kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Leo bana nilikua nataka bidhaa flani ila kwa bei ya jumla,so jamaa angu flani akaniunganisha na hao sijui ni wahindi au wachina wale nikaenda kwenye hiyo office kupata hiyo bidhaa.
Kwanza getini ile unaingia tu mlinzi anakuomba buku la maji.
Ukiingia ndani unakuta staff muda wa lunch wamelala chini ya miembe huku wengine wanatungua maembe kwa mawe,wengine muda wa lunch wanakula mihogo na energy drinks.
Dah,nimesikitika sana kwa kweli.
Kwanza getini ile unaingia tu mlinzi anakuomba buku la maji.
Ukiingia ndani unakuta staff muda wa lunch wamelala chini ya miembe huku wengine wanatungua maembe kwa mawe,wengine muda wa lunch wanakula mihogo na energy drinks.
Dah,nimesikitika sana kwa kweli.