamaa angu flani akaniunganisha na hao sijui ni wahindi au wachina wale nikaenda kwenye hiyo office kupata hiyo bidhaa.
Kwanza getini ile unaingia tu mlinzi anakuomba buku la maji.
Ukiingia ndani unakuta staff muda wa lunch wamelala chini ya miembe huku wengine wanatungua maembe kwa mawe,wengine muda wa lunch wanakula mihogo na energy drinks.
Dah,nimesikitika sana kwa kweli.
Kibaruani kwetu ukila mchana unaitwa Boss unaweza kurogwa kabisa
 
Waache Wachina/Wahindi waendelee kuwanyonya ndugu zetu

Serikali si imelala

Kwa mujibu wa maelekezo ya Serikali, kima cha Chini cha mshahara kilipaswa kuwa 310,000 lakini wapo wafanyakazi kwenye hivyo viwanda vya Wahindi/Wachina wanalipwa 150,000 Kwa Mwezi, hapo nauli ya mfanyakazi

Ukija wafanyakazi wa ndani, nao wanalipwa elfu 30 hadi 50

Kwa kweli hali mbaya mno
Inawezekana suala la mishahara midogo inasababishwa na gharama za uzalishaji zipo juu na bei ya bidhaa ipo chini sana ili kushindana na bei ya bidhaa nyingine.
 
Inawezekana suala la mishahara midogo inasababishwa na gharama za uzalishaji zipo juu na bei ya bidhaa ipo chini sana ili kushindana na bei ya bidhaa nyingine.
Inawezekana ikawa hiyo ndiyo sababu, lakini ni vyema uwe na watumishi wachache wafanisi ambao unaweza kuwalipa vizuri

Nimewahi kwenda kwenye kiwanda cha Mo cha Mafuta hapo Kipawa, Kwa kweli ni kama Serikali haipo

Watu wanafanya kazi Kwa kulipwa Chini ya laki 2 Kwa Mwezi, na ukute mtu anaishi Chanika ndani ndani huko ambapo nauli peke yake anatumia zaidi ya shilingi 60,000 Kwa Mwezi 🙌
 
Waache Wachina/Wahindi waendelee kuwanyonya ndugu zetu

Serikali si imelala

Kwa mujibu wa maelekezo ya Serikali, kima cha Chini cha mshahara kilipaswa kuwa 310,000 lakini wapo wafanyakazi kwenye hivyo viwanda vya Wahindi/Wachina wanalipwa 150,000 Kwa Mwezi, hapo nauli ya mfanyakazi

Ukija wafanyakazi wa ndani, nao wanalipwa elfu 30 hadi 50

Kwa kweli hali mbaya mno
Oya kaka ni noma hao wachina kama ni cheap labor kwa TZ imefana mno sijui kama KENYA upoo
 
Waache Wachina/Wahindi waendelee kuwanyonya ndugu zetu

Serikali si imelala

Kwa mujibu wa maelekezo ya Serikali, kima cha Chini cha mshahara kilipaswa kuwa 310,000 lakini wapo wafanyakazi kwenye hivyo viwanda vya Wahindi/Wachina wanalipwa 150,000 Kwa Mwezi, hapo nauli ya mfanyakazi

Ukija wafanyakazi wa ndani, nao wanalipwa elfu 30 hadi 50

Kwa kweli hali mbaya mno

Kwanini hao wafanyakazi wasikatae mshahara ambao haulingani na kima cha chini kama ilivyoelekezwa na serikali???
 
Oya kaka ni noma hao wachina kama ni cheap labor kwa TZ imefana mno sijui kama KENYA upoo
Tatizo la Tanzania, pamoja na kwamba tunaongozwa Kwa Sheria, Rushwa imechukua Utu wetu kabisa

Unaweza kukuta hao maafisa wa Serikali wakienda kwenye hivyo viwanda wanapewa Rushwa ya milioni 2 mbili wanasahau kuwatetea Watanzania wenzetu
 
Tatizo la Tanzania, pamoja na kwamba tunaongozwa Kwa Sheria, Rushwa imechukua Utu wetu kabisa

Unaweza kukuta hao maafisa wa Serikali wakienda kwenye hivyo viwanda wanapewa Rushwa ya milioni 2 mbili wanasahau kuwatetea Watanzania wenzetu
Daaah hilo ni kweli kabisa wakifungiwa bahasha ndio kwisha kabisa Mungu anipe nafasi nije niache legacy kwa wanyonge
 
Leo bana nilikua nataka bidhaa flani ila kwa bei ya jumla,so jamaa angu flani akaniunganisha na hao sijui ni wahindi au wachina wale nikaenda kwenye hiyo office kupata hiyo bidhaa.
Kwanza getini ile unaingia tu mlinzi anakuomba buku la maji.
Ukiingia ndani unakuta staff muda wa lunch wamelala chini ya miembe huku wengine wanatungua maembe kwa mawe,wengine muda wa lunch wanakula mihogo na energy drinks.
Dah,nimesikitika sana kwa kweli.
Unafaa kuwa Teeth
 
Daaah hilo ni kweli kabisa wakifungiwa bahasha ndio kwisha kabisa Mungu anipe nafasi nije niache legacy kwa wanyonge
Mungu akusaidie Mkuu uje uwe tegemeo Kwa Watanzania wengi wanyonge

JPM ameweza kuwafanya Watanzania waendelee kumkumbuka, hata kama sio wengi lakini Kwa Msiba wake ulionesha kuna watu amewagusa katika maisha yao
 
Back
Top Bottom