Kuna pengo kubwa sana la Zawadi Mauya Taifa Stars

Kuna pengo kubwa sana la Zawadi Mauya Taifa Stars

Yule dogo Nivatus ni Mzuri ila anahitaji kuoneshwa namna mpira unaotakiwa kuchezwa. Na mtu pekee hapa Tanzania mwenye uwezo wa kumfundisha mpira dogo Novatus ni Zawadi Mauya.

Pia pengo la zawadi Mua limeonekana kwa kuwa ni aina a mchezaji ambaye hakatiki pumzi kama Mzamiru Yasini.

Ombi langu kwa Benchi la Ufundi la Taifa Stars - Hakikisheni Zawadi Maua a.k.a Rocket Launcher aitwe mara moja ili akawasaidie pale kati.
Zawadi Mauya aitwa Timu ya Taifa ya Tanzania ili kuokoa Jahazi
 
Ombi lako limefanyiwa kazi tayari
 
Sema Aishi Manula haya magoli anayofungwa ya mbali umekuwa ni ugonjwa wake wa kila siku na hakuna Dawa yake wala kinga
 
HALAFU MNAMDHALILISHA MCHEZAJI WENU WENYEWE YAANI MNAJISHAMBULIA. INAONESHA USAJILI WENU HAUKUA SERIOUS NA BADO ANACHEZESHA. MCHIMBI SI MMEMSAJILI NINYI WENYEWE NA ANAWAKILISHA BRAND YENU WENYEWE, KUWENI NA AKILI KIDOGO
 
Yule dogo Nivatus ni Mzuri ila anahitaji kuoneshwa namna mpira unaotakiwa kuchezwa. Na mtu pekee hapa Tanzania mwenye uwezo wa kumfundisha mpira dogo Novatus ni Zawadi Mauya.

Pia pengo la zawadi Mua limeonekana kwa kuwa ni aina a mchezaji ambaye hakatiki pumzi kama Mzamiru Yasini.

Ombi langu kwa Benchi la Ufundi la Taifa Stars - Hakikisheni Zawadi Maua a.k.a Rocket Launcher aitwe mara moja ili akawasaidie pale kati.
Haya kachaguliwa sasa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Ifikie wakati tuache usimba na uyanga kwenye timu ya taifa. Kwanza kuhusu Mauya binafsi mimi hua simwelewagi na mara nyingi hata ukiingizwa sub kipindi cha pili unaona Yanga wanavyokata upepo. Mauya bado sana, ila kuhusu Kibwana kuwa ndiye chanzo cha goli kisa tu Mwenda katoka na kuchukua nafasi yake hilo nakataa. Kipindi cha kwanza ambapo huyo Mwenda alikuwepo, Taifa stars tungeshafungwa magoli yasiyopungua mawili, ashukuriwe Manura kwa kufanya kazi ya ziada. Kwahiyo hata kipindi cha kwanza huyo Mwenda alizidiwa na Manura kusahihisha makosa ya mabeki wake
Hata mie nakuunga mkono kabisa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Lile shati pale golini nalo hukuliona Manura ni afadhali akae walau chikumbalaga pale golini,ile butua butua ya ngongoti Boko mwanaharamu wakafanyie huko huko Kwa Makolo Fc,wachezaji gani wale unamlaumu shomari wakati mtu kapigia mpira ilala mpk nyavuni temeke[emoji15] yule Boko si bora Nchimbi[emoji2959]

Kuna yule mkimbizi wenu Makolo nae hana lolote anarukaruka tu kama mahindi ya bisi,bora tungempa uraia Yikpe sio lile fal@[emoji35][emoji2959]...wachezaji wawili tu wa MAKOLO FC walitakiwa wacheze kwenye mechi ya jana pumbavvvv[emoji2959]

Umeshakula Ban haya rudi Facebook sasa ukatulie
 
Kwanza watopolo wengi kwenye timu ndio chanzo cha stars kufungwa, mtopolo hatakiwi kuzidi zaidi ya mmoja kwenye first 11. Wakiwa zaidi ya wawili wanaanza kuleta utopolo wao kwenye timu ya taifa.

Lile goli leo ni 100% Kibwana, hafai kabisa na hana hadhi kuchezea timu ya taifa.

Luc Eymael, popote ulipo kunywa chai kwa gharama yako. Maneno yako dhidi ya hawa watu yanaendelea kuishi mpaka leo.
Manula anadakia uzoefu Metacha anatosha Zaid ya Manula . Hakutakiwa kufungwa Yeye ndio anawapanga beki anaona nafasi ya goli kafungwa Kama kawa magori yake ya mbali
 
Kwanza watopolo wengi kwenye timu ndio chanzo cha stars kufungwa, mtopolo hatakiwi kuzidi zaidi ya mmoja kwenye first 11. Wakiwa zaidi ya wawili wanaanza kuleta utopolo wao kwenye timu ya taifa.

Lile goli leo ni 100% Kibwana, hafai kabisa na hana hadhi kuchezea timu ya taifa.

Luc Eymael, popote ulipo kunywa chai kwa gharama yako. Maneno yako dhidi ya hawa watu yanaendelea kuishi mpaka leo.
Aliyekuwepo golini kazi yake nini,anatumia viungo vyote. Alitakiwa afanye kazi yake ndo maana akaruhusiwa kuja na taulo
Sema madhaifu ya golie wenu ni yaleyale,mashuti ya mbali.
 
Sema Aishi Manula haya magoli anayofungwa ya mbali umekuwa ni ugonjwa wake wa kila siku na hakuna Dawa yake wala kinga
Shida anajua ile ni nafasi yake.
Metacha aache kiburi,atakuwa bonge ka golie haoa bongo.
 
Kenya wamekula tano leo ebu tuone wakenya wanasemaje maana kwetu ni u simba na yanga japo team imecheza vizuri japo wachezaji wazee wanaigharimu stars.
wAseme mara ngapi? Washasema onyango alikuwa anazurura tu siku hiyo kabla ya kutolewa
 
Shida anajua ile ni nafasi yake.
Metacha aache kiburi,atakuwa bonge ka golie haoa bongo.
Metacha aache dharau hasa ukiwa ktk hizi timu kubwa, hajifunzi kwa Manula ambaye ana nidhamu ya kutosha na hizi timu kubwa huwa zinayumba ila uvumilivu unahitajika
 
Kwanza watopolo wengi kwenye timu ndio chanzo cha stars kufungwa, mtopolo hatakiwi kuzidi zaidi ya mmoja kwenye first 11. Wakiwa zaidi ya wawili wanaanza kuleta utopolo wao kwenye timu ya taifa.

Lile goli leo ni 100% Kibwana, hafai kabisa na hana hadhi kuchezea timu ya taifa.

Luc Eymael, popote ulipo kunywa chai kwa gharama yako. Maneno yako dhidi ya hawa watu yanaendelea kuishi mpaka leo.
Kalyamazi gawe
 
Manula anadakia uzoefu Metacha anatosha Zaid ya Manula . Hakutakiwa kufungwa Yeye ndio anawapanga beki anaona nafasi ya goli kafungwa Kama kawa magori yake ya mbali
Si mlisema Metacha hawez siku ile anapigwa goal za mbali na polisi Tanzania.
Nyie watopolo sijui mtaelimika lini.
 
Back
Top Bottom