demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Yule dogo Nivatus ni Mzuri ila anahitaji kuoneshwa namna mpira unaotakiwa kuchezwa. Na mtu pekee hapa Tanzania mwenye uwezo wa kumfundisha mpira dogo Novatus ni Zawadi Mauya.
Pia pengo la zawadi Mua limeonekana kwa kuwa ni aina a mchezaji ambaye hakatiki pumzi kama Mzamiru Yasini.
Ombi langu kwa Benchi la Ufundi la Taifa Stars - Hakikisheni Zawadi Maua a.k.a Rocket Launcher aitwe mara moja ili akawasaidie pale kati.
Pia pengo la zawadi Mua limeonekana kwa kuwa ni aina a mchezaji ambaye hakatiki pumzi kama Mzamiru Yasini.
Ombi langu kwa Benchi la Ufundi la Taifa Stars - Hakikisheni Zawadi Maua a.k.a Rocket Launcher aitwe mara moja ili akawasaidie pale kati.