Kuna option yoyote mtu unaweza kufanya kwenye simu ili mtu akikupigia unakua hupatikani but in reality unapatikana?

Izime
 
Nenda Phone[emoji117]Juu Kulia Bonyez kile Kitufe cha Setting[emoji117]Ingia Harassment Filter[emoji117] Switch On i) Block no. not in contacts ii) Block unknown contact..
Hebu jaribu hivyo... kama kuna hiyo options kwa Simu yako!
Ukimbock mtu anajua sababu simu inasema iko busy
 
Mkuu kujitoa kwenye hiyo ya kwanza nafanyaje? Nishapuyanga nilikua natest mitambo simu haziingii
*21*0754#

msg zitaingia lakini


ukitaka anaepiga aambiwe namba unayopiga haipo

*21*0000#
 
ni wewe
 
Hii generation Z hii😄😄... Ila sema uandishi wako ni generation Z ya mwisho kabisa ... Yaani umezaliwa hardly 2009..
 
Wakishakusaidia na hilo wanisaidie na mimi pia..
Sitaki kupokea namba ambayo haipo kwenye contacts..
Mkuu mbona simu zote za kisasa zina hiyo option kwenye setting ya Call setting?
Mi ya kwangu nishaiset haipokei namba ngeni.
 
Si aachane nae tu adeal na new babe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…