Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,636
- 6,178
Watu wana maisha Duni, hivyo wanajaribu kuvumilia tu
Wanasema mtumikie kafiri upate Mtaji wako
Sawa kabisa mkuu.
Ndio maana mimi nikataka kuweka hoja yangu kwamba, ajira pia ni soko huria. Huwezi kumlazimisha mtu alipe 310,000/= wakati huenda gharama za uzalishaji, usambazaji, marketing na kodi za serikali pia zinambana hivyo ili apate faida kidogo inabidi abanane na wafanyakazi. Hapo bado wafanyakazi hawajamuibia, kumpa hasara kwa uzembe n.k na sisi watu weusi tunajijua mambo yetu tuna tamaa sana na tunapenda short cut.
Pia nafahamu waajiri wanyonyaji pia lakini soko linaendeshwa na principle of demand and supply. Kukiwa na watu wachache walio tayari kufanya kazi huko maviwandani kwa wahindi, lazima watapandisha ili kuwavutia watu waache kilimo na ufugaji vijijini waje mjini.
Serikali haina cha kufanya hapo.
Ndio maana mimi nikataka kuweka hoja yangu kwamba, ajira pia ni soko huria. Huwezi kumlazimisha mtu alipe 310,000/= wakati huenda gharama za uzalishaji, usambazaji, marketing na kodi za serikali pia zinambana hivyo ili apate faida kidogo inabidi abanane na wafanyakazi. Hapo bado wafanyakazi hawajamuibia, kumpa hasara kwa uzembe n.k na sisi watu weusi tunajijua mambo yetu tuna tamaa sana na tunapenda short cut.
Pia nafahamu waajiri wanyonyaji pia lakini soko linaendeshwa na principle of demand and supply. Kukiwa na watu wachache walio tayari kufanya kazi huko maviwandani kwa wahindi, lazima watapandisha ili kuwavutia watu waache kilimo na ufugaji vijijini waje mjini.
Serikali haina cha kufanya hapo.