Kuna ongezeko kubwa la maambukizi ya VVU kwa wasichana wenye umri wa miaka 15-24 Tanzania

Kuna ongezeko kubwa la maambukizi ya VVU kwa wasichana wenye umri wa miaka 15-24 Tanzania

Huwezi kukata fund , you may think it is for benefit ya nchi zetu but not

Hata wao wana benefit,wanapokupa fund wanakupa na predefined conditions za kununua hizo dawa from WHO prequalified Pharmaceutical manufacturers…. And wanafanya audit kuhakikisha the fund is circulating within their own system , there is no free lunch !

Dawa mnazotumia TZ Ni regimen za zaman sana. Zipo Dawa za HIV ambazo zinatumia nanotechnology, release yake ni slow over time , unameza one tablet for HIV, you stay 6 months ndio unameza cha pili for the next 6 months …… kwa American na EU, HIV is no longer an issue

Huko kwenu kwa Kalumanzila bado mnatumia zile ART za 30 tables for every month with lots of combination based on CD4 level , zinaua snaa figo na ku risk obesity

TZ is still a very poor country msidanganyaje , hakuna any development. I can appreciate Kagame kidogo na Kenya
TZ is very poor county’s kuanzia kwenye health setting system pamoja na infrastructure.Nchi nyingi hata mambo ya ujenz wa barabara hukuti hayo mambo yamefanyika miaka hiyo, kwa sasa ukiingia TZ Utasema uhuru umepatikana jana


I wonder viongozi hawaonagi aibu kuwapitisha wakuu wa nchi nyingine kwenye mabarabara ya hapo Dar , wakat wao wakienda kama Korea huko nchi za kawaida tu , njian ni kapeti tu miji misafi, mipangilio ya miji, huwa najiulizaga sana wanakuwaga na ukauzu gani kupitisha wakuu wengine kwenye hayo mabarabara ya ufisadi, au ndio
Wanajizima data ? Shame
No way
Niliposema kukata funding, nilimaanisha kila mahali hadi huko zinapotoka.., ugonjwa utayeyuka kama hewa. Leo hii toa funding ya kupambana na Corona hata bilioni 10 tu, uone ugonjwa utakavyolipuka ghafla from nowhere..
 
It's alarming.

Nikikumbuka ugonjwa ulivyokuwa umeingia miaka hiyo.

1997 kuna mzee mmoja alienda mpaka Uganda kutafuta mitishamba.

Ujio wa dawa ndio umeondoa hofu kwa hao watoto hadi wauone huo ugonjwa kama mafua tu ila wangebahatika kuwaona wahanga wa mwanzo hakika wangenyooka.
 
Hizo takwimu sio sawa ni zaidi ya hapo labda mara 4, nikiangalia kuanzia kazini , mtaani karibu kila nyumba kuna mwathirika wa ukimwi, hasa wenye umri kuanzia 35 mpaka 60,
ni kweli waathirika ni wengi kuliko hao wanaoripotiwa. huu ugonjwa umeshageuka kuwa mradi wa watu fulani. usiri umekuwa mkubwa kila kitu kinafichwa hata data tu. labda ikifika siku watu wakiambiwa wanunue dawa wenyewe ndo ukweli utajulikana kwa harambee zitakazojitokeza.
 
Gen Z hao aka plate number E ukimeet demands zao kukutunuku utelezi siyo habari... Ilimradi ume-meet demands zao and kama wako kwenye mfumo wa elimu at 20 years mpaka hiyo 23 -24 wako chuo so wako tegemezi hawana kazi wako chuo au ndo wamemaliza, wanataka simu nzuri wavae vizuri, waweke expensive wigs, waende kula na kulala hoteli nzuri, waende club wanywe ma Hennessy wa-snap waweke kwenye mitandao..so kuwaopoa ni very very easy kama mfuko uko vizuri.
 
Back
Top Bottom